beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Amesema utekelezaji wa Miradi unakwama kutokana na mambo hayo matatu, akiwataka Viongozi kuacha mivutano na Siasa ziende vizuri
Amesema bado Fedha zinafujwa na kuliwa kwenye Miradi kadhaa ya Mkoa licha ya kuwepo Wakaguzi wa Ndani, akiwataka, "Wafanye kazi zao ili kuona haya madudu mapema"
Ameongeza, "Hayaonekani kwasababu Wakaguzi wa Ndani nanyi ni sehemu ya wafujaji wa Fedha hizo, ndiyo maana hamkaguzi na hamsemi. Waziri anayeshughulika hawa watu wabadilisheni. Wameshakaa sana wamezoeana"
Amesema bado Fedha zinafujwa na kuliwa kwenye Miradi kadhaa ya Mkoa licha ya kuwepo Wakaguzi wa Ndani, akiwataka, "Wafanye kazi zao ili kuona haya madudu mapema"
Ameongeza, "Hayaonekani kwasababu Wakaguzi wa Ndani nanyi ni sehemu ya wafujaji wa Fedha hizo, ndiyo maana hamkaguzi na hamsemi. Waziri anayeshughulika hawa watu wabadilisheni. Wameshakaa sana wamezoeana"