Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,724
Kama sigara kali yani, wanawashwa mbele na nyumaNi bavicha hao,, hawajawahi kuwa serious.
Kama sigara kali yani, wanawashwa mbele na nyumaNi bavicha hao,, hawajawahi kuwa serious.
Hakuna wa kumfananisha mwamba, jiwe, JPM hata siku moja. Ngoja tuanze kula urojo huku chamwino ndio tutafurahi.Shujaa John Pombe Joseph Magufuli atabaki kuwa rais wa karne, mwamba, jasiri, mbeba maono na mtekelezaji...
Tusimlinganishe Rais Samia Suluhu Hassan na JPM. Sisi tuangalie utekelezwaji miradi na ilani ya kurasa 303
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan
Kazi iendelee
Mimi bado nalia na TCRA na vifurushi, mama soon nitakuona dhaifu
Duuh! Kumbe Magufuli alikuwa muuaji kiasi hicho!Watu kama hawa ambao wanautumia vibaya uhuru wao wa habari ndiyo maana jiwe alikuwa anawapoteza.
Usiishie kucheka, toa mawazo uliokoe taifa. Tuliofikiri wana akili waliishia kutuletea rasimu ya 50/50 wanaume kwa wanawake bungeni.naishia kucheka sana. Ngoja ninyamaze. Una wazo jema la katiba ila unambebesha lawama asiyehusika
Aisee!! Kweli kabisaNa Mungu atusamehe
Naomba nikupajike jina la Mheshiwa Gagnija. Yaani sijui walikuwa wanawaza nini wakati kuna mambo makubwa na ya msingi yanalihusu taifa. Na hela walikula. Mimi nitaanza kutema nyongo humu kuhusu katiba very soon.Usiishie kucheka, toa mawazo uliokoe taifa. Tuliofikiri wana akili waliishia kutuletea rasimu ya 50/50 wanaume kwa wanawake bungeni.
Nashindwa kujua walikunywa mvinyo gani wakati wanatuandikia takataka hizi kwa posho ndefu tulizowalipa, badala ya kutueleza seriakali ya muungano ichangiwe vipi gharama zake kiuwiano.
Sasa Kama mwelekeo haupo tusemeje!Watanzania vigeugeu sana, mara hii mama kashakuwa dhaifu
Yetu macho.Nasubiri siku 100 nitoe tathmini sahihi kwa huyu Mama.
VitasaLook like mtu kaukimbia uzi wake baada ya kupewa vitasa vya maana
Matumaini hewaWengi wao hao ni wale MATAGA FC!!yaani siku 50, tu ndio ushushe lawama zote hizo?, si bora hata huyu anakubali madhaifu, na kuwa tayari kuyarekebisha??yule aliyekuwa kila kitu anajua yeye miaka 5 amefanya nini?kubwa?hata leo hajaongeza mishahara lakini watu amewapa matumaini, sasa meko, unaulizia haki yako, UNATISHIWA??