Rais samia achana na debt diplomacy, unahatarisha uchumi wetu

Ndo madhara ya kushindwa kutumia akili kwenye kukusanya kodi, matokeo yake nchi inakosa kodi za kutosha na kinachofuata ni kuomba mikopo.

Na wazungu wakikuona unapenda mikopo, ndo wanafurahi maana watakupa mingi sana ili ikuleweshe. Ukifuatilia nchi kama Zambia, Sudan, Ethiopia, Zimbabwe zilianguka kwa style hii.

So umeandika vema, mikopo ni sumu kubwa sana saa nyingine
 
Habarini ndug,

Siku za hivi karibuni tumeshuhudia ziara nyingi nje ya nchi, za rais samia. Ni ziara nzuri kwa kua zinaimarisha ushirikiano. Lkn kinachonishangaza ni kwamba, naona anazidi kupotea kila siku.

Diplomasia yake inakua ni ya kuomba mikopo na kuongeza madeni, badala ya kua diplomasia inayotunufaisha wote.

Anapiga simu nyingi kwa viongozi wa taasisi akitaka apewe mikopo. Mikopo hiyo inahatarisha uhuru wetu na kutufanya tukubali mambo ya ajabu kama chanjo za corona na upuuzi mwingine.

Naomba awekeze nguvu kutatua matatizo ya watanzania km ajira, umasikini, Huduma za afya nakadhalika. Aache kufanya safari zinazotuletea mambo ya ajabu ambayo hata hayati magufuli hakuyapenda kwa sababu yanahatarisha uhuru wetu.

Itafika muda watamwambia, ili tukupe misaada basi kubali chanjo iwe lazima kwa kila raia km wanavyotaka kufanya huko kwao.

Siioni future nzuri ya tanzania km samia ataendelea na mwenendo huu. Saivi anakiburi , anaanza kutesa wapinzani na kubambikia watu kesi.

Tusipomzuia mapema, ataota pembe huyu.
Hazina ni nyeupe haina kitu..Ashukuru Mungu hizi tozo zinampa mafuta ya kuruka na ndege angepanda bodaboda
 
Ndo madhara ya kushindwa kutumia akili kwenye kukusanya kodi, matokeo yake nchi inakosa kodi za kutosha na kinachofuata ni kuomba mikopo.

Na wazungu wakikuona unapenda mikopo, ndo wanafurahi maana watakupa mingi sana ili ikuleweshe. Ukifuatilia nchi kama Zambia, Sudan, Ethiopia, Zimbabwe zilianguka kwa style hii.

So umeandika vema, mikopo ni sumu kubwa sana saa nyingine
Wacha ianguke kwani kuna mwenye uchungu nayo? Kikubwa uhai tu.
 
Tatizo ni kwamba, unakopa kwa nani na anakupa masharti gani.mama samia anakokopa, anadanganywa

..SSH amekopa wapi, na kwa malengo gani?

..Magufuli naye alishakopa, tena kwa kasi kubwa.

..Na vile walivyotuingiza kwenye uchumi wa kati maana yake masharti ya kukopa siyo nafuu kama awali.

..I hope hatutarudi kwenye tatizo la madeni kama alilolikuta Mzee Mkapa, ambalo lililazimisha mawaziri wake wa fedha wafanye kazi ya ziada kulipa madeni hayo, mpaka tukaingia kwenye HIPC program.
 
Lazima mkope ili Uchumi ukue,mkikosa kukopa hamtakuwa na pesa za kufanya Big projects ambazo zitajilipia Deni zenyewe,Mkikosa mtapitwa mpaka Na Uganda Chezeni tu na Kenya inaendelea kuwapiga Gapu kabisa.Ambacho hamjafahamu Deni Unaweza kuchukua uitumie Vizuri na uweze kuilipa,nikama vile uchukuwe Loni kwenye Benki ufungue Hoteli alafu itajilipa na itakuletea mapato pia,Muwe na Heshima kwa Madam Rais Tafadhali
 
Habarini ndug,

Siku za hivi karibuni tumeshuhudia ziara nyingi nje ya nchi, za rais samia. Ni ziara nzuri kwa kua zinaimarisha ushirikiano. Lkn kinachonishangaza ni kwamba, naona anazidi kupotea kila siku.

Diplomasia yake inakua ni ya kuomba mikopo na kuongeza madeni, badala ya kua diplomasia inayotunufaisha wote.

Anapiga simu nyingi kwa viongozi wa taasisi akitaka apewe mikopo. Mikopo hiyo inahatarisha uhuru wetu na kutufanya tukubali mambo ya ajabu kama chanjo za corona na upuuzi mwingine.

Naomba awekeze nguvu kutatua matatizo ya watanzania km ajira, umasikini, Huduma za afya nakadhalika. Aache kufanya safari zinazotuletea mambo ya ajabu ambayo hata hayati magufuli hakuyapenda kwa sababu yanahatarisha uhuru wetu.

Itafika muda watamwambia, ili tukupe misaada basi kubali chanjo iwe lazima kwa kila raia km wanavyotaka kufanya huko kwao.

Siioni future nzuri ya tanzania km samia ataendelea na mwenendo huu. Saivi anakiburi , anaanza kutesa wapinzani na kubambikia watu kesi.

Tusipomzuia mapema, ataota pembe huyu.
Pumba tupu hizi!!
 
Mpaka China,JapanUSA,etc Zote Zina Deni 100% and above,walitumia hizo pesa Vizuri Ndio maana wako na Uchumi mzuri
 
Tutapata raisi mwema lini Tanganyika
.... siku ya mwisho wa dunia !! Akiwa mwema tutamachukia kwa vile ataonekana dikteta, na tutakayempenda aasiyekuwa diktetena ataonekana dhaifu na mpenda kupiga maraha nje ya nchi tu.
 
Toka lini Nyie waafrika mkawa huru?
Hao watoa mikopo wamekuja kukuchapa fimbo uchukue mkopo?
Kaya na kujifanya mjuaji mwisho kimebadilisha Nini kwa wananchi au vitambulisho vya machinga
 
Hapo ndio unakosea maana chini ya chadema kutakua na uhuru hadi kufundisha ushoga. Chini ya ccm ni uhuru wa nchi na watu wake kujitafutia maendeleo
Kweli kabisa , ushoga utashika kasi chini ya chadema
 
Habarini ndug,

Siku za hivi karibuni tumeshuhudia ziara nyingi nje ya nchi, za rais samia. Ni ziara nzuri kwa kua zinaimarisha ushirikiano. Lkn kinachonishangaza ni kwamba, naona anazidi kupotea kila siku.

Diplomasia yake inakua ni ya kuomba mikopo na kuongeza madeni, badala ya kua diplomasia inayotunufaisha wote.

Anapiga simu nyingi kwa viongozi wa taasisi akitaka apewe mikopo. Mikopo hiyo inahatarisha uhuru wetu na kutufanya tukubali mambo ya ajabu kama chanjo za corona na upuuzi mwingine.

Naomba awekeze nguvu kutatua matatizo ya watanzania km ajira, umasikini, Huduma za afya nakadhalika. Aache kufanya safari zinazotuletea mambo ya ajabu ambayo hata hayati magufuli hakuyapenda kwa sababu yanahatarisha uhuru wetu.

Itafika muda watamwambia, ili tukupe misaada basi kubali chanjo iwe lazima kwa kila raia km wanavyotaka kufanya huko kwao.

Siioni future nzuri ya tanzania km samia ataendelea na mwenendo huu. Saivi anakiburi , anaanza kutesa wapinzani na kubambikia watu kesi.

Tusipomzuia mapema, ataota pembe huyu.
Ufipa st kwa kulalamika hawajambo , piga kazi madame , @kaziiendelee✅
 
Hapo ndio unakosea maana chini ya chadema kutakua na uhuru hadi kufundisha ushoga. Chini ya ccm ni uhuru wa nchi na watu wake kujitafutia maendeleo
Kuna uhuru gani hapa?kwa maendeleo gani hayo ambayo miaka 60, ya uhuru hadi leo bado mnazungumzia matundu ya vyoo?!!watoto kusomea chini ya miti?!!sema kuwa mna watu wengi wasiojitambua tu, na ndio mtaji wenu, serikali yenye viongozi warafi tupu, itawezaje kumletea mlalahoi maendeleo?!!unakuta jitu lina sema eti vita ya UGANDA, iliharibu sana uchumi wetu ndio maana hadi leo haujatengemaa!!!sababu ya kitoto kabisa,
 
AKITAFUTA KODI KUPITIA MIAMALA UNAPIGA KELELE. AKIKOPA UNAPIGA KELELE. HIZO SAFARI NI MUHIMU SANA KUREJESHA MAHUSIANO AMBAYO YALIKUA YAMEHARIBIKA KUPINDUKIA.
 
Sisi waislam haufai kutoa rais. Rekodi ya waliokuwa marais kabla ya SSH iko wazi
 
Hapo ndio utajua kuwa watawala sometimes hamnazo

..ni watu wa hovyo sana.

..wizara ya kilimo budget ni billion 294.

..ununuzi wa madege toka kwa mabeberu ni trillion 2.

..CCM hawako ktk vita na mabeberu, wako ktk vita na wakulima walalahoi wa Tz.
 
Back
Top Bottom