Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,692
SSH amemtembelea Mama Maria Nyerere leo nyumbani kwake leo December 6,2021
Kesho kwa Mama Magufuli
Mungu ambariki Mama, aongoze nchi kwa msalahi ya wananchi, na si kikundi fulani maslahi.
Huyu mama wamwache apumzike tuKesho kwa Mama Magufuli
Mediocre thinking and nonsense kunea wivu Zanzibar kwa trivial issues. Fanya kazi kijana acha undeziwazanzibari wako more than 1 million ila wanapewa 21% ya ajira zote bongo sisi tuko 65 million ....Afu kichekesho ni kuwa sisi hatuwez pata ajira kwao zanzibar sababu ni wa Tz bara.
ila sisi wadanganyika jmn!!
hii nchi inahitaji katiba kwakweli
Afanye kazi ipi?Mediocre thinking and nonsense kuiinea wivu Zanzibar kwa trivial issues. Fanya kazi kijana acha undezi
Wewe ni hasara tupu hapa nchiniMungu ambariki Mama, aongoze nchi kwa msalahi ya wananchi, na si kikundi fulani maslahi.
Anapewa miaka mingine 10 apende asipendewazanzibari wako more than 1 million ila wanapewa 21% ya ajira zote bongo sisi tuko 65 million ....Afu kichekesho ni kuwa sisi hatuwez pata ajira kwao zanzibar sababu ni wa Tz bara.
ila sisi wadanganyika jmn!!
hii nchi inahitaji katiba kwakweli
Mama samia tumpe miaka mingine 10 apende asipende ccm hoyeeeeeeeMediocre thinking and nonsense kuiinea wivu Zanzibar kwa trivial issues. Fanya kazi kijana acha undezi
Afanye Kaz ip mkuu wakat Kaz wanachukua wazanzibar?Mediocre thinking and nonsense kuiinea wivu Zanzibar kwa trivial issues. Fanya kazi kijana acha undezi
Nchi Inaelekea Sehemu Ngumu Sana Wazanzibar Wapate Job BaraAfanye Kaz ip mkuu wakat Kaz wanachukua wazanzibar?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwa akili yajo utamuonea wivu mkeo kwa kubeba ujauzito tena kwa miezi tisawazanzibari wako more than 1 million ila wanapewa 21% ya ajira zote bongo sisi tuko 65 million ....Afu kichekesho ni kuwa sisi hatuwez pata ajira kwao zanzibar sababu ni wa Tz bara.
ila sisi wadanganyika jmn!!
hii nchi inahitaji katiba kwakweli
Naye ameandaliwa kuwa kiongozi wa CCM na tume ya uchaguzi itampa ubunge.
Baada ya kufanya kazi yake, Yeye anashinda kuzurula kwenye majumba yawatu, mtu mvivu utanjua tu.