Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,657
- 7,268
Hiyo ID yako ina hakisi jinsi ulivyokuwa chawa.Kumekucha,
Huyu mama nimemnyooshea mikono na miguu
Hiyo ID yako ina hakisi jinsi ulivyokuwa chawa.Kumekucha,
Huyu mama nimemnyooshea mikono na miguu
#Nakupenda Tanzania
Mkuu si ulisema nchi haina Mungu ndio maana mvua hazinyeshi ghafla unakubali kuwa SSH amefanikiwa??Hongera kwa Hilo vigezo vya kuongezeka nimeviona vinakubalika
Napongeza serikali kwa hilo
Mjinga wewe mazao yaliyouzwa kuingiza pesa za kigeni yalipandwa kipindi Cha magufuli unanichokoza au!.hayo mauzo ya mazao nje yalipandwa na kukomaa kipindi Cha mama Samia? Nikisifu serikali niache ukiingia ndani nitakwambia tunasubiri mazao tlyatakayopandwa kwenye huu ukama na yeye avune ajidai mauzo ya njeMkuu si ulisema nchi haina Mungu ndio maana mvua hazinyeshi ghafla unakubali kuwa SSH amefanikiwa??
CCM bila unafki
RubbishKazi kubwa na nzuri anazozifanya Rais Samia Suluhu Hassan zimewaduwaza wachumi,
Hii ni baada ya akiba ya fedha za kigeni ( Gross official foreign reserves ) kuongezeka zaidi ndani ya miezi miwili tu nakufikia $6.7BL sawa na TZS 15.41 kutoka $5.9BL sawa na TZS 13.57 mwezi Septemba,
Ongezeko hili ni karibu TZS 2 trilioni linalomfanya Rais Samia ndani ya kipindi chake hiki kifupi kuongeza Jumla ya TZS 4Trilion kwenye hifadhi ya fedha za kigeni,rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na Rais yeyote wa awamu yeyote,
Ongezeko hili linachangizwa zaidi na uuzaji nje ( Exports ) wa bidhaa pamoja na huduma hasa mazao ya Chakula kama mchele, Mahindi, maharagwe na mboga mboga,
Kwamsiojua,ongezeko hili ni mbali ya ongezeko la gharama za uagizaji mafuta nje zilizokua kwa 18.3% nakufikia $1.7BL
Jambo la Pili ni Uwekezaji mkubwa kutoka inje Foreign Direct Investments ( FDIs ) uliofikia $2.9BL sawa na TZS 6.7Trilioni,
Ukuaji huu wa uwekezaji ni sawa na mara sita zaidi ya uwekezaji wote uliofanywa mwaka uliopita katika kipindi kama hicho cha kati ya Mwezi Machi na Agosti,
Ongezeko hili linaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa kipindi kisichopungua karibu miezi saba rekodi ambayo haijawahi kufikiwa tangu kuwako wa Taifa hili miaka sitini ( 60 ) iliyopita,
Tanzania kwa sasa ndio nchi inayokuza hifadhi yake kwa kasi Ukanda mzima wa Africa Mashariki na Tumevuka lengo la EAC lakuwa na akiba ya kuagiza bidhaa na huduma nje kwa kipindi kisichopungua miezi 4.5
View attachment 2018173
Hilo jarida limeongelea kuhusu umeme? Ama maji?
Kuongeza reserve huku hakuna maji wala umeme kuna faida gani kwa watanzania?
Juzi wamewgiza ndege nne za zaidi ya Bilioni 780 wakati watu hawana maji wala umeme, hii nchi ina vituko.
Huyu mama uwezo wa kuongoza nchi hana.
Faida ya hiyo reserve ni kua na shule kama hizi.
Watakwambia hamna kitu sijui maushungi kumbe wivu na chuki zinawasumbua
Hayo.mazao yameuzwa nje Sana kuingiza pesa za kigeni yalipandwa kipindi Cha mcha Mungu Magufuli yamevunwa kipindi Cha SamiaMkuu si ulisema nchi haina Mungu ndio maana mvua hazinyeshi ghafla unakubali kuwa SSH amefanikiwa??
CCM bila unafki
Hata lako naona linaakisiHiyo ID yako ina hakisi jinsi ulivyokuwa chawa.
Mungu Magifuli!!Hayo.mazao yameuzwa nje Sana kuingiza pesa za kigeni yalipandwa kipindi Cha mcha Mungu Magufuli yamevunwa kipindi Cha Samia
Tunasubiri ya kwake yatakayopandwa kipindi chake ndio uje na hoja Kama yeye mcha Mungu au kafiri
Mavuno yaliyopaisha uchumi yalipandwa kipindi Cha Uraisi wa Magufuli sio Uraisi wa Samia
Mradi gani umekwama?uchumi gani ambao hauna refection yeyote kwa watanzania!?, bidhaa Bei znapanda,zingine hazpatkani kiurahisi,umeme umekuwa shaka na hofu ,miradi ya kimkakati haiendi !!??, Ni ujinga kutuletea porojo hapa!!
Sisemi waiuze TANESCO wakae nayo tuu kama wanataka ila waachie private sector wafanye hiyo biashara bila kuipendelea TANESCO, sheria za sasa haziruhusu mtu binafsi kuzalisha na kuuza umeme, sheria ya sasa unaweza kuzalisha umeme lakini lazima uwauzie TANESCO kwa bei watakayokupangia kusambaza huruhusiwi, matatizo ya umeme na maji nchi nyingi zimeshasahau na sio luxury tena, monopoly ya TANESCO ndio matatizo yote yanapoanzia, tubadili sheria tuachane na huu ujinga wa kututia umaskiniAngalia utaambiwa umetumwa na Makamba
Sijui huo uwoga unatoka wapi, hata China ambao tunafikiri ni communist, serikali yao haifanyi hizo biashara tena wanachofanya ni kuwapa pesa au kuwahakikishia mikopo sector binafsi ili wafanye vitu vyao, umeme ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi na bila umeme umaskini hautoisha TanzaniaUpo sawa ila hili pendekezo lina hatari zake pia.
Labda umeme wa majumbani na biashara ndogo ndogo ndo watu binafsi wapewe halafu mambo mengine yote yanayohusu nchi kama jeshi, miradi mikubwa, viwanda nk umeme uwe wa serikali.
Mapambio kama kazi, ingizo jipya.Kumekucha,
Huyu mama nimemnyooshea mikono na miguu
Sawa sawaKumekucha,
Huyu mama nimemnyooshea mikono na miguu
Mkuu wewe ni msaada kwa CCM na Taifa kwa ujumla wake,Yeye ni Mungu wa kuzuia ukame? Kwa akili zake sasa ndio unaona anakomaa na gas Ili hata ukame ukija usipate Mgao.
Samia anawanyima usingizi,go Samia go hadi nyongo ziwatokee puani 👇
View attachment 2018239
View attachment 2018240
View attachment 2018241
View attachment 2018242
View attachment 2018243
View attachment 2018244
View attachment 2018245
View attachment 2018246
View attachment 2018247