Rais Samia alalamika maneno yake kugeuzwa juu chini, awapa viwanja wachezaji Twiga Stars kwa kutwaa kombe la COSAFA

Maneno “bahati mbaya” kwenye sehemu vilipo viwanja na kuwa anajua watapata taabu kuvijenga akikusudia kuwa hawapendi kuishi Dodoma - hayakuwa ya lazima kusemwa. Anafanya Dodoma ionekane bado sana - je ni nani ataiendeleza kama mtazamo ni huu?!!
 
Back
Top Bottom