stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,384
- 3,494
Kwa kuwa wewe ni mwenye kujua Siri za Mungu....wewe utafika?!!
kuna kifo cha kisiasa na hayo mengine epuka kumuingiza Mungu,
Kwa kuwa wewe ni mwenye kujua Siri za Mungu....wewe utafika?!!
ccm Hata wakimsimamisha Obama tume ikawa huru saa mbili asubuhi Mbali watu mtaaani wanashanglia kuanguka kwa ccm waongeze mbinu za wizi wa kuraKabisaaaa. Hata mimi nionavyo ni kwamba,akijaribu kugombea mwaka 2025, ni sawa kabisa na kuuza chama tena kwa bei ya kutupa.
Mwaka 2025 wangemtafuta mtu mmoja ngangali, Mzalendo wa kweli, mwenye uthubutu na maono, vinginevyo CCM inakwenda kufia mikononi mwake.