Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,499
- 4,211
hongera kwa kuwa wewe hautafariki mkuuBasi niseme sote tuliofurahi Yule joka ibilisi kutupwa kuzimu tar 17 machi
hongera kwa kuwa wewe hautafariki mkuuBasi niseme sote tuliofurahi Yule joka ibilisi kutupwa kuzimu tar 17 machi
Nitakufa kwa heshima sio kwa fedheha kama yeye na genge lake.hongera kwa kuwa wewe hautafariki mkuu
sawa tunajua utazikwa na mamilioni ya watanzania tena sanasana wale wanyonge watu. watalia sana tena wataruka mpaka uzio wa airport kuja kukuaga!Nitakufa kwa heshima sio kwa fedheha kama yeye na genge lake.