Rais Samia afanya uteuzi. Katibu Mkuu Kiongozi ahamisha Vigogo 5 TANESCO

Kwahiyo ndio unataka kusemaje??

Utaumia sana safari hii na mama wala hashughulishwi na mikelele yenu
Afadhali iwe hivyo kuliko ule upuuzi aliokuwa anafanya alietangulia kutuletea kabila moja tu kati ya makabila 120 tuliyonaya hapa nchini .Mbaya zaidi hilo kabila alitulazimishia kuwa na viongozi wajinga kama Makonda ,Mnyeti ,na kama hao ,sasa hivi kuna alieko shirika la Reli hajui hata anatetea nini aisee?
 
Ofisi Nzima Pale Ikulu Wamejaa Waislamu Tu
Rais _ Muislam
CS - Muislam
Km Ofsi Ya Rais Ikulu ni Muslam
Chief of Protocol ni Muislam
Wasaidizi wa Rais 8 pale Ikulu 6 ni waislam na 2 ndio Wakristo
Sidhani km ni afy kuwa na jicho la udini kiasi hicho unless unafanya harakati za kupigania dini yako itawale

Chamsingi tujaji kwa ueledi na uchapakazi wa muhusika regardless ni wa dini yako Au mwemzako

Udini ni dhana mbaya sana na itatutafuna mpaka tunaingia kaburini

Mimi ni Muslim lakini sikubaliani na huyu maza kwa sababu TU utendaji wake unalega lega but dini hainihusu HAPA

Tuwe na jicho la utendaji si udini mkuu
 
Anaweza kuwa mzuri Ila kama hana background ya electrical engineering itamchukua muda kupata uzoefu na shughuli za Tanesco.
Hapo ndio watu wengi wanakosea. Level ya MD haihitaji elimu ile taaluma. Hapo ni suala la umahiri wa uongozi tu. Namna gani ataangalia v
CV za wale wasaidizi wake na kuwapangia majukumu.
Hapo ni leadership and management combined. Sio elimu ya electrical.
Tumewahi kuwa MD wa Muhimbili ambaye hakuwa Daktari.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, akichukua nafasi ya Dkt. Tito Mwinuka

Kabla ya uteuzi huo, Chande alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Multichoice Afrika Kanda ya Afrika Mashariki na Magharibi

Vilevile, Rais Samia amemteua Omari Issa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO

====

Rais Samia amemteua Hassan Seif Said kuwa Mkurugenzi Mkuu Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Kabla ya uteuzi, alikuwa Meneja wa Kanda Mwandamizi wa Kanda ya Mashariki TANESCO

Aidha, Michael Minja ameteuliwa kuwa Kamishna wa Petrol na Gesi, Wizara ya Nishati. Kabla ya kuteuliwa, Minja alikuwa Mkurugenzi Mkuu TIPPER

Vilevile, Rais amemteua Felschemi Mramba kuwa Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu

=====

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amewahamisha Watumishi Waandamizi watano kutoka TANESCO kwenda Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambapo watapangiwa majukumu mengine

Waliohamishwa ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji Uwekezaji, Khalid James; Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usambazaji na Masoko, Mhandisi Raymond Seya na Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usafirishaji, Mhandisi Isaac Chanje

Wengine ni Nyelu Mwamaja (Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi) na Amos Ndegi (Mwanasheria wa TANESCO)

View attachment 1952485

View attachment 1952487

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Wapigaji wanajipanga bila aibu. Ma Phd holders wanaondolewa wanawekwa wajuzi kupiga. Subirini muone marudio ya iptl marichmond na maepa yakirejelewa.
 
Hapo ndio watu wengi wanakosea. Level ya MD haihitaji elimu ile taaluma. Hapo ni suala la umahiri wa uongozi tu. Namna gani ataangalia v
CV za wale wasaidizi wake na kuwapangia majukumu.
Hapo ni leadership and management combined. Sio elimu ya electrical.
Tumewahi kuwa MD wa Muhimbili ambaye hakuwa Daktari.
Kibongobongo hata binti wa chekechea anamudu tu hizo nafasi na nyadhifa na mambo yakaenda.
 
U yo jamaa alietoka Multichoice yuko vizur sana.

Tanesco wameula

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

MAHARAGE CHANDE ni nani:
Akiwa katika nafasi ya kuaminiwa ya kiuongozi ,ni mbobezi katika kuleta mabadiliko chanya na kuleta mguso anapojiunga na kampuni yoyote.
Maharage Chande has a Bachelor degree in Electronics and Communication from University of Dar es Salaam and a Master in Business Leadership from University of South Africa
Kiongozi yoyote anapojiunga katika kampuni mpya kazi yake kubwa ni kubadilisha muelekeo wa taasisi au kampuni kufanya vizuri zaidi na kuingiza tamaduni mpya wa jinsi ya utendaji kazi kwa wafanyakazi waliopo na pia wateja wao kunufaika na ujio wa uongozi Mpya kwa kupokea huduma bora, ya bei nafuu pia waliowekeza hisa kuona ktk kampuni kuona hisa zao zikiongezeka thamani na mwisho wa mwaka wa pesa kupata gawio jingi zaidi ya miaka iliyopita.


Maharage Chande – Regional Director for East Africa/ Regional Director for West Africa
Maharage was Chief Operating Officer at National Bank of Commerce, and Managing Executive of IT and Data at Vodacom Tanzania. Maharage served as Managing Director, Tanzania at Naspers.

Maharage Chande is currently Regional Director For East, West and Central Africa at MultiChoice Africa - View - MultiChoice Africa org chart
Career path since 2010:
Maharage Chande, is MultiChoice Regional Director for East and in an acting capacity for West Region. At the same time, Maharage will continue to look after Tanzania.
According to de Villiers: “Maharage joined MultiChoice Tanzania in June 2016 as MD and has been hugely successful in driving the massive growth that business has experienced”. On his side, Maharage said he has received the appointment wholeheartedly and that without doubt it is the results of a people-focused leadership and meticulous execution of set strategic initiatives by all MultiChoice Tanzania staff members. “I believe that I can use the Tanzanian success story to further enhance our business growth in the regions,” he added.
Before joining MultiChoice Tanzania in 2016, Maharage who has extensively worked in Banking and Telecoms industries, worked at Vodacom Tanzania as Managing Executive of IT and Data from 2004 to 2010, National Bank of Commerce (NBC) as Chief Operating Officer from 2010 to 2014 then moved to the President’s Office as the Director of Corporate Services in the President’s Delivery Bureau from 2014 to 2016.
“We are excited to welcome the senior executives on board. It is our hope that their wealth of experience will complement MultiChoice Africa’s current focus on customer satisfaction and market growth,” concludes de Villiers. Source : Maharage Chande to head Multichoice in East, West Africa as Stephen Isaboke takes up new role | aptantech

Toka maktaba 2017

Maharage Chande aonesha mbinu za kibiashara ndani ya changamoto nyingi. Changamoto ni fursa!


Tutegemee "vifurishi rafiki vya umeme na vyuma kuachia" kama ilivyokuwa Multi Choice DStv





Toka maktaba 2017

Mbinu Mpya ya Kuwa Na Wateja Marafiki-Endelevu ya DStv Multi Choice

‘Vyuma vimeachia’. alieleza Maharage Chande.

Maharage Chande amesisitiza kuwa Multichoice itaendelea kuwasikiliza wateja wake na kuhakikisha kuwa inatekeleza kile wanachohitaji wateja wake pale inapowezekana. “Wateja wetu walituomba tuongeze maudhui ya kitanzania kwenye king’amuzi chetu, tukawasikia, tukaweka chanel maalum kabisa ya Maisha Magic Bongo ambayo ina asilimia 100 ya maudhui ya Kitanzania; wakatuomba tupunguze bei ya vifurushi, tukafanya hivyo mwishoni mwa mwaka jana, na leo tena kwa mara ya pili tumepunguza bei, wakatuomba tuongeze chanel kwenye vifurushi vya bei ndogo, tukafanya hivyo, tukaleta Laliga na Ligi kuu ya uingereza hadi kwenye kifurushi cha chini kabisa cha Bomba”. “Kipekee kabisa Wananchi kupitia serikali wakatuomba tuongeze nguvu kwenye kuinua vipaji vya vijana wetu wa kitanzania, tukasikia, tukaitikia, tukaanza katika riadha ambapo tumemdhamini mwanariadha wetu Alphonce Simbu. Sote tunajua matokeo yake, sasa Tanzania inahofiwa kwenye ulingo wa riadha kimataifa! Haya yote tumefanya kwa sababu tunawasikiliza wateja wetu, tunawasikiliza wadau wetu, tunawasikiliza Watanzania” alisema Maharage.
 
NCHI HII NGUMU SANA KUONGOZA. UKISIKILIZA SANA WANANCHI SANA KUONGOZA INAKUWA NGUMU FANYA UNALOONA KUWA ZURI KWAKO KUONGOZA RAIS. MAANA UKITEUA TU WATU WANAANGALIA DINI GANI AWAMU YA TANO WALIKUWA WANAANGALIA MSUKUMA AU KANDA YA ZIWA SHIDA KWELI. TUANGALIA MAENDELEO NDUGU WANANCHI KAMA DINI YA MTU NDIO MAENDELEO MASHEIKH NA MAPADRE WANGEKUWA WAGUNDUZI WA VITU NA MAENDELEO KILA SEHEMU. TUMPIME MTU KWA UCHAPAKAZI WAKE
 
Japokuwa nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji ni nafasi ya uongozi au management, Mkurugenzi Mpya wa TANESCO Kama siyo mhandisi wa umeme,awe makini wasije kumdanganya wasaidizi wake.
Otherwise tuna matumaini makubwa na mabadiliko haya,na tunatarajia utaifanyia haki nafasi hiyo.
Dr Tito Mwinuka alipwaya Sana na alizidiwa na Wasaidizi wake , hakuwa na maamuzi,taasisi inatoa huduma mbovu sana.

Ushauri
(1) Tembelea vituo mara kwa mara kujionea hali halisi,ya utendaji wa watumishi wako.fomu za maombi zinasambaa tu,huwa hazifailiwi na kupewa folio.
(2).Hakikisha maombi yote (ambayo,yanaombwa kupitia mitandao),yawe yanashughulikiwa ndani ya muda uliopitishwa na menejimenti-(Huduma kwa wateja.-Service Level Agreement)
(3).kwa kuwa kodi ya majengo inalipwa kupitia Luku,ongeza wigo wa walipa Kodi ya Majengo na mapato ya Shirika, kwa kuwafikishia huduma ya umeme wateja wote walioleta maombi ya umeme haraka iwezekenavyo.
(4). Tariffs za umeme wa majumbani na viwandani ni kubwa, angalia uwezekano wa kufanya mapitio ya bei,ili kuwapunguzia mzigo walaji wa mwisho.
(5).Tatua tatizo la Nguzo za umeme,nyaya na mita za umeme ambazo zinakwamisha usambazaji wa umeme kwa wateja wapya.
 
Back
Top Bottom