Rais Samia; Achana na hoja ya Haki Sawa inakupotezea Ushawishi ndani ya jamii

Jana niliona aibu kweli kweli... kutamka mbegu hadharani niliona aibu kubwa..
Halafu mwanamke hajazidiwa Mbegu tu na mwanamme...

Kwa iyo sisi wanawake wametuzidi mayai...!!??

Aisee kusimama kuzungumzia maumbile kila siku ni kuonyesha bado kuna kutokjiamini mahali...

Halafu pia muda huisha pambania nchi,gender achana nazo.

Ukweli ni kwamba Mwanamke anayehangaikia sana usawa huishia kuwa Radical kwenye hayo mambo na kuwachukia wanaume..
Huwezi kupambana na asili wakati na wewe ni zao la hiyo asili..

Hata zikiwa awamu mbili Muda huisha. Mzee wa msoga mvumulivu sana.
Ndo maana kila siku anacheka tu...
Anajua kualign na Time.
Washauri wake wanapaswa kumshauri aache hii.. Asimame kama rais wa nchi na si mama
 
RAIS SAMIA, ACHANA NA HOJA YA HAKI SAWA. INAKUPOTEZEA USHAWISHI NDANI YA JAMII.

Na, Robert Heriel.
Kidogo umetoa Ushauri mzuri,umfikie..

Anaweza kuongoza au hata kufanya uteuzi bila kuhubiri mambo ya jinsia..

Ukimteua Mwanamke ampambe kwa weledi wake na si mambo ya jinsia na haki sawa

Nilisoma somewhere kwamba Angel Merkel wa Ujerumani hajawahi hangaika na mambo ya jinsia au kupigania jinsia,so nadhani ni ushauri murua..

Wanasema acha wao waone wenyewe.
 
Kidogo umetoa Ushauri mzuri,umfikie..

Anaweza kuongoza au hata kufanya uteuzi bila kuhubiri mambo ya jinsia..

Ukimteua Mwanamke ampambe kwa weledi wake na si mambo ya jinsia na haki sawa

Nilisoma somewhere kwamba Angel Merkel wa Ujerumani hajawahi hangaika na mambo ya jinsia au kupigania jinsia,so nadhani ni ushauri murua..

Wanasema acha wao waone wenyewe.


Yes, Acha tuone uwezo sio mdomo.
 
RAIS SAMIA, ACHANA NA HOJA YA HAKI SAWA. INAKUPOTEZEA USHAWISHI NDANI YA JAMII.

Na, Robert Heriel.

Kwa maoni na mtazamo wangu ambao kimsingi nauamini, ninaona mbele zaidi miaka kadhaa ijayo. Naomba Mhe. Rais uachane na hoja ya Haki Sawa bhaina ya Mwanamke na Mwanaume.
Haki sawa, mbona wanaume wanaoa wanawake wawili mpaka wanne kama Suleiman, kwanini na wao wasikubali kuolewa au kuwa na wanaume watatu au zaidi? wakati wanataka haki sawa?
 
RAIS SAMIA, ACHANA NA HOJA YA HAKI SAWA. INAKUPOTEZEA USHAWISHI NDANI YA JAMII.

Na, Robert Heriel.

Kwa maoni na mtazamo wangu ambao kimsingi nauamini, ninaona mbele zaidi miaka kadhaa ijayo. Naomba Mhe. Rais uachane na hoja ya Haki Sawa bhaina ya Mwanamke na Mwanaume.

Hakunaga haki Sawa baina ya mwanamke na Mwanaume.
Nature ipo hivyo na ndivyo ilivyoamua. Kwa kawaida watu wote wanaolazimisha usawa wa haki Kwa vitu tofauti hupambana na Nature/Asili.
Mkuu, kujaribu kuwaelezea wakina mama hili jambo, ni kama tuu kunywa maji mengi kuzuia njaa!
 
Ila wacha aongoze tuu, inawapa wanawake motisha ya kupambana na kuacha kuwachuna na kutegemea wanaume.

Mwanamke akileta za kuleta, unamwambia acha ujinga pambana kama mwanamke mwenzako Samiah, then anapoa kama maji ya mtungi.
 
Haya ni maajabu. Tazama panya wanavyoabudiwa. Waumini wanaamini ukimuona panya mweupe unabarikiwa zaidi



Usisahau kugusa neno SUBSCRIBE ili kupata na kujua maajabu zaidi duniani

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app

Huu no muendelezo tu wa dhana za kijinga na kipumbavu kwamba chochote kikicho cheupe ni bora.
Na cheusi ni laana au kilicho daraja la chini (inferior).

Let me ask you what about black pearl?
What about Moors who brought civilisation in Europe?
What about Philip from the Kush Land?
What about original Nubians, original Egyptians?
What about a famous and successful neuro surgeon Dr. Ben Carson?
 
Tanzania sio nchi ya kidini, ni "secular" state
RAIS SAMIA, ACHANA NA HOJA YA HAKI SAWA. INAKUPOTEZEA USHAWISHI NDANI YA JAMII.

Na, Robert Heriel.

Kwa maoni na mtazamo wangu ambao kimsingi nauamini, ninaona mbele zaidi miaka kadhaa ijayo. Naomba Mhe. Rais uachane na hoja ya Haki Sawa
 
"Sema wanawake wanapenda mambo rahisi, wanapenda kupendelewa, wanapenda kupewa hata Kwa wasichokitolea jasho, Jambo ambalo ni ngumu."

HILI TUSI HIIIIILI!!

Mungu anisamehe.
 
"Sema wanawake wanapenda mambo rahisi, wanapenda kupendelewa, wanapenda kupewa hata Kwa wasichokitolea jasho, Jambo ambalo ni ngumu."

HILI TUSI HIIIIILI!!

Mungu anisamehe.


Huo ndio ukweli hakuna tusi hapo.

Wao Kula Kwa jasho wanaita kunyanyaswa na kukandamizwa
 
Bandiko zuri, limeandikwa kistadi na umahiri wa hali ya juu.

Mheshimiwa rais naamini ataelewa.
 
RAIS SAMIA, ACHANA NA HOJA YA HAKI SAWA. INAKUPOTEZEA USHAWISHI NDANI YA JAMII.

Na, Robert Heriel.

Kwa maoni na mtazamo wangu ambao kimsingi nauamini, ninaona mbele zaidi miaka kadhaa ijayo. Naomba Mhe. Rais uachane na hoja ya Haki Sawa bhaina ya Mwanamke na Mwanaume.
Nimesoma andiko lako; ni ama hujui nini linazungumziwa kuhusu concept ya gender equality au ni mtu very primitive na mwenye primitive notion ya patriarchy system. Nataka nikusaidie ili usirudi tena kumjadili Rais kitoto namna hii.

Mosi, kuanzia first wave feminism (1920) kule Marekani, watu kama Suzan Anthony, walipigania haki ya wanawake kuchagua na kuchaguliwa katika uchaguzi. Wakafanikiwa. Second wave feminism (1960), ilihusu haki za kijamii na kifamilia.

Third na fourth wave feminism (1990-2000). Hapa ndipo unakutana na Maazimio 12 ya Beijing, Millennium Development Goals na Sustainable Development Goals (2015'230). Point ni nini? Ni kwamba ktk dhana ya usawa wa kijinsia ktk vipindi vyote hivyo hatuzungumzii mama avae wasifu wa baba wala baba avae wasifu wa mama ktk familia au jamii. Lazima muelewe.

Tunachojadili ni equal rights za kiuchumi, jamii na political arena. Tunajua hakuna usawa wa asilimia 100 unaweza hupatikana duniani ila kinachozungumzwa na kieleweke ni kwamba; mwanamke au mtoto wa kike ana uwezo sawa tena wakati mwengine kuzidi mwanaume au mtoto wa kiume. Hivyo kinachosisitizwa ni uelewa kwamba hakuna first class na second class ktk jamii kati ya wanawake na wanaume linapokuja suala la kazi. Hizi gender roles stereotype kwamba kazi hii anafanya mwanaume hii mwanamke ni culture zetu tu, hasa za KiAfrika. Ulaya na Marekani zinafutika drastically. Merkel kawa Kansela wa Ujerumani kwa miaka 16 hadi kaamua kung'atuka.

Hivyo, usawa wa kijinsia hatuzungumzii kupima misuli na kumwaga jasho kati ya wanawake na wanaume bali dhana nzima ya kwamba mwanamke au mtoto wa kike anaweza kufanya kazi nzuri tu kama au hata kuliko mtoto wa kiume au mwanaume. Family ni cornerstone ya Taifa lakini msimamizi kwa sehemu kubwa ni mwanamke. Wapo wanaume irresponsible, walevi na wendawazimu lakini mama analea. Hata huko mashambani vijijini wanawake ndiyo wakulima siye tukivuna tuna control na ku decide mauzo na matumizi ya mazao.

Hitimisho, gender and development ni taaluma. Siyo ya kujadili kichwa kichwa. Hakuna maendeleo wala kisiwa wanaishi wanawake au wanaume tu. Haitatokea. Kwa hiyo gender ni issue ya maendeleo . Lazima kuwe na full participation ya girls na boys na women na men. Full participation ndiyo inayozungumzwa ktk fursa za maendeleo ya kiuchumi, siasa na kijamii. Siyo mama awe baba au baba awe mama.

THAT'S IS MY POSITION.
 
Nimesoma andiko lako; ni ama hujui nini linazungumziwa kuhusu concept ya gender equality au ni mtu very primitive na mwenye primitive notion ya patriarchy system. Nataka nikusaidie ili usirudi tena kumjadili Rais kitoto namna hii.

Mosi, kuanzia first wave feminism (1920) kule Marekani, watu kama Suzan Anthony, walipigania haki ya wanawake kuchagua na kuchaguliwa katika
Wewe hujamwelewa mtoa mada! Wala hujajua mama Samia alichokuwa anaongelea na mtoa mada anachokosoa!
 
Back
Top Bottom