CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,984
- 4,083
- Thread starter
- #241
Unapenda kulalamika sana mkuuHuku ni kujivika ulimbukeni
Unapenda kulalamika sana mkuuHuku ni kujivika ulimbukeni
Kazi kwelikweliMkuu njoo sasa utup
Mkuu njoo sasa utupe hiyo fact
Ni wajibu wangu kulalamika kama mlipa Kodi na katika nchi watu kama mimi tuna faida kama watawala wakishughulikia malalamiko yetu tofauti na watu wa kusifia hakuna value addition yoyote mnayoongeza sana sana mnaweza mkasababisha kilichotokea kwenye the Emperor has no ClothesUnapenda kulalamika sana mkuu
mmepigwa wapi?Wachache sana wanufaikaji ndio huwa wanamfuatilia sisi tuliowengi tumeshajua tumepigwa kitambo. Roho ya Marehemu John Joseph Pombe Magufuli ipate REHEMA kwa MUNGU ipumzike kwa AMANI amina.
Wewe unalalamika zaidi mkuuNi wajibu wangu kulalamika kama mlipa Kodi na katika nchi watu kama mimi tuna faida kama watawala wakishughulikia malalamiko yetu tofauti na watu wa kusifia hakuna value addition yoyote mnayoongeza sana sana mnaweza mkasababisha kilichotokea kwenye the Emperor has no Clothes
Na wewe njoo usaidie kulalamika wajibu wangu ni kulipa kodi na kuwakumbusha / kuwaambia ninaowalipa / niliowaajiri kuwaambia wapi hapako sawa..., hayo mambo ya kusifiwa watasifiwa na ndugu zao (after all ni wajibu wao ambao hawaufanyi) Sasa anayejenga ni nani kati yangu mimi na wewe ?Wewe unalalamika zaidi mkuu
Hesabu sahihi ni punguzo la 0.1% na sio 1%Misaada ya wahisani kutoka 8.2% hadi 8.1% sawa na punguzo la 1%.
Kifo kilitudhulumu binadamu mwenye uzalendo wa kweli pamoja na mapungufu ya kibinadamu lakini mambo mengi yalikuwa yanaenda na tena hadharani sio ktk mitandao ya kijamiimmepigwa wapi?
Sasa huoni tofauti?Hesabu sahihi ni punguzo la 0.1% na sio 1%
😀😀😀Mama hata ujipigie debe vipi, kazi imeishakushinda
Kazi ni nzuri mnoKwamsiofahamu, Rais wetu katika kuitegemeza bajeti ya Serikali tayari taratibu ameanza kupunguza misaada na mikopo ya wahisani mfano kwenye bajeti yake ya 2021|22 amepunguza kidogo kutoka 8.2% hadi 8.1% || Nikweli Tanzania tunapokea misaada ila hatuitegemei.
" Hakuna kama Samia "
Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )
Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,
Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.
Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,
Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 1976452
VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Mungu mwemaKazi ni nzuri mno
Hatuna rais kabisa tuna sijui kitu gani nikisema nitakuwa ninetukanammepigwa wapi?
Ila tuna nini? Huna akili kabisa yaaniHatuna rais kabisa tuna sijui kitu gani nikisema nitakuwa ninetukana
Wewe ndio unafaa?Hatuna rais kabisa tuna sijui kitu gani nikisema nitakuwa ninetukana
Hata Hayati alikopa tuKwamsiofahamu, Rais wetu katika kuitegemeza bajeti ya Serikali tayari taratibu ameanza kupunguza misaada na mikopo ya wahisani mfano kwenye bajeti yake ya 2021|22 amepunguza kidogo kutoka 8.2% hadi 8.1% || Nikweli Tanzania tunapokea misaada ila hatuitegemei.
" Hakuna kama Samia "
Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )
Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,
Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.
Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,
Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 1976452
VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Uzalendo kwa Mungu ni nini hata tumkosoe Mung?Kifo kilitudhulumu binadamu mwenye uzalendo wa kweli pamoja na mapungufu ya kibinadamu lakini mambo mengi yalikuwa yanaenda na tena hadharani sio ktk mitandao ya kijamii