Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,021
- 1,608
Rais wa Kenya, Dkt. William Ruto amemshutumu Mtangulizi wake, Uhuru Kenyatta kwa kusabaisha mzozo wa Kiuchumi na Kiusalama, ambao alisema alihitaji muda kurekebisha, huku akianzisha mipango ya kumalizia Mabwawa na Miradi mingine ambayo alisema ilisitishwa kwa sababu za kisiasa
Amesema, “Wapinzani wetu waliiharibu Nchi hii na sasa watupe nafasi ya kurekebisha fujo zao. Walikuwa na Miaka Mitano ambayo walitumia kuharibu kila kitu Nchini: Walituacha na #Uchumi duni, Nchi iliyojaa Madeni, Usalama uliodorora, Jeshi la Polisi kuwaua watu badala ya kuwalinda”
……………….
President William Ruto Sunday accused his predecessor Uhuru Kenyatta of presiding over an economic and security mess, which he said he needed time to fix, as he rolled out plans to finish dams and other projects whose construction he said were stopped due to political reasons.
For the second day running — first in Kirinyaga on Saturday and yesterday in Kericho — Dr Ruto said President Kenyatta and his preferred successor Raila Odinga had messed up the economy and the security sector. He said the two leaders had no right to criticise him as he sought to fix the mistakes.
“Our opponents, former competitors, should give us a break. They destroyed this country and they should now give us a chance to fix their mess. They had five years which they used to destroy everything in the country: They left us with a dilapidated economy, a debt-laden country, a deteriorated security, a police force out to kill the people instead of protecting them,” Dr Ruto said in Kericho County.
Chanzo: Nation.Africa
Amesema, “Wapinzani wetu waliiharibu Nchi hii na sasa watupe nafasi ya kurekebisha fujo zao. Walikuwa na Miaka Mitano ambayo walitumia kuharibu kila kitu Nchini: Walituacha na #Uchumi duni, Nchi iliyojaa Madeni, Usalama uliodorora, Jeshi la Polisi kuwaua watu badala ya kuwalinda”
……………….
President William Ruto Sunday accused his predecessor Uhuru Kenyatta of presiding over an economic and security mess, which he said he needed time to fix, as he rolled out plans to finish dams and other projects whose construction he said were stopped due to political reasons.
For the second day running — first in Kirinyaga on Saturday and yesterday in Kericho — Dr Ruto said President Kenyatta and his preferred successor Raila Odinga had messed up the economy and the security sector. He said the two leaders had no right to criticise him as he sought to fix the mistakes.
“Our opponents, former competitors, should give us a break. They destroyed this country and they should now give us a chance to fix their mess. They had five years which they used to destroy everything in the country: They left us with a dilapidated economy, a debt-laden country, a deteriorated security, a police force out to kill the people instead of protecting them,” Dr Ruto said in Kericho County.
Chanzo: Nation.Africa