Kama nakumbuka vizuri, aliwahi kuviagiza vyombo vya dola vitende haki na viache kubambikia watu kesi. Nashukuru kuwa toka kauli hiyo hamna raia anayeonewa na vyombo vya dola na mambo ya kubambikiwa kesi yameisha kabisa nchini mwetu...inawezekana amesoma tu alichoandikiwa ktk hotuba.
..mimi nadhani hakumaanisha, na wala haamini hicho alichokisoma.
..kama mnabisha subirini muone kama mahakama zitaanza kutenda haki ktk nchi hii.
Kwanza mihimili mingine inautegemea mhimili wa serikali kuwezeshwa na watendaji wake wanateuliwa na kuapishwa na mhimili wa serikali.Ndugu yangu mahakama iko chini ya Rais, yeye ndiye uteua na kuapisha majaji, mahakama ikitoa hukumu leo, kesho na yeye anaweza toa hukumu ya kusamehe na hivyo kutengua maamuzi ya mahakama.
tusiitafsiri dhana ya mihimili mitatu kichwachwa, let us be realistic.
Baadhi ya wafuasi wa Chadema wameipongeza hatua ya Rais Samia kuitaka mahakama itende haki katika mashauri yanayoletwa mahakamani.
Baadhi ya wafuasi wa Chadema wamepongeza hatua hiyo ya Rais Samia na kusema sasa wana imani kesi za wanachama wao ambazo nyingi ni za kubumba zitapatiwa ufumbuzi wa haraka.
Kama aliwahi kutoa magizo walio wekwa mahabusu kwa kesi za kuzushiwa waachiwe lakini bado wako mahabusu, una tegemea mahakama ita msikiliza??Baadhi ya wafuasi wa Chadema wameipongeza hatua ya Rais Samia kuitaka mahakama itende haki katika mashauri yanayoletwa mahakamani.
Baadhi ya wafuasi wa Chadema wamepongeza hatua hiyo ya Rais Samia na kusema sasa wana imani kesi za wanachama wao ambazo nyingi ni za kubumba zitapatiwa ufumbuzi wa haraka.
Kwani Rugemalira hajatoka?Kama aliwahi kutoa magizo walio wekwa mahabusu kwa kesi za kuzushiwa waachiwe lakini bado wako mahabusu, una tegemea mahakama ita msikiliza??
Suala la Haki ni mpaka mahakama iagizwe?Amesema kweli. Sikiliza kwa umakini, kuanzia dakika 7 amelikazia kwa uzuri zaidi...
View attachment 1966040
Na acha tuamini kuwa alimaanisha...
Karibu Freeman Aikael Mbowe uraiani tena...
TanPol imeponzwa na ujinga wa kutoielewa PGO...!!
Hapana,sidhani kama ni sahihi!Kama Rais anaweza amrisha mahakama/bunge nadhani kuna tatizo!Jaji Mkuu mbona huwa anataka upelelezi wa kesi uharakishwe? Hii ni mihimili inayotegemeana siyo ILIYOTENGANA!
Tanzania mihimili yote ya dola inafanya kazi kwa maslahi ya watu na nchi. Mahakama siyo ya Majaji na Mahakimu ni ya wananchi wanaohitaji haki, Serikali ni ya wananchi na Bunge ni la wananchi# Agizo la Rais akiwa ni Mkuu wa nchi ni sahihi na halali.
Mama alishatoa hukumu take aliposema wanaoshtakiwa pamoja na Mbowe wameshahukumiwa!Gaidi akifungwa msijekulialia hapa haki haijatendeka. Mama hahusiki.
Si ndio haki mnayoisifia!Mama alishatoa hukumu take aliposema wanaoshtakiwa pamoja na Mbowe wameshahukumiwa!
Hapana,sidhani kama ni sahihi!Kama Rais anaweza amrisha mahakama/bunge nadhani kuna tatizo!
Yeye mwenyewe hajui hata anaongea niniNimeanza kuhisi kauli za Samia hazina uzito, yeye atasema hivi wasaidizi wake watafanya vile, hana authority inayotakiwa kiongozi wa aina yake awe nayo, hii kauli yake nayo itapita tu, na polisi na mahakama zitaendelea kutumiwa na CCM kwa maslahi yake kama kawaida.
Ni msanii huyu bibi achana nayeHata mm ninapata tumaini kwasababu sijawahi kusikia hyt. JPM akitamka neno HAKI na yeye SSH ndiyo leo namsikia akitamka neno hilo.
Hakuna amani ya kweli bila HAKI.
Sent from my A71 using JamiiForums mobile app