ngalakeri
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 1,648
- 1,379
Uko sahihi piaMtazamo wangu, angeanza na law enforcers kwanza maana wao wanawajibika moja kwa moja kwa wananchi na Rais, na ndio chimbuko la ama mtu kuelekea kupata au kukosa haki...
Uko sahihi piaMtazamo wangu, angeanza na law enforcers kwanza maana wao wanawajibika moja kwa moja kwa wananchi na Rais, na ndio chimbuko la ama mtu kuelekea kupata au kukosa haki...
Rais anasamehe ukishahukumiwa sio kablaNdugu yangu mahakama iko chini ya Rais, yeye ndiye uteua na kuapisha majaji, mahakama ikitoa hukumu leo, kesho na yeye anaweza toa hukumu ya kusamehe na hivyo kutengua maamuzi ya mahakama.
tusiitafsiri dhana ya mihimili mitatu kichwachwa, let us be realistic.
Wanasahau SSH alifunga safari kwenda Nairobi kumjulia hali tundu lisu, , laiti kama angekuwa na cheo cha kuteuliwa leo hadithi ingekuwa tofauti kabisaNi wangapi wameachiwa since kaingia madarakani? Ni mambo mangapi kayabadili? Kuwa positive mkuu, hii ishu moja ya Mbowe isiwatoe ufahamu
Wewe inaonekana ulikuwa antMagufuri, Magufuri kila siku alikuwa anasimama barabarani kutatua kelo za waliokuwa wanadhurumiwa na kunyimwa haki zao,Machagadema ni wasahaulifu sana kwani Mbowe yuko mahabusu kwa amri ya nani?au nae ni Magufuri alimweka ndani; endeleeni kudanganyana kama watoto wadogo, mnapigwa kwenzi mkionekana mnalia sana mnapewa pipi mnanyamaza,haki sio maneno ya mdomoni tu, tunaitaji kuona haki ikitendeka sio maneno tuHata mm ninapata tumaini kwasababu sijawahi kusikia hyt. JPM akitamka neno HAKI na yeye SSH ndiyo leo namsikia akitamka neno hilo.
Hakuna amani ya kweli bila HAKI.
Sent from my A71 using JamiiForums mobile app