Kwa maana nyingine fedha zetu Waafrika zinazidi kuboresha mzunguuko wa fedha wa nchi zingine nje ya bara la Africa kwa gharama kubwa za usafiri baina ya nchi zetuNdio maana mtu anaona bora akafunge mzigo China kuliko kununua Nairobi au South Africa.
Nauli ya wapi?Nauli ni 180usd
Dar naiNauli ya wapi?
Bado sijasikia kinachoendelea JNHEPP.Wenye taarifa za ndani na za ukweli watutonye tafadhali.Tanzania tunakwenda vizuri Sana kama nchi
Rais Samia kila anachogusa kinafanikiwa sana
Mungu ibariki Tanzania
Pole sana kwa kusifia hata visivyosifika.Tanzania tunakwenda vizuri Sana kama nchi
Rais Samia kila anachogusa kinafanikiwa sana
Mungu ibariki Tanzania
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.
Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.
Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.
ONE WAY AU TWO WAYS?Nauli ni 180usd
Unaposema hakuna km rais samia unamaanisha nini mkuu??Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.
Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.
Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.
OneONE WAY AU TWO WAYS?
Nai ndio wapi?Dar nai
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.
Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.
Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.
Air Tanzania ups stake for East African skies
Air Tanzania ups stake for East African skies Air Tanzania is set to step up competition in the East African skies with the launch of flights on the Dar es Salaam-Nairobi route from November 26, and plans for Bujumbura later in the month. The airline’s first flight to Nairobi from Julius...www.jamiiforums.com
Biashara baina ya nchi za kiafrika ni ghali kuliko Afrika na mabara mengine. Kuna ripoti nilipata kuiona bahati mbaya nimesahau title yake ningeku-cite uipitie
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.
Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.
Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.
Air Tanzania ups stake for East African skies
Air Tanzania ups stake for East African skies Air Tanzania is set to step up competition in the East African skies with the launch of flights on the Dar es Salaam-Nairobi route from November 26, and plans for Bujumbura later in the month. The airline’s first flight to Nairobi from Julius...www.jamiiforums.com
Air Tanzania ups stake for East African skies
Air Tanzania ups stake for East African skies Air Tanzania is set to step up competition in the East African skies with the launch of flights on the Dar es Salaam-Nairobi route from November 26, and plans for Bujumbura later in the month. The airline’s first flight to Nairobi from Julius...www.jamiiforums.com