Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Naona chawa umehama kotiHongera mama Rais wetu Samia Suluhu Hassan, hakika Mama Mungu akulide daima, ww ni Nuru ya Taifa letu 🙏
Naona chawa umehama kotiHongera mama Rais wetu Samia Suluhu Hassan, hakika Mama Mungu akulide daima, ww ni Nuru ya Taifa letu 🙏
Sasa Dangote anasema kaja kumsapoti Samia Suluhu. Unatafuta hela unajifanya umekuja kumsapoti Rais wa Tanzania. Nenda kamsapoti Muhammad Buhari huko kwenu anahitaji sapoti! Unamsapoti Rais wa Tanzania wewe nani kwa Watanzania kujifanya unajali ?????Shida kubwa ya Dangote ni mtu anaeamini in monopoly. Sehemu zote anapowekeza huwa ana bad reputation ya ku corrupt viongozi wa kisiasa ili kuua competition nahisi ndio maana hawakuwezana na mwendazake.
Mkuu mbona hakuna chuki ni ushauri tu! angalia Pinda alikuja na sera ya kilimo kwanza iko wapi? mwendazake viwanda vikowapi? mama hata halijulikani anasimamia nini? miradi kibao ilianzishwa Chato toka mwendazake ameondoka kuna mtu anataja Chato tena? tuwe na mikakati/sera ambayo kila mtawala akija iwe ni kuisimamia na siyo kuja na sera zake, JK ilikuwa bandari ya Bagamoyo na gesi ya Mtwara sasa hakuna hata mtu anaviongolea.Mkuu Babati kwa kuwa una chuki na uongozi wa CCM badala ya kuwa mchambuzi, kwa maslahi mapana ya Taifa, hujapenda kusoma na/au kufuatilia utekelezaji wa Ilani zake za Uchaguzi ambazo kimsingi ni mikakati ya kutekeleza Dira ya Maendeleo ya Taifa (Development Vision 2025).
Moja ya mikakati iliyomo kwenye Ilani yake ya Uchaguzi 2025 kuhusu Kukuza uchumi wa kisasa, fungamanishi, jumuishi na shindani uliojengwa katika msingi wa viwanda, huduma za kiuchumi na miundombinu wezeshi ni Kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kukua na kustawi pamoja na kuvutia wawekezaji ili watoe mchango stahiki katika maendeleo ya nchi yetu.
Serikali zote za CCM zimekuwa zikifanya hivyo tofauti imekuwa katika kutafsiri Ilani zake na kusimamia utekelezaji.
Kabisa mkuu kila mtawala anakuja na sera zake, kwa namna hiyo hatutafikaUmenena vema kabisa. Sera za Uwekezaji inatakiwa iwe ni mipango ya Kimkakati ya Ki-Taifa tena ya muda mrefu. Sera ya Uwekezaji haipaswi kubadilishwa pale Kiongozi mmoja anapoondoka na kubalisha uongozi wa Kitaifa. Ndio maana Uwekezaji Tanzania umekuwa ukisuasua mno kwa kile Wawekezajia wanacho kilalamikia kuwa "luck of seriousness and vision" ya viongozi wa Tanzania kwenye masuala mazima ya Uwekezaji mkubwa na wa kimkakakati.
Wafuasi wa kayafa bado tu hamuamini kama kayafa amekufa!mtambue figisu zenu hazitamfufua kayafa mwacheni mama afanye kazi .Kuna uwezekano mkubwa, Ikulu ya Chamwino haitaendelea kutumika.
Hii inaitwa outsourcing. Ni mojawapo ya mbinu inayotumika kuleta ufanisi.Madereva wake wameajiriwa kama contractors badala ya kupewa full time employment, hilo linawakosesha haki zao za kisheria nyingi ikiwemo uhakika wa kazi zao, kuingizwa kwenye pension schemes, kwenda likizo ya malipo, sick pay na faida wanazopewa wafanyakazi wenzao; bila ya kusahau kupoteza PAYE za TRA.
Hayo ndio mambo ya kumkubusha na yeye. Juzi tu madereva wa Dangote walikuwa kwenye mgomo kisa kuchukuliwa kama vibarua wakati watu wanafanya kazi sehemu moja zaidi ya miaka miwili, hakuna madereva wenye mkataba wa kudumu na kampuni; kuna middleman anaewapa ajira na kuwapunja kwa kuwakata kilicho chao, bila ya ulazima.
Wafanyabiashara sio kuja kuomba mazingira mazuri tu, bali na wao waweke mazingira mazuri kwa waajiriwa, sakata lote la mgomo limeenda karibu week nzima Mhagama kama alikuwa aoni vile na nina uhakika wale madereva madai yao ya msingi ayajatatuliwa.
Huo ndio mfumo wa dunia ya sasa isiyotabirika, hakuna mtu anataka kubeba Mzigo wa kuajiri mtu full time hata nchi zilizoendelea unafanya kazi kwa masaa na kazi zikipungua anapunguza saa, ukizembea anakuondoa saa hiohio, Ukifanya kazi vizuri unaongezewa masaa na malipo, Pakitokea mtikisiko wa uchumi au Pandemic anasimamisha kazi hapo hapo. Hilo ndio soko la ajira la dunia, Hapa TZ wanataka waajiriwe full time ili watege, wakiiba na kuzembea wanaenda mahakamani. Dunia imeshatuacha nyuma sanaMadereva wake wameajiriwa kama contractors badala ya kupewa full time employment, hilo linawakosesha haki zao za kisheria nyingi ikiwemo uhakika wa kazi zao, kuingizwa kwenye pension schemes, kwenda likizo ya malipo, sick pay na faida wanazopewa wafanyakazi wenzao; bila ya kusahau kupoteza PAYE za TRA.
Hayo ndio mambo ya kumkubusha na yeye. Juzi tu madereva wa Dangote walikuwa kwenye mgomo kisa kuchukuliwa kama vibarua wakati watu wanafanya kazi sehemu moja zaidi ya miaka miwili, hakuna madereva wenye mkataba wa kudumu na kampuni; kuna middleman anaewapa ajira na kuwapunja kwa kuwakata kilicho chao, bila ya ulazima.
Wafanyabiashara sio kuja kuomba mazingira mazuri tu, bali na wao waweke mazingira mazuri kwa waajiriwa, sakata lote la mgomo limeenda karibu week nzima Mhagama kama alikuwa aoni vile na nina uhakika wale madereva madai yao ya msingi ayajatatuliwa.
Jikaze tu uamini kwamba Tanzania siyo Dar. Unalaani jambo ambalo kila mtu aliliona ni safi tangu 1974! Kama haikuwa safi kwa nini haikufutwa kwa miaka yote hiyo? Unafiki ktk siasa isiwe ni fasheni.Maamuz ya kuhamia Dodoma yalikuwa ni moja ya maamuz ya hovyo mno kuwah kufanywa ......!!!
Wewe hujui maumivu ya kuwekeza Tilion moja anakuja mtu hata pesa ya kununulia soksi Hajui kuitafuta anataka umpe pesa za bure.Hivi Kwa nini hawa wafanya biashara wakubwa huwa wanakaa kudekadeka saana!!!
Huyu jamaa anaongoza Kwa kudeka, haishiwi kulalama kama litoto Fulani hivi, Mo, na Bakhlesa, sjawahi kuona wakideka hivyo
Kwa kweli hata mimi nimejiuliza sana hili swali...Dangote mwenyewe kasema things have opened up, kwani vipi vilifungwa...na vimefunguliwa kwa maslahi ganiMsemaji wa serikali Bwana Gerson Msigwa aposti katika ukurasa wake wa twitter kauli hiyo ambayo imezua maswali mengi kwa wananchi.Ametoa kauli hii hivi leo baada ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mazungumzo na mwekezaji Dangote.
Wengi wamejiuliza kwani hali ilikuwaje kabla?Wengine wakijiuliza ni nani huyo ambae aliharibu nchi kiasi hicho?
View attachment 1796261
Kuna watu wanaoshangilia Dangote utadhani ni binadamu wa kwanza kutengeza sementi, au utadhani kaja kuajili wa-TZ wote mitaani.Madereva wake wameajiriwa kama contractors badala ya kupewa full time employment, hilo linawakosesha haki zao za kisheria nyingi ikiwemo uhakika wa kazi zao, kuingizwa kwenye pension schemes, kwenda likizo ya malipo, sick pay na faida wanazopewa wafanyakazi wenzao; bila ya kusahau kupoteza PAYE za TRA.
Hayo ndio mambo ya kumkubusha na yeye. Juzi tu madereva wa Dangote walikuwa kwenye mgomo kisa kuchukuliwa kama vibarua wakati watu wanafanya kazi sehemu moja zaidi ya miaka miwili, hakuna madereva wenye mkataba wa kudumu na kampuni; kuna middleman anaewapa ajira na kuwapunja kwa kuwakata kilicho chao, bila ya ulazima.
Wafanyabiashara sio kuja kuomba mazingira mazuri tu, bali na wao waweke mazingira mazuri kwa waajiriwa, sakata lote la mgomo limeenda karibu week nzima Mhagama kama alikuwa aoni vile na nina uhakika wale madereva madai yao ya msingi ayajatatuliwa.
Investment inahitaj mazingira wezeshi na support kutoka serikali husika, huez ku investment kwa kutegemea figusu.Sema Dangote naye ni mtu asiweza kabisa figisu. Biashara zake nyingi ustawi wake unategemea sana kulelewa na serikali. Hata Nigeria iko hivyo.
Ingawa ndio kazi ya serikali kulea sekta binafsi lakini ukipata mtawala roho mbaya kama Magu mambo yanayumba sana.
Bwege wewe! Twiga cement imewekeza ngapi? Tanga cement imewekeza ngapi? KIla siku anagonga mlango wa Ikulu, mbona wenzake wako kimya hatuwasikii? Ufisadi tu unamsumbua.Wewe hujui maumivu ya kuwekeza Tilion moja anakuja mtu hata pesa ya kununulia soksi Hajui kuitafuta anataka umpe pesa za bure.
Pole sana, hata hao wengine wanaenda na wanatembelewa kwenye viwanda vyao, ila yeye amewekeza pesa nyingi kushinda hao wengine unaowasema na ametangaza hazarani kiasi cha pesa alichowekeza, hizo ni chuki za kimasikini, na ndio maana ni masikiniBwege wewe! Twiga cement imewekeza ngapi? Tanga cement imewekeza ngapi? KIla siku anagonga mlango wa Ikulu, mbona wenzake wako kimya hatuwasikii? Ufisadi tu unamsumbua.
Ni kweli kabisa, na ndio maana wafanyabiashara wa hapa hawezi kufanya biashara nje kwani wanategemea figisu badala ya maarifa,utaalamu na wataalamuInvestment inahitaj mazingira wezeshi na support kutoka serikali husika, huez ku investment kwa kutegemea figusu.
Ha ha haHakuna cha PR! Ameitoa wapi wakati hajawahi interact na dunia? Hapa sisi tunajua kinachotafutwa. Marais wa kiafrika wanazuzuliwa na vitu vya kishenzi tu! Hata kuambiwa wewe ni zaidi ya wote, inampa kichwa kikubwa. Iliwahi sikika JK alipewa suti na ikatosha kutoa upendeleo. Sasa endeleeni kuamini huyu anajua mambo kumbe wao wameshajua udhaifu wake. Ndo kazi ya ofisi za ubalozi zilizoko hapa nchini, kujua udhaifu wa viongozi wetu.
Baadaye ataalikwa uchina na kupigiwa Tanzania Nakupenda kwa moyo wote kama tunavyowaona wengine, akirudi anasimulia kama spika kwamba alifanyiwa presentation nzuri saaana!
Nadhani hi sasa ndio kazi ya serikali kuhakikisha wafanyabaishara nao wanafuata sheria; kama kuna loop holes, mfanyabaishara atazitumia, kwanini EWURA, TCRA nk vilianzishwa? Kazi yake ni ku regulate mambo ya sekta husika. wizara ya kazi na vijana na hasa kitengo cha kazi (of course na vyama vya wafanyakazi, in this case ni TAMICO ) ndio kazi zao hizi, wasikae tu ofisini, watembee kwa waajiri na kwenda kuwatia moyo, kuwarekebisha, kuwashauri na hata kutumia nguvu ili wao wafuate sheria. Hapa sasa ndio tutamuelewa profesa Asad alivyokua kule USA kwenye ile interview iliomletea matatizo na watawal pamoja na bwana Ndugai (naogopa kulihusisha bunge hapa ), jamaa alishauri kwamba, Africa tunawekeza kwenye strong personalities badala ya kuwekeza kwenye strong institutions, hi ndio mahala pake.Madereva wake wameajiriwa kama contractors badala ya kupewa full time employment, hilo linawakosesha haki zao za kisheria nyingi ikiwemo uhakika wa kazi zao, kuingizwa kwenye pension schemes, kwenda likizo ya malipo, sick pay na faida wanazopewa wafanyakazi wenzao; bila ya kusahau kupoteza PAYE za TRA.
Hayo ndio mambo ya kumkubusha na yeye. Juzi tu madereva wa Dangote walikuwa kwenye mgomo kisa kuchukuliwa kama vibarua wakati watu wanafanya kazi sehemu moja zaidi ya miaka miwili, hakuna madereva wenye mkataba wa kudumu na kampuni; kuna middleman anaewapa ajira na kuwapunja kwa kuwakata kilicho chao, bila ya ulazima.
Wafanyabiashara sio kuja kuomba mazingira mazuri tu, bali na wao waweke mazingira mazuri kwa waajiriwa, sakata lote la mgomo limeenda karibu week nzima Mhagama kama alikuwa aoni vile na nina uhakika wale madereva madai yao ya msingi ayajatatuliwa.
Pamoja na mapungufu yake kama binadamu sote tulivyo, lakini tukubali kwa kauli moja kwamba Dk. Magufuli hakuwa binadamu wa kawaida kimaono, kiutendaji kazi na ufatiliaji wa karibu.Ahsante sana Bagamoyo,
Kweli teknologia haiongopi, ndio hiki nimekizungumzia, na hapo nimesikia hata huo mpango wa kujenga kiwanda cha mbolea ulikuwa toka hicho kipingi cha Magufuli.
wamlaum kwa mambo mengine lakini haki yake apewa,
kwangu mimi Magufuli amefanya mambo ambayo watanzania tuliyalilia muda mrefu.
Sehemu nyingi duniani wanapoajiri watu kupitia agencies ni sababu za seasonal variations na product shelf life.Huo ndio m
Huo ndio mfumo wa dunia ya sasa isiyotabirika, hakuna mtu anataka kubeba Mzigo wa kuajiri mtu full time hata nchi zilizoendelea unafanya kazi kwa masaa na kazi zikipungua anapunguza saa, ukizembea anakuondoa saa hiohio, Ukifanya kazi vizuri unaongezewa masaa na malipo, Pakitokea mtikisiko wa uchumi au Pandemic anasimamisha kazi hapo hapo. Hilo ndio soko la ajira la dunia, Hapa TZ wanataka waajiriwe full time ili watege, wakiiba na kuzembea wanaenda mahakamani. Dunia imeshatuacha nyuma sana
KabisaKuna watu wanaoshangilia Dangote utadhani ni binadamu wa kwanza kutengeza sementi, au utadhani kaja kuajili wa-TZ wote mitaani.
Huyu ni mtu aliyeahidiwa huruma ya uwekezaji kwa mdomo na hakujiridhisha kama ni kinyume cha sheria. JPM alipokuja na kutaka sheria zifuatwe bila upendeleo, anaanza kulalama eti anakwamishwa. baadhi ya wanufaika wa ufisadi wakaanza kumsaidia kupiga kelele. Afuate sheria! Mambo ya kutemebelea Ikulu kila leo yanatukwaza wa-TZ na kuhisi rais alivyo wa bei ndogo.