Rais Samia aambiwe ukweli, vinginevyo Taifa litaangamia

Pls guy's give our President Samia a break,Rais Samia anajitahidi mno na kwa kipindi kifupi ameonyesha she is a superb,kelele za mtoa hoja hii mbona hukuileta wakati wa kipindi cha mwendazake?elewa uelewa wa Rais wa sasa ndio umekupa wewe nguvu wa kuandika haya bila woga.Give credits inapositahili usiwe kama spoiled child.

Akae kwa kutulia c alikubali kula kiapo mwenyewe kwan alijua uraisi ni kiremba cha uchawi apambane aache kulala hovyo. Kazubaa sana bhana utadhan anaongoza vicoba mxiew
 
Miezi miwili hii makelele mengi.

Wakati watu mliu fyata kimyaa Kwa miaka mitano. Huu ni unafiki.

Ndo ujue sasa hivi hatuna kiongozi , watu haya mambo hayakuwepo, mwanaume akikohoa tu watu lazima waulizane magu anataka nini
 
Miezi miwili hii makelele mengi.

Wakati watu mliu fyata kimyaa Kwa miaka mitano. Huu ni unafiki.

Kiongozi usipokua makini na mwenye uthubutu na mwenye misimamo thabiti, wananchi hawawezi kukupanda kichwani , huyu Mama watampa headache akiendelea kuwa soft , hii nchi magufuli ndo alikua anaiweza bwana
 
Sio unafiki bro, ni woga! Yule jamaa alikuwa kama Dracula, ukiingia anga zake unapotea. Bora huyu ukimzingua mnazinguana! Ndiyo maana sasa unaona watu wanajiachia ki roho safi katika nchi yao!

Mama ana mikwara tu , amzingue nani ? Magufuli ndo alikua mafia sasa, magufuli hapelekeshwi kama Mama, Mama anapewa maagizo mengi Ndio maana inam cost hafanyi yeye kama yeye
 
Referee kwenye hiyo nafasi huwa wananchi wa kawaida sio JF kwa majority. Kauli za angekuwepo fulani haya mambo yasingekuwepo au tulishaanza sahau zinarudi kwa kasi mtaani.

Asilimia kubwa ya JF members awawakilishi maisha halisi ya watanzania ambao wengi hawapo kwenye ajira rasmi, wanafunzi au wakulima; wanaotegemea efficiency kwenye utendaji serikalini kupata nafuu ya changamoto zao

Muda unavyoenda wataongea, Magufuli aliwazoesha mazingira yanayotabirika, tunarudi kule kule kwenye uzembe wa mtendaji mmoja unaleta chain reaction yenye madhara kwa watu wengi sana.

Juzi TRA na server sijui kama washa sort, leo bandari, kesho TANESCO; kila siku jipya. Enzi za hayati sasa hivi ungeona mawaziri wanakimbilia kwenye media kabla mtu ajapoteza ajira, siku hizi mambo ya kazi na bata.

Hakuna kama magufuli , tumeshaanza kuona pengo lake, vizuri huwa havidumu kwa kweli
 
Pls guy's give our President Samia a break,Rais Samia anajitahidi mno na kwa kipindi kifupi ameonyesha she is a superb,kelele za mtoa hoja hii mbona hukuileta wakati wa kipindi cha mwendazake?elewa uelewa wa Rais wa sasa ndio umekupa wewe nguvu wa kuandika haya bila woga.Give credits inapositahili usiwe kama spoiled child.
Watanzania siku zote wakipewa uhuru Wana uabuse wakinyimwa wanalalamika, kiufupi mama asisikilize kabisa kelele za mtandaoni, afanye anayoona yanafaa ili mradi iwe ni kwa nia thabiti ya kuiletea nchi maendeleo huku akifuata katiba bhasi. Watanzania ujuaji. Mwingi Sana pumbavu.
 
Eneo la kwanza ni kuheshimu katiba na sheria, hili ni eneo ambalo kama nchi tunataka kudumisha upendo na amani ni la kuzingatia kwa nguvu zote. Samia ameapa kulinda katiba asipofanya hivyo ni uhaini na lazima atakuja kuchukuliwa hatua bila kujali kinga za Urais. Mila na utamaduni wa Taifa lo lote hudumisha na kuimarishwa na katiba yake.

Eneo la pili na uhuru na haki ya wananchi wote bila kujali cheo cha mtu au nafasi yake katika jamii. Hivi sasa kuna watu wanajiona wana haki zaidi ya wengine na hivyo kufanya vitendo vya uonevu na dhuluma dhidi ya wengine. Kuna watu wanasota magerezani bila kuhukumiwa na wengine wamehukumiwa kwa uonezi na husda. Hii si sawa kabisa, Rais Samia anapaswa kuchukua hatua za haraka ikiwa ni pamoja na kuunda tume huru ya kijaji kuchunguza haki za wote waliopo mahabusu na gerezani.

Eneo la tatu ni kusikilizwa kwa maoni na vilio vya wananchi bila kujali itikadi zao za kisiasa. Pamoja na kuwa na katiba na sheria zilizopo lakini watu wengi wamekuwa wakiathirika na baadhi ya vifungu vya sheria hizo kwa sababu ni za uonevu na zimetungwa kulinda maslahi ya baadhi ya watu.

Aidha kuna sheria zimetungwa kudhibiti baadhi ya watu na vyama vya siasa bila kuzingatia haki zao za msingi za kikatiba. Kwa hiyo kilio cha kupata katiba mpya ambayo itaendana na wakati wa sasa ni muhimu kusikilizwa na pia kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi ambayo itatoa haki sawa kwa kila mtu na vyama vyote vya siasa.

Rais ni taasisi
 
Mama ana mikwara tu , amzingue nani ? Magufuli ndo alikua mafia sasa, magufuli hapelekeshwi kama Mama, Mama anapewa maagizo mengi Ndio maana inam cost hafanyi yeye kama yeye
sorry mama anapewa maagizo? na nani?
rais anapewa maagizo na nani?
 
Pls guy's give our President Samia a break,Rais Samia anajitahidi mno na kwa kipindi kifupi ameonyesha she is a superb,kelele za mtoa hoja hii mbona hukuileta wakati wa kipindi cha mwendazake?elewa uelewa wa Rais wa sasa ndio umekupa wewe nguvu wa kuandika haya bila woga.Give credits inapositahili usiwe kama spoiled child.
Naunga mkono hoja yako
 
Rais ni taasisi
Hiyo taasisi ya Rais inaitwaje?

Msamiati wa Rais ni taasisi ulianza enzi za marehemu Mkapa baada ya kuteua washauri wengi wa kumsaidia katika nyanja mbalimbali.

Alipokuja Kikwete hakuwahitaji sana washauri na badala yake kama aliona mtu fulani anafaa katika kusimamia eneo fulani alimteua katika nafasi ile. Kumbuka aliwahi kusema " Urais wangu hauna ubia na mtu ye yote".

Kipindi kilichopita cha Magufuli washauri hawakuwa na kazi yo yote kwani hakuna aliyeaminiwa na kazi zote alifanya mwenyewe hata za mawaziri!

Hivi sasa msamiati huu umeanza kurudi baada ya Rais Samia kuteua watu kadhaa kama washauri wake katika masuala mbalimbali.

Kwa kifupi hakuna taasisi ya Rais bali kuna mtu Rais ambaye yeye ni kila kitu katika kuongoza nchi.
 
Miezi miwili hii makelele mengi.

Wakati watu mliu fyata kimyaa Kwa miaka mitano. Huu ni unafiki.
Hao ndo wabongo,alivyokuwepo chuma midomo iliwekwa zipu,hata kufanya maandamano feki walishindwa,leo kidogo tu kelele kibao kama vile hata kwenye maisha yao wanaweza fanya mambo yote kwa mkupuo
 
Hiyo taasisi ya Rais inaitwaje?

Msamiati wa Rais ni taasisi ulianza enzi za marehemu Mkapa baada ya kuteua washauri wengi wa kumsaidia katika nyanja mbalimbali.

Alipokuja Kikwete hakuwahitaji sana washauri na badala yake kama aliona mtu fulani anafaa katika kusimamia eneo fulani alimteua katika nafasi ile. Kumbuka aliwahi kusema " Urais wangu hauna ubia na mtu ye yote".

Kipindi kilichopita cha Magufuli washauri hawakuwa na kazi yo yote kwani hakuna aliyeaminiwa na kazi zote alifanya mwenyewe hata za mawaziri!

Hivi sasa msamiati huu umeanza kurudi baada ya Rais Samia kuteua watu kadhaa kama washauri wake katika masuala mbalimbali.

Kwa kifupi hakuna taasisi ya Rais bali kuna mtu Rais ambaye yeye ni kila kitu katika kuongoza nchi.
Comments reserved
 
Pls guy's give our President Samia a break,Rais Samia anajitahidi mno na kwa kipindi kifupi ameonyesha she is a superb,kelele za mtoa hoja hii mbona hukuileta wakati wa kipindi cha mwendazake?elewa uelewa wa Rais wa sasa ndio umekupa wewe nguvu wa kuandika haya bila woga.Give credits inapositahili usiwe kama spoiled child.
Yaani kaandika maoni kama anamshuri jiwe na sio Samia au mi ndo sijui kusoma vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom