CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,980
- 4,076
Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaenzi wazee wetu Dk Jakaya Mrisho Kikwete na Hayari Dk John Pombe Magufuli tayari amefanikisha ujenzi wa daraja la Tanzanite|daraja la Salenda walioliasisi wao lenye urefu wa kilometa 1.03 lililogharimu Jumla ya TZS 243.7BL.
Masaa machache tu Rais Samia baada kuwasili katika uwanja wa ndege wa JKNIA alienda moja kwa moja mahali linapojengwa daraja hili la Tanzanite ambalo hata hivyo ujenzi wake uko ukingoni.
Kitendo cha Rais Samia kutua tu Uwanja wa ndege na kuelekea kwenye mradi inaonesha kwa kiasi gani Rais wetu anaguswa na miradi hii mikubwa inayojengwa kwa fedha za kodi ya Watanzania,
Hongera Sana Rais Samia Suluhu Hassan huu ndio Uzalendo wa kweli daraja limekwisha sasa kazi iendele kwa kasi & Weledi zaidi,
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Tunakuelewa sana Rais wetu