Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,796
- 12,239
Una maanisha yule jambazi? Sijaelewa kabisa!Kila Rais anapoonekana amekosea wanasingiziwa wasaidizi wake akifanya vizuri anapongezwa yeye
Kwa huu unafiki wa watanzania usitegemee tanzania kupiga hatua
Yule mwanaume aliyelala chato ni mtu pekee tuliyepewa kuibadilisha tanzania kwa wakati huu ila Mungu alimwita mapema tuombe atokee mwingne
Kama ni yule, umenoa! Afadhali Mungu alivyompenda zaidi kwani alishaleta nuksi!