Rais Samia akemea suala la siri za Serikali kuvuja mitandaoni

Am all for transparency kama kuna makona kona yanafanyika kwa pesa zetu sisi watoa TOZO..., basi long live Whistle Blowers
 
Yeye mwenyewe hakutakiwa kukemea hadharani maana anatufanya tuamini madudu tunayo yaona niyakweli
 
Kuna ubuyu kavujisha mwenyewe kwamba kakopa ili alipe mikopo iliyoiva.......sasa mimi mkazi wa hapa nyambitilwa sidhani kama nahitaji kujua siri zenu za kukopa na kulipa madeni yaliyokwiva. Labda siri ambayo ni muhimu kwangu ni kujua ni lini tunapigwa mnada ili nipate upenyo wa kutorokea kwa jirani......
 
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Mawaziri na manaibu Waziri wahakikishe siri za serikali hazivuji kufika katika mitandao ya kijamii kama ambavyo imeendelea kuwa

Nukuu
'Imekuwa kama maradhi, document za Serikali tunazikuta mitandaoni, watu wanabishana huko mtu anaende kuchomoa document inapigwa picha inawekwa kwenye mtandao, kama mnabisha ushahidi ni huo, hii haipendezi na hakuna serikali inaendeshwa hivyo.

Serikali inatoka kwenye ofisi zetu inaingia kwenye mitandao, kudhibiti siri za Serikali, ziwe za siri 'classified' hata zile ambazo haziko 'classified', tunatakiwa mambo ya Serikali yaishie ndani ya serikali.''


Ameyasema hayo katika mazungumzo aliyofanya na mawaziri na manaibu Waziri aliwateua na kuwaapisha hivi karibuni

Pia Rais amewataka waende kuwa wasimamizi wazuri wa miradi ya serikali kwa

Kikubwa afungie chombo vyote vya habari na mitandao anayosema

kuwa serikali ipo kwa ajili ya watubibie
 
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Mawaziri na manaibu Waziri wahakikishe siri za serikali hazivuji kufika katika mitandao ya kijamii kama ambavyo imeendelea kuwa

Nukuu
'Imekuwa kama maradhi, document za Serikali tunazikuta mitandaoni, watu wanabishana huko mtu anaende kuchomoa document inapigwa picha inawekwa kwenye mtandao, kama mnabisha ushahidi ni huo, hii haipendezi na hakuna serikali inaendeshwa hivyo.

Serikali inatoka kwenye ofisi zetu inaingia kwenye mitandao, kudhibiti siri za Serikali, ziwe za siri 'classified' hata zile ambazo haziko 'classified', tunatakiwa mambo ya Serikali yaishie ndani ya serikali.''


Ameyasema hayo katika mazungumzo aliyofanya na mawaziri na manaibu Waziri aliwateua na kuwaapisha hivi karibuni

Pia Rais amewataka waende kuwa wasimamizi wazuri wa miradi ya serikali kwa kuwa serikali ipo kwa ajili ya watu
Haliwezi kukoma mpaka wakiri wenyewe ndio ni chanzo cha uvujaji huo na halijaanza leo
 
Back
Top Bottom