Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Mkuu Brazaj uzalendo ni pamoja na kutumia lugha za staha kwa mh.Rais wako......Huyu bila mambo ya Wuhan angeupata wapi urais? Kwamba hayashukuru ila analia? Siyo ya mamba hayo?
Huyu kwa habari zilizopo kwa kukerwa na mwendazake alishawahi kutema mzigo mara kadhaa. Kumbe alia sana kwa kuondokewa?
Angekuwa konda boy, SABAYA au ile timu pendwa wangeeleweka.
Huyu alipo kwa ajili ya 2025 atasema lolote.