tozo haziondolewiAondoe tozo...ndio vitu mtanzania anataka sio kuongea na wazungu
tozo haziondolewiAondoe tozo...ndio vitu mtanzania anataka sio kuongea na wazungu
Huu udhalilishajiAnakuwa busy kuangalia vifua vyao vimejaza kama yeye au viko flat View attachment 1920111
Kuna watu Ni wahuni wakubwa aseeAnakuwa busy kuangalia vifua vyao vimejaza kama yeye au viko flat View attachment 1920111
Wamesema mama j kawaabisha sanaBila kusema walichozungumza na manufaa yake kwa taifa ni kudemka tu. Nini cha maana tutarajie maana tunaka kazi tu na maendeleo na sio tozo na kupanda kwa bei za bidhaa muhimu kama vile mafuta ya kupikia, ngano, vifaa vya ujenzi n.k
Hatutaki chanjo, period!Rais Samia amezungumza na Kansela Wa Ujerumani Bi Angela Merkel Leo kutokea Ikulu ya Magogoni
View attachment 1920072
Utakuwa ni mkopo wa bei nafuu wa chanjo zilizo-expire, sioni kingineBila kusema walichozungumza na manufaa yake kwa taifa ni kudemka tu. Nini cha maana tutarajie maana tunaka kazi tu na maendeleo na sio tozo na kupanda kwa bei za bidhaa muhimu kama vile mafuta ya kupikia, ngano, vifaa vya ujenzi n.k
Acha ubaguzi wa kijinsia. Kama mazungumzo ya wanawake hayana uhumuhimu mbona mazungumzo ya baba yako na mama yako kukuzaa yalikuwa na umuhimu au hayakuwa nao?Mazungumzo ya mwanamke kwa mwanamke hayanaga issue muhimu.......