Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
North Korea mmejawa na mfumo dume na mna kazi kweli kweli ya kuja kupata maendeleo.Kwetu North Korea huyu mama anafaa kuwa mkuu wa kitengo wa uhamashishaji na propaganda si Rais ambae amebeba taifa mabegani kwake.
Kwani alimsahau Mkapa na Kikwete?Mwendazake hakuwa na busara kwakweli, kama aliwasahau waliomuweka madarakani ni nonsense....
Yule alikuwa siyo mtu, alikuwa 90% mnyama ndiyo maana hakuwa na busara.Mwendazake hakuwa na busara kwakweli, kama aliwasahau waliomuweka madarakani ni nonsense....
Mako aache pombe sasa apige kazi. Mama amkumbuke pia Madaraka, yupo vizuri sana kuliko Mako!Mama Samia kampa heshima Mama Maria kwa kumpa cheo mtoto wake.
Bwana mkubwa asiharibu heshima aliyopewa Mama yake huko alipopewa mkoa.
List imeishia hapo...? wacha kukurupuka wewe, Maria nyerere unamuacha wapi..? Muro, tapeli sabaya wanakuwa ma DC unamuacha makongoro ni ujinga wa hali ya juuKwani alimsahau Mkapa na Kikwete?
Muwachage kukurupuka..
Kazi iendelee...
Kama ni kujichanganya tulijichanganya kuchagua tatizo lileYule alikuwa siyo mtu, alikuwa 90% mnyama ndiyo maana hakuwa na busara.
List imeishia hapo...? wacha kukurupuka wewe, Maria nyerere unamuacha wapi..? Muro, tapeli sabaya wanakuwa ma DC unamuacha makongoro ni ujinga wa hali ya juu
Leo HiyoKwani ya lini?