fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Naandika kwa ufupi sana maana najua unavyombo vya kukupatia habari na taarifa za uhakika, mimii napiga filimbi tu.
(Matumizi ya kati ya 15-25 Units Julai 2019 maji yalipanda kwa 100% yaani kutoka 700 hadi 1400TZS kwa unit moja,Agosti 2019 maji yakashuka kidogo kutoka 1400 hadi 1220TZS kwa unit moja
Juni 2019 mali yakuwa 700TZs kwa unit moja
Kwa hiyo maji yamepanda kutoka 700 hadi 1220TZS sawa na 75% ongezeko la bei. hali ni kuhujumu kazi na jitihada za rais kuwakomboa wanyonge walau wamudu maji safi na salama. Mufumko wa bei huu ni kejeli kwa jitihada za serikali na fedheha kwa rais wetu.
Maji mwanza yako zero kilometer yaani ziwa Victoria. Kwa nini maji yapande bei kwa 75% au why mtu ama taasisi husika walipitishe ongezeko la 100% kiisha kushusha kidogo to 75%?
Mheshimiwa Rais nani katika mishahara wake ama biashara zake anapata ongezeko la 100% au 75%
Maisha lazima yawape wananchi uhueni sio kwa ongezeko hilo la 75% wakati nyongeza mara nyingi inapaswa kuwa 10%-0%.
Wizara naona wametutelekeza big times
Customer care ya Mwauwasa inakatia simu wateja kisa hawawezi kuelezea nini kimepandisha bei kwa asilimia 100 au hiyo 75 ya Agosti. Hii ni fedheha nyingine, Mnabadilishana simu wakati wa maongezi bila taarifa kwa mteja kama mnavyopandisha maji bila taarifa kwa mteja.
Unanza na Mwanamke unashangaa kawa Mwanaume, inadibi uanze upya na kasha simu inakatwa twaaaaa
Wizara naona wametutelekeza big times, RaiS tupia jicho lako, Tunajua haya mambo kwako ni within minutes tunapata majibu mwafaka.
Mzee wetu umekulia maisha kama yetu wengi hapa TZ maji ni uhai, kupandisha maji kwa namna hiyo ni kushawishi matumizi ya maji machafu na Ambayo sio salama hivyo kuhujumu jitihda zako za Kuongeza Madawa na Vifaa tiba,
Vituo vya Afya na Hospitali maana dawa zimeongezeka sasa kuna watu wanafanya jitihada ya kuonesha dawa hizo bado hazotoshi na ni jitihada mfu. Maana wagonjwa yakiongezeka ni wewe umejumlisha madawa wao wametoa hence zero workdone. Nawasilisha kwa unyenyekevu.
(Matumizi ya kati ya 15-25 Units Julai 2019 maji yalipanda kwa 100% yaani kutoka 700 hadi 1400TZS kwa unit moja,Agosti 2019 maji yakashuka kidogo kutoka 1400 hadi 1220TZS kwa unit moja
Juni 2019 mali yakuwa 700TZs kwa unit moja
Kwa hiyo maji yamepanda kutoka 700 hadi 1220TZS sawa na 75% ongezeko la bei. hali ni kuhujumu kazi na jitihada za rais kuwakomboa wanyonge walau wamudu maji safi na salama. Mufumko wa bei huu ni kejeli kwa jitihada za serikali na fedheha kwa rais wetu.
Maji mwanza yako zero kilometer yaani ziwa Victoria. Kwa nini maji yapande bei kwa 75% au why mtu ama taasisi husika walipitishe ongezeko la 100% kiisha kushusha kidogo to 75%?
Mheshimiwa Rais nani katika mishahara wake ama biashara zake anapata ongezeko la 100% au 75%
Maisha lazima yawape wananchi uhueni sio kwa ongezeko hilo la 75% wakati nyongeza mara nyingi inapaswa kuwa 10%-0%.
Wizara naona wametutelekeza big times
Customer care ya Mwauwasa inakatia simu wateja kisa hawawezi kuelezea nini kimepandisha bei kwa asilimia 100 au hiyo 75 ya Agosti. Hii ni fedheha nyingine, Mnabadilishana simu wakati wa maongezi bila taarifa kwa mteja kama mnavyopandisha maji bila taarifa kwa mteja.
Unanza na Mwanamke unashangaa kawa Mwanaume, inadibi uanze upya na kasha simu inakatwa twaaaaa
Wizara naona wametutelekeza big times, RaiS tupia jicho lako, Tunajua haya mambo kwako ni within minutes tunapata majibu mwafaka.
Mzee wetu umekulia maisha kama yetu wengi hapa TZ maji ni uhai, kupandisha maji kwa namna hiyo ni kushawishi matumizi ya maji machafu na Ambayo sio salama hivyo kuhujumu jitihda zako za Kuongeza Madawa na Vifaa tiba,
Vituo vya Afya na Hospitali maana dawa zimeongezeka sasa kuna watu wanafanya jitihada ya kuonesha dawa hizo bado hazotoshi na ni jitihada mfu. Maana wagonjwa yakiongezeka ni wewe umejumlisha madawa wao wametoa hence zero workdone. Nawasilisha kwa unyenyekevu.