Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Muha ni mzoefu sana wa kuongea na taasisi kubwa kama IMF na world bank.Amtume Nani? Huyo muha wewe unamuona ni presidential material kuwakilisha nchi kwenye high level policy dialogue!?
Bajeti zilipokuwa zikipungua ni yeye aliyekwenda New York kuongea na wakubwa wa dunia ili tupatiwe pesa.