Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Siyo jeshi hilo. Hao kmk

27 Apr 2021
Zanzibar

MKUU MPYA KMKM AANZA KWA KASI, AWATAKA MAKAMANDA WAKE KUWA NA UTII


Mkuu wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo Zanzibar Komodore Azzana Hassan Msingiri amewataka Makamanda wa kikosi hicho kuwa na Ari na Kumuunga mkono Kamanda Mkuu wa Idara Maalumu za S.M.Z ambae ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dr.Hussein Ali Mwinyi kwani yeye ana matumaini makubwa na kikosi hicho.
Source : J Five online tv
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Blaa Blaa Blaa, Hujui kuwa wazanzibari hawataki muungano tunawalazimisha tu
 
Wasioelewa kuwa Zanzibar ni nchi hata kabla ya bara giza la afrika kugawanywa kule Berlin ktk Mkutano wa mabeberu 1884, wapewa somo. Kabla ya 1884 Tanganyika haikuwepo ilikuwa sehemu ya nyika giza la bara la Afrika
https://www.pbslearningmedia.org › ...
The Berlin Conference of 1884-1885 | Africa's Great ...
berlin conference 1884 from www.pbslearningmedia.org
Known as The Berlin Conference, they sought to discuss the partitioning of Africa, establishing rules to amicably divide resources among

8 Jun 2020

Othman Masoud: Zanzibar haikuanza 1964 - Part 1​


Aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amesema kwamba ni makosa kudhani kwamba Zanzibar ilianza mwaka 1964 baada ya Mapinduzi au 1995 baada ya uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi na kwamba jambo ambalo haliwezi kuepukika muda wote ni mabadiliko. Msikilize kwenye sehemu hii ya kwanza ukijitarisha kwa ajili ya sehemu ya pili ya mazungumzo aliyofanya na Radio Noor ya Mjini Unguja.


30 April 2021
Zanzibar

Marekani na Zanzibar zaimarisha tena Mahusiano yao



Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh. Othman Masoud Othman alipotembelewa ofisini kwake kisha mazungumzo na mgeni wake Balozi wa Marekani nchini Mh. Dr. Donald Wright mjini Unguja Zanzibar
Channel Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar.
Source : Makamu Wa Kwanza Wa Rais Zanzibar

Nyaraka za Mwaka 1894 Ziliiokoa Kisiwa cha Fungu Mbaraka​


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud, amesema isingelikuwa jitihada ya serikali rasmi ya Zanzibar iliyoanzishwa 1890 na kuhifadhi kumbukumbu zake kwenye nyaraka za kihistoria, likiwemo Gazeti Rasmi la Serikali ya Zanzibar mwaka 1894, ingelikuwa imepoteza umiliki wa kisiwa maarufu cha Fungu Mbaraka (Latham Island) kilichopo kusini mwa kisiwa cha Unguja.

Mheshimiwa Othman amewaambia maafisa hao kwamba ofisi yao ni muhimu sana sio tu katika kuihabarisha jamii lakini pia kuweka kumbukumbu muhimu za kitaifa. "Uwepo wa nyaraka na kumbukumbu za serikali katika taifa kuna umuhimu mkubwa sana hata katika ukombozi wa rasilimali zetu.

Mfano mzuri, ilitokea sintofahamu juu ya kisiwa cha Latham (Fungu Mbaraka), lakini kwa sababu zilikuwepo kumbukumbu rasmi zilizoandikwa tangu Oktoba mwaka 1898, zilisaidia kukirudisha kisiwa hicho katika himaya ya Zanzibar," alisisitiza.

Kisiwa hicho kisichokaliwa na watu kiko umbali wa maili 36 kutoka Rasi ya Kizimkazi, kina urefu wa mita 320 na upana wa mita 164.5 tu.

Kinatumiwa kama mapumziko ya wavuvi wanaokwenda dago na pia mazalia makubwa ya ndege.

Mheshimiwa Othman amesema yapo mambo mengine mengi ambayo wananchi wanatakiwa kufahamishwa kupitia Gazeti Maalum la Serikali, akitoa mfano wa masuala yanayotokea Bungeni Dodoma na ambayo yanahusu moja kwa moja Mambo ya Muungano.

"Mambo kama haya yanapaswa pia kuwekwa kwenye kumbukumbu na Gazeti Maalum la Serikali," amesema. Makamu huyo wa Kwanza wa Rais amewasihi pia watendaji hao kuweza kutumia karatasi zenye ubora katika kuandikia nyaraka muhimu ili ziweze kukaa kwa muda mrefu bila kuharibika.

"Miaka 100 iliyopita,Zanzibar ilikuwa bora sana katika sekta hii. Hivyo ni vyema kuendeleza hili ili lisiweze kupoteza hadhi yake," alisema Mheshimiwa Othman.

Mheshimiwa Othman ameyasema hayo leo (Jumanne, Aprili 20) alipotembelea ofisi za Wakala wa Serikali wa Uchapaji iliyopo Maruhubi, kando kidogo ya kitovu cha Unguja Mjini.

Awali mapema Makamu huyo wa Kwanza wa Rais, ambaye alipokelewa ofisini hapo na watendaji wa ofisi hio wakiongozwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Tabia Maulid Mwita, alipata fursa ya kutembelea na kujionea utendaji kazi wa kiwanda cha uchapaji kilichomo ndani ya ofisi hizo sambamba na kubadilishana mawazo na watendaji.
 
24 Apr 2021
Migombani, Zanzibar

ALAMA ZA ZANZIBAR: Uhifadhi wa Nyaraka za Kisheria​


Zanzibar ina tareikh ya muda mrefu ya kuhifadhi na kuchapisha nyaraka zake ikiwemo law reports toka mwaka 1856 . Anaelezea hapa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Bwana Othman Masoud Othman.

Source : Gumzo la Ghassani
 
9 May 2021

Mkuu wa JKU atembelea Chuo cha Uongozi JKU Dunga. Awata wakufunzi JKUZ kusimamia nidhamu na uajibikaji.



Source : JKU HABARI ZANZIBAR
 
Tulimponda na kumkosoa sana Hayati JPM kwa style hii ya kuamua tu mambo aonavyo kichwani mwake.
Kuweni wazi pia kwa Mama.
Nilimsikiliza Bungeni, na leo.
AMEKOSEA SANA. FULL STOP. Semeni ukweli, hata kama akiwa ni wa upande wenu.
Wanafki hao
 
hiyo ni serikali yake....wewe inaakuhusu nini....kwani aliwahi kuja kuingilia serikali ya faamilia yako....?
 
27 May 2021
Maputo, Mozambique

Mozambique: Nyusi welcomes SADC leaders in Maputo​

President of Mozambique, Filipe Nyusi

President of Mozambique, Filipe Nyusi

The Mozambican Head of State and President-in-Office of the Southern African Development Community ( SADC ), Filipe Nyusi, receives on Thursday, May 27, the Extraordinary Summits of the Troika of the SADC Organ More Mozambique and the Double SADC Troika.

In the statement released by the Presidency of the Republic, it reads that “these summit meetings are taking place following the regional approach that has been taken to combine efforts in the fight against terrorism , complementing the actions of the Mozambican Government in order to normalize the situation and provide support for people affected to pursue the national development agenda ” .

The meeting, held in Maputo, will be attended by the President of Botswana and President of the SADC Organ for Politics, Defense and Security, Mogkweetse Masisi, the President of Malawi and Vice President of SADC, Lazarus Chakwera, and the President of South Africa and Vice President of the SADC body, Cyril Ramaphosa.

The President of the Republic of Zanzibar, representing the President of the United Republic of Tanzania and Outgoing President of SADC, Hussein Aly Mwinyi, the President of Zimbabwe and outgoing President of the SADC Organ, Emmerson Mnagwagwa, and the Secretary, is also expected to attend SADC executive, Stergomena Lawrence Tax.

Source : Moçambique: Nyusi acolhe líderes da SADC em Maputo | e-Global
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.

Tumepigwa Bara huyu Mama Mzanzbar zaidi kuhusu mtanzania.
Akiwa na Safari za nje ataenda yeye asipoenda ataenda Mwinyi.
Mama amemteua Mpango ambaye amejaa shukurani kwa kupendelewa kuwa makamu asiyeimudu nafasi yake ya Nini afanye kwa wakati huu kama makamu was rais badala yake ameacha Mwinyi apore nafasi yake kwa kisimgizio Cha uzoefu was kidiplomasia
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.

Tumepigwa Bara huyu Mama Mzanzbar zaidi kuhusu mtanzania.
Akiwa na Safari za nje ataenda yeye asipoenda ataenda Mwinyi.
Hapo Kuna vitu viwili,uislamu na ukristu,ni wakati sasa tuwe wawazi,hivi katiba ikisema makamu atatawala kwa mwaka mmoja kabla ya kuitisha uchaguzi haitoshi,in fact watu wanasema walimchagua mwenda zake,huyu alipita kwa jasho la mwenda zake,now look,wazee wote wako kimya,mama anakanyaga juu,guys!
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.

Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.

Kwenye hotuba zake nyingi.

Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote.

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.

Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.

Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.

Tumepigwa Bara huyu Mama Mzanzbar zaidi kuhusu mtanzania.

Akiwa na Safari za nje ataenda yeye asipoenda ataenda Mwinyi.

Wa kambo wa kambo tu; wengi wao wana visa vya hapa na pale. Hata Rais wa kambo naye lazima awe na visa. Obviously, hii ni behavior ambayo haifanani na behavior ya mtu ambaye yeye mwenyewe amewahi kuwa VP kwa zaidi ya miaka mitano na, kwa kipindi chote hicho, hakuna hata siku moja nafasi yake ya VP iliwahi kuwa placed chini ya ile ya Rais wa Zanzibar.

Mathematically, the URT is a universal set and Zanzibar is just a tiny subset of the URT. Ni ujuha kwa mtu yeyote kufikiria kwamba Rais wa Zanzibar yuko juu ya VP wa JMT.
 
Back
Top Bottom