Nimepitia orodha ya wakuu wa mikoa waliochaguliwa na Mh. Samia suluhu . Kwa mkoa wa manyara ulivyo nyuma kimaendeleo kupewa makongoro Nyerere kuwa mkuu wa mkoa huo ni rasmi kuwa upinzani umefunguliwa mlango wa kuambiwa karibu manyara.
Huko wanasema jamaa ni mpiga kinywaji sana pia hutaki usumbufu na sio mbunifu.Kwani wenyewe wanasemaje huko
Makongoro bora angekaliaa kakinywaji kake kwani toka alipohama upinzani hana jipya, watu tulitegemea awe na akili ya babaake badala yake kaenda hukooo.Huko wanasema jamaa ni mpiga kinywaji sana,pia hutaki usumbufu na sio mbunifu.
🤣Makongoro hata mtaa Tu hawezi ongoza achilia mbali mkoa
Makongoro amepewa ukuu wa Mkoa ili kumuondoa kwenye cheo chake kwenye kamati za CCM, na huko Manyara wanaenda kummaliza kwa kuwa wanajua udhaifu wa Pombe na wanawake, kwa lugha rahisi Makongoro Nyerere ametolewa kwenye reli ili aweze kutimiza adhma zao huko ndani ya CCM.
In maana yale yote ambayo yalikuwa yanatokea huko CCM mpaka kufikia Chama kinakuwa chini ya Familia, huyo Makongoro alikuwa anashauri nini?Makongoro amepewa ukuu wa Mkoa ili kumuondoa kwenye cheo chake kwenye kamati za CCM, na huko Manyara wanaenda kummaliza kwa kuwa wanajua udhaifu wa Pombe na wanawake, kwa lugha rahisi Makongoro Nyerere ametolewa kwenye reli ili aweze kutimiza adhma zao huko ndani ya CCM.
Huyo Rich Kasesera na Pacha wake Ole Sabaya lilikuwa ni Swala la Muda tu "tuliwategemea uraini siku nyingi sana..Dah . .. My best friend Rich Kas!
.Hongera aisee