Rais, rushwa Mahakama ya Ardhi, TRA, Polisi na Idara ya Ardhi ni sugu!

Patriot

JF-Expert Member
Feb 11, 2008
5,698
4,693
Ukitaka sikia idara sugu ni hizo: mahakama ya ardhi na hasa Kinondoni. TRA kote nchini, Polisi kote nchini na idara ya ardhi. Haya ni makundi ambayo wamelemaa na ktk ofisi zao, hawana mfano wa mtu ambaye hajapitia rushwa. Ktk idara hizi hakuna walokole, hakuna watu wa dini. Serikali inatakiwa iweke nguvu kubwa pamoja na kutumia watu wa usalama kupambana na idara hizo kuu.

Rais usiishie kulalamika. Watu hawa wanastahili vifungo, bahati mbaya unaitegemea mahakama iliyo hovyo pia! Yabidi maamuzi yatumike kuwatia adabu watu hawa. Ukitaka sikia watu wasio na aibu fika mahakama ya ardhi Kinondoni. Angalia polisi wanachokifanya barabarani, TRA umeisikia mwenyewe na umeambiwa wanachokifanya. Idara ya ardhi, unawezasema ni ulevi wa rushwa. Kweli bado tunahitaji mahubili ya kuachana na rushwa? NO! Watu wafungwe! Wananchi wakitumika vizuri kwa kinga yako, watayasema yooote!
 
Ukitaka sikia idara sugu ni hizo: mahakama ya ardhi na hasa Kinondoni. TRA kote nchini, Polisi kote nchini na idara ya ardhi. Haya ni makundi ambayo wamelemaa na ktk ofisi zao, hawana mfano wa mtu ambaye hajapitia rushwa. Ktk idara hizi hakuna walokole, hakuna watu wa dini. Serikali inatakiwa iweke nguvu kubwa pamoja na kutumia watu wa usalama kupambana na idara hizo kuu.

Rais usiishie kulalamika. Watu hawa wanastahili vifungo, bahati mbaya unaitegemea mahakama iliyo hovyo pia! Yabidi maamuzi yatumike kuwatia adabu watu hawa. Ukitaka sikia watu wasio na aibu fika mahakama ya ardhi Kinondoni. Angalia polisi wanachokifanya barabarani, TRA umeisikia mwenyewe na umeambiwa wanachokifanya. Idara ya ardhi, unawezasema ni ulevi wa rushwa. Kweli bado tunahitaji mahubili ya kuachana na rushwa? NO! Watu wafungwe! Wananchi wakitumika vizuri kwa kinga yako, watayasema yooote!
Watafungwa na nani km umeshasema mahakama nayo yanuka rushwa, cha muhimu usitoe rushwa basi.
 
Rais anajitahidi kupambana na rushwa kwa namna ya kisiasa zaidi kwa hiyo itaendelea kuwepo; itapungua kidogo tu. Hiyo ndo changamoto ya kuongozwa na kiongozi madhubuti huku akitumia mifumo na taasisi dhaifu. Yeye ndo anafaya kazi ya kupambana na rushwa badala ya mifumo na taasisi imara. Hatuezi kutoboa kwa 'One man show'!
 
Usisahau uhamiaji nako too much. Nida ndio usiseme na TRA Kitengo cha leseni za udereva we acha tu.
Tena awamu hii urasimu umezidi na rushwa imepanda bei.
Na wafanyakazi na Viongozi wa serkali wamezidisha vitisho na viburi.
Yaaani sehemu chache tu sehemu nyingi kila jambo ukilitaka ni shida na rushwa tena kubwa.
 
Rais anajitahidi kupambana na rushwa kwa namna ya kisiasa zaidi kwa hiyo itaendelea kuwepo; itapungua kidogo tu. Hiyo ndo changamoto ya kuongozwa na kiongozi madhubuti huku akitumia mifumo na taasisi dhaifu. Yeye ndo anafaya kazi ya kupambana na rushwa badala ya mifumo na taasisi imara. Hatuezi kutoboa kwa 'One man show'!


Hela ya brush ya viatu

Hahahahaha
 
Kwaza kichua Cha habari kisome kabla hauja post
Ukitaka sikia idara sugu ni hizo: mahakama ya ardhi na hasa Kinondoni. TRA kote nchini, Polisi kote nchini na idara ya ardhi. Haya ni makundi ambayo wamelemaa na ktk ofisi zao, hawana mfano wa mtu ambaye hajapitia rushwa. Ktk idara hizi hakuna walokole, hakuna watu wa dini. Serikali inatakiwa iweke nguvu kubwa pamoja na kutumia watu wa usalama kupambana na idara hizo kuu.

Rais usiishie kulalamika. Watu hawa wanastahili vifungo, bahati mbaya unaitegemea mahakama iliyo hovyo pia! Yabidi maamuzi yatumike kuwatia adabu watu hawa. Ukitaka sikia watu wasio na aibu fika mahakama ya ardhi Kinondoni. Angalia polisi wanachokifanya barabarani, TRA umeisikia mwenyewe na umeambiwa wanachokifanya. Idara ya ardhi, unawezasema ni ulevi wa rushwa. Kweli bado tunahitaji mahubili ya kuachana na rushwa? NO! Watu wafungwe! Wananchi wakitumika vizuri kwa kinga yako, watayasema yooote!
 
Usisahau uhamiaji nako too much. Nida ndio usiseme na TRA Kitengo cha leseni za udereva we acha tu.
Tena awamu hii urasimu umezidi na rushwa imepanda bei.
Na wafanyakazi na Viongozi wa serkali wamezidisha vitisho na viburi.
Yaaani sehemu chache tu sehemu nyingi kila jambo ukilitaka ni shida na rushwa tena kubwa.
You said it all mkuu, huko tra kitengo cha leseni ni balaa , huko ni pesa yako tu unapewa daraja unalotaka hata kama hujui kuendesha gari
 
Ukitaka sikia idara sugu ni hizo: mahakama ya ardhi na hasa Kinondoni. TRA kote nchini, Polisi kote nchini na idara ya ardhi. Haya ni makundi ambayo wamelemaa na ktk ofisi zao, hawana mfano wa mtu ambaye hajapitia rushwa. Ktk idara hizi hakuna walokole, hakuna watu wa dini. Serikali inatakiwa iweke nguvu kubwa pamoja na kutumia watu wa usalama kupambana na idara hizo kuu.

Rais usiishie kulalamika. Watu hawa wanastahili vifungo, bahati mbaya unaitegemea mahakama iliyo hovyo pia! Yabidi maamuzi yatumike kuwatia adabu watu hawa. Ukitaka sikia watu wasio na aibu fika mahakama ya ardhi Kinondoni. Angalia polisi wanachokifanya barabarani, TRA umeisikia mwenyewe na umeambiwa wanachokifanya. Idara ya ardhi, unawezasema ni ulevi wa rushwa. Kweli bado tunahitaji mahubili ya kuachana na rushwa? NO! Watu wafungwe! Wananchi wakitumika vizuri kwa kinga yako, watayasema yooote!

CHUKUA HATUA, TUHUMA ZA JUMLA JUMLA NI MAJUNGU.

1. Kuna Taasisi husika, yaani PCCB (TAKUKURU) ambayo jukumu lake ni kuzuia na kupambana na rushwa;

2. PCCB si moja ya Taasisi ulizozituhumu. Ni vyema ungetoa taarifa kwa PCCB, kwa kuwasilisha ushahidi au vielelezo ulivyonavyo dhidi ya watumishi wala rushwa katika taasisi ulizozituhumu.

3. Yamkini, au yawezekana, huenda ikawa tuhuma zako zina ukweli, lakini jinsi ulivyozielezea kijuu juu na kwa jumla jumla hazitofautiani na majungu mengineyo;

3. Ni dhahiri hata kama wewe ni mhanga wa vitendo vya rushwa, haiwezekani wenyeviti au watumishi wote wa Mahakama ya Ardhi ( kwa usahihi inaitwa "Baraza la Ardhi Na Nyumba la Wilaya") Kinondoni, Jeshi la Polisi kwa ujumla, Idara ya Ardhi kwa ujumla na TRA kwa ujumla walikudai rushwa. Haiwezekani. Tuhuma za namna hiyo haziwezi kumsaidia Mh. Rais, PCCB au Taasisi husika kuchukua hatua;

4. Unasema Mh. Rais anaitegemea Mahakama iliyo hovyo! Ingewasaidia sana Mh. Rais na hata Mh. Jaji Mkuu, Mh. Jaji Kiongozi, au Tume ya Maadili ya Watumimishi wa Mahakama, kama ungewapelekea taarifa ukitaja majina ya watumishi unaowatuhumu ili wachukuliwe hatua za kisheria. Vinginevyo, tuhuma zako ni majungu mengineyo.
 
Katika mahakama zetu za ardhi, kuna wazee wa baraza la ardhi hao watu ni hatari sana, mwenyekiti anaweza kumezwa na asijue cha kufanya. Tendeni haki kwa wanyonge wa nchi hii.
 
Rais anajitahidi kupambana na rushwa kwa namna ya kisiasa zaidi kwa hiyo itaendelea kuwepo; itapungua kidogo tu. Hiyo ndo changamoto ya kuongozwa na kiongozi madhubuti huku akitumia mifumo na taasisi dhaifu. Yeye ndo anafaya kazi ya kupambana na rushwa badala ya mifumo na taasisi imara. Hatuezi kutoboa kwa 'One man show'!
Kuna watu wamekuwa wakidai mfumo wa utawala utumike badala ya tumbua tumbua ya rais. Nionavyo, rais kwa kutumia vyombo vyake, anaweza kuwapata watu wachache ambao ni madhubuti na wema. Hao ndo watumike. Wengine ni kuwaacha kado hata kama wako maofisini. Huwezi kuwa na utawala bora kwa kutumia polisi mwizi, hakimu mwizi au waziri mwizi.
 
CHUKUA HATUA, TUHUMA ZA JUMLA JUMLA NI MAJUNGU.

1. Kuna Taasisi husika, yaani PCCB (TAKUKURU) ambayo jukumu lake ni kuzuia na kupambana na rushwa;

2. PCCB si moja ya Taasisi ulizozituhumu. Ni vyema ungetoa taarifa kwa PCCB, kwa kuwasilisha ushahidi au vielelezo ulivyonavyo dhidi ya watumishi wala rushwa katika taasisi ulizozituhumu.

3. Yamkini, au yawezekana, huenda ikawa tuhuma zako zina ukweli, lakini jinsi ulivyozielezea kijuu juu na kwa jumla jumla hazitofautiani na majungu mengineyo;

3. Ni dhahiri hata kama wewe ni mhanga wa vitendo vya rushwa, haiwezekani wenyeviti au watumishi wote wa Mahakama ya Ardhi ( kwa usahihi inaitwa "Baraza la Ardhi Na Nyumba la Wilaya") Kinondoni, Jeshi la Polisi kwa ujumla, Idara ya Ardhi kwa ujumla na TRA kwa ujumla walikudai rushwa. Haiwezekani. Tuhuma za namna hiyo haziwezi kumsaidia Mh. Rais, PCCB au Taasisi husika kuchukua hatua;

4. Unasema Mh. Rais anaitegemea Mahakama iliyo hovyo! Ingewasaidia sana Mh. Rais na hata Mh. Jaji Mkuu, Mh. Jaji Kiongozi, au Tume ya Maadili ya Watumimishi wa Mahakama, kama ungewapelekea taarifa ukitaja majina ya watumishi unaowatuhumu ili wachukuliwe hatua za kisheria. Vinginevyo, tuhuma zako ni majungu mengineyo.
Lugha kama hii ya kwako, huwa naiita ni ya kizembe na kutojitambua. Nchi hii unaijua au uko mitaa ya fisi. Ukiwa na madaraka, mtu akakudokeza uovu ndani ya madaraka yako, usianze kudai undani mkubwa. Eti waambie PCCB, Mahakama siyo wote, kataa kutoa rushwa!, n.k. Hayo ni maoni ya kizembe. Rais kwa nafasi yake ana vyombo vya kuangalia undani wake. Huyu anaposema Kinondoni, siyo siri hata mkuu wa mkoa anaelewa Kinondoni na vituko vyao vya ardhi. Ukiwa rais ukadokezwa hayo, usiangalie Kinondoni tu, angalia na mikoani.

Sheria huwekwa kulinda wanyonge na usifikie hatua ukaanza kuwalaumu wanaoibiwa na kutoa rushwa wakati unaelewa, aliye na shida au tatizo ni muathilika, ni mnyonge. Kila sehemu kuna wema na wabaya. Hatuwezi kuanza kuchambua na kutumia lugha za kisiasa kama miaka yote wanavyosema, 'Jeshi letu la polisi ni zuri ila kuna wachache..........' Hao wachache hawaongezeki kila mwaka?
 
Nakazia apo katika idara ya ardhi...Maafisa ardhi wote wasukumiwe ndani hususani maafisa ardhi wa kigamboni.

Serikali ya awamu ya tano imefeli kuondoa rushwa maeneo hayo
 
CHUKUA HATUA, TUHUMA ZA JUMLA JUMLA NI MAJUNGU.

1. Kuna Taasisi husika, yaani PCCB (TAKUKURU) ambayo jukumu lake ni kuzuia na kupambana na rushwa;

2. PCCB si moja ya Taasisi ulizozituhumu. Ni vyema ungetoa taarifa kwa PCCB, kwa kuwasilisha ushahidi au vielelezo ulivyonavyo dhidi ya watumishi wala rushwa katika taasisi ulizozituhumu.

3. Yamkini, au yawezekana, huenda ikawa tuhuma zako zina ukweli, lakini jinsi ulivyozielezea kijuu juu na kwa jumla jumla hazitofautiani na majungu mengineyo;

3. Ni dhahiri hata kama wewe ni mhanga wa vitendo vya rushwa, haiwezekani wenyeviti au watumishi wote wa Mahakama ya Ardhi ( kwa usahihi inaitwa "Baraza la Ardhi Na Nyumba la Wilaya") Kinondoni, Jeshi la Polisi kwa ujumla, Idara ya Ardhi kwa ujumla na TRA kwa ujumla walikudai rushwa. Haiwezekani. Tuhuma za namna hiyo haziwezi kumsaidia Mh. Rais, PCCB au Taasisi husika kuchukua hatua;

4. Unasema Mh. Rais anaitegemea Mahakama iliyo hovyo! Ingewasaidia sana Mh. Rais na hata Mh. Jaji Mkuu, Mh. Jaji Kiongozi, au Tume ya Maadili ya Watumimishi wa Mahakama, kama ungewapelekea taarifa ukitaja majina ya watumishi unaowatuhumu ili wachukuliwe hatua za kisheria. Vinginevyo, tuhuma zako ni majungu mengineyo.
Taasisi zote ulizotaja ni dhaifu sana katika kudhibiti rushwa...Rushwa imezidi sana katika ofisi za serikali isipokuwa mahospitalini
 
Taasi zote ulizotaja ni dhaifu sana katika kudhibiti rushwa...Rushwa imezidi sana katika ofisi za serikali isipokuwa mahospitalini
Eti anawataja PCCB wakati tunawajua mitaani wanavyobeba bastola na kujichukulia rushwa za wenye matatizo. Waajiliwa wa taasisi hizi, mifano yao mizuri ni wale walioiba, wakachukuwa rushwa na kujilimbikizia mali. Hiyo ndo mifano mizuri yao. Naangalia kazi, mishahara na elimu ya watu wa TRA haiendani popote na mali walizonazo na kila mwajiliwa anahangaika kumzidi mwingine.
 
Kuna kazi zingine ni rahisi tu! Nipe gari, niamue kwenda mbio njia ya Dar- Moro-Dodoma/Iringa. Nipe pesa ya PCCB. Nitawahonga Askari wote na kukupa taarifa, halafu nyuma njoo na gari la usalama ukiwakusanya na kuwapiga pingu. Hapo ndo utaelewa kwamba hatuna askari wa uslama, ni watafutaji na karaha njiani.
 
Dawa ni KATIBA MPYA TU... KATIBA MPYA NZURI KABISA ITATIBU KILA KITU HAPA NCHINI KWETU
 
Baada ya Hayati Mwalimu Nyerere, malezi ya vijana wetu kuanzia mashuleni hayakuzingatiwa.
Wote waliosoma na kuajiriwa wakati wa Nyerere wengi walikuwa waadilifu sana na waliogopa rushwa.
Mwalimu Nyerere pamoja na viongozi wenzake waliweka kauli mbiu isemayo " Rushwa ni adui wa haki"
Mwalimu Nyerere alikuwa mkali sana kwa wapokea rushwa.
Mwalimu Nyerere ilifika mahali alipandikiza watu kila mahali hata wahudumu wa baa ili kumpa taarifa mbali mbali kuhusu wezi wa mali za umma na usalama wa Inchi kwa ujumla. Hii ilifanya hata wale waliokuwa wapenda rushwa kuogopa.
Wakati wa Mwalimu Nyerere ilikuwa haiwezekana kumwona kijana ameanza kazi ana miezi sita tu kazini lakini anaishi maisha ya kifahara na kila mtu anajua kuwa ni mwizi wa mali ya umma.
Wakati wa Mwalimu Nyerere haikuwezekana kijana mdogo kumili gari la kifahari, nyumba ya kifahari na pesa nyingi.
Kulikuwa na mfumo wa watumishi kufuatiliwa mali zao na namna walivyozipata.
Mh. Rais John P. Makufuli anafanya kazi nzuri kupambana na ufisadi, tunamwomba atumie mbinu za mwalimu za kufuatilia na kusubiri mtumishi wa umma akamatwe na rushwa ndiyo aanze kufuatiliwa kuhusu utajiri wake.
 
Baada ya Hayati Mwalimu Nyerere, malezi ya vijana wetu kuanzia mashuleni hayakuzingatiwa.
Wote waliosoma na kuajiriwa wakati wa Nyerere wengi walikuwa waadilifu sana na waliogopa rushwa.
Mwalimu Nyerere pamoja na viongozi wenzake waliweka kauli mbiu isemayo " Rushwa ni adui wa haki"
Mwalimu Nyerere alikuwa mkali sana kwa wapokea rushwa.
Mwalimu Nyerere ilifika mahali alipandikiza watu kila mahali hata wahudumu wa baa ili kumpa taarifa mbali mbali kuhusu wezi wa mali za umma na usalama wa Inchi kwa ujumla. Hii ilifanya hata wale waliokuwa wapenda rushwa kuogopa.
Wakati wa Mwalimu Nyerere ilikuwa haiwezekana kumwona kijana ameanza kazi ana miezi sita tu kazini lakini anaishi maisha ya kifahara na kila mtu anajua kuwa ni mwizi wa mali ya umma.
Wakati wa Mwalimu Nyerere haikuwezekana kijana mdogo kumili gari la kifahari, nyumba ya kifahari na pesa nyingi.
Kulikuwa na mfumo wa watumishi kufuatiliwa mali zao na namna walivyozipata.
Mh. Rais John P. Makufuli anafanya kazi nzuri kupambana na ufisadi, tunamwomba atumie mbinu za mwalimu za kufuatilia na kusubiri mtumishi wa umma akamatwe na rushwa ndiyo aanze kufuatiliwa kuhusu utajiri wake.
Very, very Correct! Kuna watu walikuwa wanaiba halafu wanaishia kujificha nyumbani na pesa zao, wakishindwa hata kuzipeleka benki. Hata bar walishindwa kunywa kwa siku 7 maana vyombo vilikuwa makini kujua huyo mwenye matumizi kama hayo ni nani? Kilichoharibu ni pale marais waliofuata na wao wakawa wezi. Rais anaaamua kujichukulia eneo la wazi au nyumba ya serikali. Ilipotokea hiyo ndo tukaona mtu anapewa pesa bandarini na TRA halafu anazipeleka benki bila kuulizwa amezitoa wapi. Mtu anaamua kuwalipia mashabiki kuingia mpirani, bure, bila kuulizwa pesa kazipata wapi!

Leo hii kuna wafanyakazi wa TRA wanamiliki mahoteli ya mabilioni wakati hata mishahara yao kwa miaka 100 haifiki hapo walipo. Wakikamatwa mahakama zinawaachia kwa sababu za kishenzi tu, eti ni urithi wa ngo'ombe wa baba yangu.
 
Lugha kama hii ya kwako, huwa naiita ni ya kizembe na kutojitambua. Nchi hii unaijua au uko mitaa ya fisi. Ukiwa na madaraka, mtu akakudokeza uovu ndani ya madaraka yako, usianze kudai undani mkubwa. Eti waambie PCCB, Mahakama siyo wote, kataa kutoa rushwa!, n.k. Hayo ni maoni ya kizembe. Rais kwa nafasi yake ana vyombo vya kuangalia undani wake. Huyu anaposema Kinondoni, siyo siri hata mkuu wa mkoa anaelewa Kinondoni na vituko vyao vya ardhi. Ukiwa rais ukadokezwa hayo, usiangalie Kinondoni tu, angalia na mikoani.

Sheria huwekwa kulinda wanyonge na usifikie hatua ukaanza kuwalaumu wanaoibiwa na kutoa rushwa wakati unaelewa, aliye na shida au tatizo ni muathilika, ni mnyonge. Kila sehemu kuna wema na wabaya. Hatuwezi kuanza kuchambua na kutumia lugha za kisiasa kama miaka yote wanavyosema, 'Jeshi letu la polisi ni zuri ila kuna wachache..........' Hao wachache hawaongezeki kila mwaka?

USIPOCHUKUA HATUA NI MAJUNGU.

Hivi unapoombwa rushwa ukatoa, na kisha usiende kutoa taarifa PCCB, halafu unaandika kwenye mitandao kwa tuhuma za juu juu kwa kutumia jina bandia (pseudonym), unakuwa umesaidiaje mapambano dhidi ya rushwa?

Kulalama bila kuchukua hatua, walau kwa kutoa taarifa PCCB ili wachukue hatua mwafaka ni majungu.
 
Back
Top Bottom