Rais Samia aendelea kumuenzi Hayati Dk. John Joseph Pombe Magufuli

Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaenzi wazee wetu Dk Jakaya Mrisho Kikwete na Hayari Dk John Pombe Magufuli tayari amefanikisha ujenzi wa daraja la Tanzanite|daraja la Salenda walioliasisi wao lenye urefu wa kilometa 1.03 lililogharimu Jumla ya TZS 243.7BL.

Masaa machache tu Rais Samia baada kuwasili katika uwanja wa ndege wa JKNIA alienda moja kwa moja mahali linapojengwa daraja hili la Tanzanite ambalo hata hivyo ujenzi wake uko ukingoni.

Kitendo cha Rais Samia kutua tu Uwanja wa ndege na kuelekea kwenye mradi inaonesha kwa kiasi gani Rais wetu anaguswa na miradi hii mikubwa inayojengwa kwa fedha za kodi ya Watanzania,

Hongera Sana Rais Samia Suluhu Hassan huu ndio Uzalendo wa kweli daraja limekwisha sasa kazi iendele kwa kasi & Weledi zaidi,


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

Tunakuelewa sana Rais wetu
 
Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaenzi wazee wetu Dk Jakaya Mrisho Kikwete na Hayari Dk John Pombe Magufuli tayari amefanikisha ujenzi wa daraja la Tanzanite|daraja la Salenda walioliasisi wao lenye urefu wa kilometa 1.03 lililogharimu Jumla ya TZS 243.7BL.

Masaa machache tu Rais Samia baada kuwasili katika uwanja wa ndege wa JKNIA alienda moja kwa moja mahali linapojengwa daraja hili la Tanzanite ambalo hata hivyo ujenzi wake uko ukingoni.

Kitendo cha Rais Samia kutua tu Uwanja wa ndege na kuelekea kwenye mradi inaonesha kwa kiasi gani Rais wetu anaguswa na miradi hii mikubwa inayojengwa kwa fedha za kodi ya Watanzania,

Hongera Sana Rais Samia Suluhu Hassan huu ndio Uzalendo wa kweli daraja limekwisha sasa kazi iendele kwa kasi & Weledi zaidi,


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

Kazie iendelee kwa heri,
 
Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaenzi wazee wetu Dk Jakaya Mrisho Kikwete na Hayari Dk John Pombe Magufuli tayari amefanikisha ujenzi wa daraja la Tanzanite|daraja la Salenda walioliasisi wao lenye urefu wa kilometa 1.03 lililogharimu Jumla ya TZS 243.7BL.

Masaa machache tu Rais Samia baada kuwasili katika uwanja wa ndege wa JKNIA alienda moja kwa moja mahali linapojengwa daraja hili la Tanzanite ambalo hata hivyo ujenzi wake uko ukingoni.

Kitendo cha Rais Samia kutua tu Uwanja wa ndege na kuelekea kwenye mradi inaonesha kwa kiasi gani Rais wetu anaguswa na miradi hii mikubwa inayojengwa kwa fedha za kodi ya Watanzania,

Hongera Sana Rais Samia Suluhu Hassan huu ndio Uzalendo wa kweli daraja limekwisha sasa kazi iendele kwa kasi & Weledi zaidi,


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

Safi sana Mama
 
Nchi inaendeshwa kwa dira na wala si kumuenzi mtu period. Tuache hizi siasa zisizo na mashiko. Tukae chini tupange tunataka nini put up a strategic plans (ipo imetupwa huko) na kuzilinda kisheria asije mtu akatutoa kwenye dira. Nchi inaendeshwa kama familia ya mtu. Rais kataka hiki kifanyike haya twende huko hapana kule sawa. Hatutaenda popote. Tutamwaga mihela kusiko na tija mwisho wake tunaenda in circles. Tunabakia mule mule miaka nenda rudi. Hata idara ya mipanga imevunjwa nchi inaendeshwa kwa matakwa ya Rais sio wananchi tena.
 
Hilo daraja sio serikali ilfanikisha iwe ya Magufuli au Samia limejengwa kwa hela za wakorea

Serikali haikuwa na mpango wa kujenga iwe ya Magufuli , Kikwete, nyerere Wala Mwinyi.

Credit ziende kwa wakorea
Wacha kuitesa nafsi yako bila sababu, yani yote hayo uliyoandika ni kujaribu tu kukwepa kukubali kuwa limejengwa na legendary Magu😅
Unajitesa bro!.
 
Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaenzi wazee wetu Dk Jakaya Mrisho Kikwete na Hayari Dk John Pombe Magufuli tayari amefanikisha ujenzi wa daraja la Tanzanite|daraja la Salenda walioliasisi wao lenye urefu wa kilometa 1.03 lililogharimu Jumla ya TZS 243.7BL.

Masaa machache tu Rais Samia baada kuwasili katika uwanja wa ndege wa JKNIA alienda moja kwa moja mahali linapojengwa daraja hili la Tanzanite ambalo hata hivyo ujenzi wake uko ukingoni.

Kitendo cha Rais Samia kutua tu Uwanja wa ndege na kuelekea kwenye mradi inaonesha kwa kiasi gani Rais wetu anaguswa na miradi hii mikubwa inayojengwa kwa fedha za kodi ya Watanzania,

Hongera Sana Rais Samia Suluhu Hassan huu ndio Uzalendo wa kweli daraja limekwisha sasa kazi iendele kwa kasi & Weledi zaidi,


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

Awesome,
 
Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaenzi wazee wetu Dk Jakaya Mrisho Kikwete na Hayari Dk John Pombe Magufuli tayari amefanikisha ujenzi wa daraja la Tanzanite|daraja la Salenda walioliasisi wao lenye urefu wa kilometa 1.03 lililogharimu Jumla ya TZS 243.7BL.

Masaa machache tu Rais Samia baada kuwasili katika uwanja wa ndege wa JKNIA alienda moja kwa moja mahali linapojengwa daraja hili la Tanzanite ambalo hata hivyo ujenzi wake uko ukingoni.

Kitendo cha Rais Samia kutua tu Uwanja wa ndege na kuelekea kwenye mradi inaonesha kwa kiasi gani Rais wetu anaguswa na miradi hii mikubwa inayojengwa kwa fedha za kodi ya Watanzania,

Hongera Sana Rais Samia Suluhu Hassan huu ndio Uzalendo wa kweli daraja limekwisha sasa kazi iendele kwa kasi & Weledi zaidi,


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

Samia ni jembe lazima tuelewe
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom