Amelewa madaraka we mwache tu mbona huko nyuma alishawahi kuwepo mtu kama huyu? Yupo wapi sasa?Mwelekeo wa mheshimiwa mbona unatia mashaka? Siku zinavyo kwenda mbele ndivyo ambavyo anazidi kuonekana tofauti sana kwa kauli na matendo.
Jee ni washauri wabovu au hulka zake tuu?
View attachment 1903736