Vandetta
JF-Expert Member
- Dec 5, 2013
- 1,545
- 1,905
Hapa tuna la kujifunza.
Rwanda waliwekeza kwenye IT mpaka leo tunaenda kujifunza kwao, sisi tumekaa tunajenga reli ya kwenda chato!!
Na tozo kwenye simu mbona umeisahau
Hapa tuna la kujifunza.
Rwanda waliwekeza kwenye IT mpaka leo tunaenda kujifunza kwao, sisi tumekaa tunajenga reli ya kwenda chato!!
Hiyo nchi iko Mbingunisafi sana mama yetu pambana kutupeleka kwenye nchi ya asali na maziwa
Tuna maprofesa wa IT wamejazana pale JALALANI alafu leo tunaomba Rwanda watufundishe IT!!
Tanzania itatuchukua miaka mingi kujitambua.kweli Rwanda Ni mahala pa kwenda kujifunza.
Sure,magauni amwachie Tulia/Dorotiaanaemvalisha mama ajitokeze , sio kwa mapigo haya
Kwani sisi tunashindwa nini kutengeneza simu?IT sio tu kukaa kwenye computer, mfano rwanda wanatengeneza simu zao wenyewe wanauza ndan ya nchi
Kwani sisi tunashindwa nini kutengeneza simu?
Tatizo ujuzi na uwezo wetu havithaminiwi na wenye mamlaka kwa sababu wanazozijua wao.
Subiri yaje yamkute yaliyowakuta Uganda. Mwisho ni kudukua simu za watu wakeRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema mazungumzo kati yake na Rais Paul Kagame yamejikita zaidi katika kuimarisha na kukuza uhusiano wa kiuchumi.
Amesema, "Kubwa tulilokubaliana ni kukuza ushirikiano zaidi. Tanzania na Rwanda tuko kwenye Biashara na Uwekezaji, bado tuna fursa nyingi tunazoweza kutumia".
Ameongeza, "Leo tumesaini makubaliano kwamba tunaendelea kuweka uhusiano mkubwa kwenye matumizi ya TEHAMA. Rwanda mpo mbele yetu na tupo tayari kuja kujifunza kwenu".
Rais Paul Kagame amesema Taifa hilo lipo tayari kufanya kazi kwa karibu na Tanzania ili kuharakisha kufufua Mataifa hayo na Ukanda wa Afrika Mashariki kwa ujumla kufuatia mlipuko wa janga la COVID-19
Kagame amesema changamoto zinazoukabili Ukanda wa Afrika Mashariki zinaweza kutatuliwa kwa mshikamano na fursa zinazonufaisha pande zote
Rais Samia Suluhu Hassan yupo Nchini Rwanda kwa ziara ya siku mbili
Madikteta wakutane kigaliRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema mazungumzo kati yake na Rais Paul Kagame yamejikita zaidi katika kuimarisha na kukuza uhusiano wa kiuchumi.
Amesema, "Kubwa tulilokubaliana ni kukuza ushirikiano zaidi. Tanzania na Rwanda tuko kwenye Biashara na Uwekezaji, bado tuna fursa nyingi tunazoweza kutumia".
Ameongeza, "Leo tumesaini makubaliano kwamba tunaendelea kuweka uhusiano mkubwa kwenye matumizi ya TEHAMA. Rwanda mpo mbele yetu na tupo tayari kuja kujifunza kwenu".
Rais Paul Kagame amesema Taifa hilo lipo tayari kufanya kazi kwa karibu na Tanzania ili kuharakisha kufufua Mataifa hayo na Ukanda wa Afrika Mashariki kwa ujumla kufuatia mlipuko wa janga la COVID-19
Kagame amesema changamoto zinazoukabili Ukanda wa Afrika Mashariki zinaweza kutatuliwa kwa mshikamano na fursa zinazonufaisha pande zote
Rais Samia Suluhu Hassan yupo Nchini Rwanda kwa ziara ya siku mbili
Kuna kitu ndani ya bomba chaja.Hapa tuna la kujifunza.
Rwanda waliwekeza kwenye IT mpaka leo tunaenda kujifunza kwao, sisi tumekaa tunajenga reli ya kwenda chato!!
Pengine hatuendelei kwasababu tunakimbilia KUKIMBIA kabla hata ya KUTAMBAA,Kwa dunia ya sasa bila tehama utaendeleaje??