Rais Samia afanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya mafuta ya Shell

Sasa umeleta hapa kama taarifa au tujadili hii mada. Jamii forum ya siku hz , hata mtu akiongea na mpenzi wake wameleta huku, mbona zamani ilikuwa ni mada za kujenga. Jf walipeni watu fedha wawe wanaleta mada za maana sio hz za ujinga ujinga
Unacho kipinga ndio mfano halisi ya wana JF wengi, unao wataka wapo lakini ni wachache.
Na hao wachache hawawezi kupewa nafasi ya kuchangia kwa uwezo wao mkubwa bila either kuwa interrapted or diverted.

Facebook members wamejaa humu.
 
Hivi maana yake sasa hivi tunahama kutoka bwawa la nyerere na kuingia kwenye gasi tena ?

CCM hawataifikisha nchi hii popote wallahi
Chifu,

Hii ni miradi miwili TOFAUTI kwa 100%...

Bwawa la Nyerere is just for uzalishaji wa umeme...

Gesi inayozungumziwa hapa ni "tofauti" na ile gas ambayo kwa sasa ndo inautzalishia umeme (Gas ya Msimbati na Songosongo)!

Gas inayozungumziwa hapa bado haijaanza kuchimbwa, na ni mradi mkubwa sana! Ni ile gas ambayo, processing plant peke yake, as June 2015, ilikuwa ijengwe kwa USD 30 Billion!!

Ni ile gas ambayo Muhongo aliwaambia akina Mengi kwamba wana pesa ya kuuzia juice tu, lakini hawana ubavu wa kuwekeza kwenye gas!!

Sema mimi binafsi, nilikuwa in favor na huu mradi kuliko Mradi wa Bwawa la Nyerere kwa sababu Mradi huu unaweza kutupatia kile tutakachopata kutoka Bwawa la Nyerere lakini Bwawa la Nyerere haliwezi kutupa kila kinachoweza kupatikana kutoka kwenye mradi wa gesi!!
 
Chifu,

Hii ni miradi miwili TOFAUTI kwa 100%...

Bwawa la Nyerere is just for uzalishaji wa umeme...

Gesi inayozungumziwa hapa ni "tofauti" na ile gas ambayo kwa sasa ndo inautzalishia umeme (Gas ya Msimbati na Songosongo)!

Gas inayozungumziwa hapa bado haijaanza kuchimbwa, na ni mradi mkubwa sana! Ni ile gas ambayo, processing plant peke yake, as June 2015, ilikuwa ijengwe kwa USD 30 Billion!!

Ni ile gas ambayo Muhongo aliwaambia akina Mengi kwamba wana pesa ya kuuzia juice tu, lakini hawana ubavu wa kuwekeza kwenye gas!!

Sema mimi binafsi, nilikuwa in favor na huu mradi kuliko Mradi wa Bwawa la Nyerere kwa sababu Mradi huu unaweza kutupatia kile tutakachopata kutoka Bwawa la Nyerere lakini Bwawa la Nyerere haliwezi kutupa kila kinachoweza kupatikana kutoka kwenye mradi wa gesi!!
Toka waziri huyu mpya ameingia madarakani msukumo wa kumaliza hili bwawa ni mdogo sana.

Naona kila akiamka anawaza gesi tu.

Instincts zangu zinaniambia mradi wa bwawa la Nyerere utatelekezwa tusubiri bajeti ijayo tutaona haya maajabu.
 
Toka waziri huyu mpya ameingia madarakani msukumo wa kumaliza hili bwawa ni mdogo sana.

Naona kila akiamka anawaza gesi tu.

Instincts zangu zinaniambia mradi wa bwawa la Nyerere utatelekezwa tusubiri bajeti ijayo tutaona haya maajabu.
Ingawaje nami nilikuwa napendelea zaidi gesi kulinganisha na Bwawa la Nyerere, lakini kwa hapa tulipofikia kutelekeza mradi itakuwa ni ujinga uliopindukia!!!

Mradi tayari umeshakula pesa nyingi sana, tena za mkopo!! Katika hali kama hiyo, kuute kuutelekeza itakuwa ni ujinga wa kiwango cha reli!!

Hata hivyo, kisichowezekana popote pale duniani, Tanzania kupitia CCM kinawezekana!!!
 
Ingawaje nami nilikuwa napendelea zaidi gesi kulinganisha na Bwawa la Nyerere, lakini kwa hapa tulipofikia kutelekeza mradi itakuwa ni ujinga uliopindukia!!!

Mradi tayari umeshakula pesa nyingi sana, tena za mkopo!! Katika hali kama hiyo, kuute kuutelekeza itakuwa ni ujinga wa kiwango cha reli!!

Hata hivyo, kisichowezekana popote pale duniani, Tanzania kupitia CCM kinawezekana!!!
Mwelekeo wa serikali huangaliwa kwa statements za viongozi.

Tangu Samia kaingia madarakani umewahi kumsikia akizungumzia bwawa la Nyerere ?

Kamuondoa Kalemani aliyekuwa anatia msukumo ujenzi wa bwawa lile kaweka Waziri ambaye kabadilisha mwelekeo kurudi kwenye gesi.

Hata bungeni baada ya Samia tu uliona jinsi msukumo wa kurudi kwenye umeme wa gesi ulivyoibuka.

Huenda bwawa hili likatelekezwa au likasimama kwa kisingizio cha kukosa fedha.

Bajeti ijayo itatoa mwelekeo lakini ukiona CCM wanapigia msukumo jambo fulani ujue kuna upigaji.

Angalia hata bodi mpya ya Tanesco
 
nimetafakari nkaona kuna watu wanazingua , hivi mtu analeta mada kama hii Tujadili nini sasa ???

Hii JF siku hizi ishakuwa FB ,nashauri waweke utaratibu kuanzia mtu mwenye degree ndo awe na uwezo wa kutoa uzi na si vingine

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Degree zenyewe hizi za C & P toka vitabuni! Wasomi wa Tz hata mawazo mapya tu hawawezi leta kwenye jamii.
 
Uwazi ndio muhimu, hasa kwa mradi mkubwa kama huo wa LNG,lakini cha zaidi kampuni kongwe,maarufu na kubwa duniani. SHELL kwenye mradi huu.
SHELL ina uwezo na uzoefu wa miradi sampuli hii karibu kila pembe ya dunia.Tunachosubiri ni kuona maslahi mapana ya taifa letu yamezingatiwa kabla ya mradi kuanza.
Yes, transparency and integrity.
 
Wanataka kuwekeza kwenye LNG au CNG?

Ingekuwa poa hao jamaa wawekeze na kwenye CNG, tumechoka kulipia petrol ambayo kila uchwao bei inapanda hatari...
 
Sijasoma gas na mafuta lakini naweza kueleza kidogo kile nachokielewa.

jaribu kujifunza factors za oil and gas formation. Kajifunze temperature ya gas and oil formation, kajifunze aina ya organic matter inayotengeneza gas, kajifunze aina ya organic matter inayotengeneza mafuta.
Offshore reserve yoyote ya mafuta mengi ina gas kidogo, vice versa ya gas nyingi ina mafuta kidogo.

In addition to several other by products kwenye distillation process.
 
Back
Top Bottom