Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,905
- 150,212
hivi mkuu Maxence Melo hajapata mwaliko ?Anaweza na hapa nadhani huwa anapitia sana comment
Sio mvivu kusoma Madam
hivi mkuu Maxence Melo hajapata mwaliko ?Anaweza na hapa nadhani huwa anapitia sana comment
Sio mvivu kusoma Madam
Ameniacha hoi sana hasa ukizingatia alikuwa mwandishi wa BBC.Duh! Hivi hao wanaojiita wahariri hawajui nafasi kama hizo ni adimu kupatikana hivyo zinapaswa kutumiwa ipasavyo!?
Nasikia kuna mmoja kauliza mambo ya CCM, bure kabisa.
Amewakilishwa na Chuwa wa ayiitiviihivi mkuu Maxence Melo hajapata mwaliko ?
Unadhani kuisimamia JF ni kazi rahisi! Huu mtandao ni zaidi ya magazeti, luninga na redio!Anafiti jukwaa la wahariri?
wordUnadhani kuisimamia JF ni kazi rahisi! Huu mtandao ni zaidi ya magazeti, luninga na redio!
Humu kuna maelfu ya waandishi wa habari! Huku wengi wakiwa hawajasomea kokote hiyo fani yenyewe ya uandishi wa habari! He deserves!!!
Hapana yule mzee siyo wa BBC, aliyesimama kuuliza swali upande wa BBC ni mwanamke. Yule atakuwa SibukaAmeniacha hoi sana hasa ukizingatia alikuwa mwandishi wa BBC.
Yepi hayo!???Kuna maswali matatu mazuri ambayo yamekaa kimtego kwa rais
Unataka wewe na nani? Mimi mbona sitakiVipi na huyu mwamba Maxence Melo naye hajapewa mwaliko? Wazalendo tunataka Katiba Mpya! Tena ianzie pale kwenye ile Rasimu ya Jaji Warioba.
Akili zako kama za wasanii wa Tanzania badala ya kutafuta gigs za kuuza sanaa zao; wako busy kutafuta ubalozi na makampuni walipwe.Jamaa yenu alikuaga na roho mbaya Sana,kayanyima matangazo magazeti yanayomkosoa then akayapa matangazo magazeti ya musiba yenye thamani ya tsh.100mil.
Ile kichwa ilikua na shida Sana.
Hamna kitu kama iyoBila shaka leo tutaambiwa aliko Azory Gwanda
Alishaambiwa kuna mhimili umejichimbia chini chini zaidi ya ile mingine.Na ndugu yetu Pascal Mayalla yupo ? si ni mhariri mwandamizi ?
Inaonekana kuna Katazo la hilo jambo, ndio maana sisikii yoyote anayekutana na rais akimwambia.Vipi na huyu mwamba Maxence Melo naye hajapewa mwaliko? Wazalendo tunataka Katiba Mpya! Tena ianzie pale kwenye ile Rasimu ya Jaji Warioba.
Rais sasa ameanza kujibu maswali...Mbona hamna tena update wajameni?
Hivi katika mazingira ya kawaida, Mataga utaipendaje Katiba Mpya? Ccm ikitolewa madarakani kupitia Tume Huru ya Uchaguzi, si utakufa njaa?Unataka wewe na nani? Mimi mbona sitaki
Ni Abdallah Majura alikuwa mwandishi wa BBC zamani na sasa anamiliki daladala za GEREZANI-TEGETA ndio kasema watu wanaipigania CCM lakini teuzi wanapata vijana tu!Hapana yule mzee siyo wa BBC, aliyesimama kuuliza swali upande wa BBC ni mwanamke. Yule atakuwa Sibuka
Katazo la vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara ni lini rais atatengua zuio hilo ili vyama viendelee na shughuli zao kama awali.Yepi hayo!???