Clever505
JF-Expert Member
- Jul 27, 2020
- 1,099
- 2,030
Sasa we unajua lugha gani ikiwa hata kiswahili hujui!Dikteta alikuwa hajui lugha ndiomaana haliogopa kusafiri
"haliogopa" ndo nini sasa?
Sasa we unajua lugha gani ikiwa hata kiswahili hujui!Dikteta alikuwa hajui lugha ndiomaana haliogopa kusafiri
Mimi sihitaji English kihivyo kwenye kazi yangu..ila taifa kama Tanzania lenye mitaala ya English tokea shule za upili kwenda juu kuwa na Raisi asiyeweza kuwasiliana kwa kiingereza ni hasara kubwa.We unayejua English imekusaidia nini
Kwani hizo safari zake sio sehemu ya kujenga nchi?Nawasalimu kwa Jina la Mungu muumba wa mbingu na ardhi.
Jamani, kusafiri ni jambo jema katika kujenga diplomasia na mahusiano ya nchi na nchi. Haipingwi wala haina neno.
Lakini hii kutwa mama wa nchi kukimbizana angani kila wiki inakuaje?
Leo yuko Scotland, kesho Cairo, kesho kutwa Ubelgiji!! HAPANA.
Kitu chenyewe anachokifuata huko ni kujadili kuhusu sijui wingi wa joto angani!!
Jamani, mama yetu tunakupenda sana. Wazungu wako mbali mno, wana muda wa kujadili petty issues. Wewe huo muda hauna.
Wazungu walishajenga nchi zao, sasa hivi wamebaki kujadili kuhusu masuala mepesi mepesi, mara sijui joto angani, mara sijui hali ya upepo jangwa la saharaa!!
MAMA, achana na hao. Jikite kujenga TANZANIA. Maji, Umeme, Ajira, Bei ya bidhaa, Kilimo, Miradi, Miundombinu, usafirii...
Acha mambo ya kubembea Ulaya, hayakusaidii wala hayaisaidii nchii.
Tunakupenda sana na tusingefurahi uharibikiwe. Jenga nchii, jenga uchumi utaepuka kukopa kopa hovyo na kutengeneza tozo za ajabu ajabu zisizoeleweka kisheria wala kimantiki.
Raise taxes, madini simamia, maliasilii, nidhamu kazini na maofisini, pambana na ufisadi. Jenga nchi.
Itakusaidia. Wazungu hawawezi kukujengea nchi. Watakupiga bao wakati wewe unazubaa angani na hiyo midege kila wiki... angani... vuuuu.... vuuuu .... vuuuu... vuuuu...nenda rudi... vuuuu .... vuuuuu... kila wiki... vuuuu .... vuuuu... vuuu....
Wao wanasomba madini, wewe unabembea kwenye ndege. Mafisadi yanaitafuna nchi wewe uko angani unaenda kunywa juisi Ulaya.
Ngoma ikivuma sana iko mbioni kupasuka.
Wasalaam.
Akirudi hao mafisadi hawezi kupata taarifa zao?Nawasalimu kwa Jina la Mungu muumba wa mbingu na ardhi.
Jamani, kusafiri ni jambo jema katika kujenga diplomasia na mahusiano ya nchi na nchi. Haipingwi wala haina neno.
Lakini hii kutwa mama wa nchi kukimbizana angani kila wiki inakuaje?
Leo yuko Scotland, kesho Cairo, kesho kutwa Ubelgiji!! HAPANA.
Kitu chenyewe anachokifuata huko ni kujadili kuhusu sijui wingi wa joto angani!!
Jamani, mama yetu tunakupenda sana. Wazungu wako mbali mno, wana muda wa kujadili petty issues. Wewe huo muda hauna.
Wazungu walishajenga nchi zao, sasa hivi wamebaki kujadili kuhusu masuala mepesi mepesi, mara sijui joto angani, mara sijui hali ya upepo jangwa la saharaa!!
MAMA, achana na hao. Jikite kujenga TANZANIA. Maji, Umeme, Ajira, Bei ya bidhaa, Kilimo, Miradi, Miundombinu, usafirii...
Acha mambo ya kubembea Ulaya, hayakusaidii wala hayaisaidii nchii.
Tunakupenda sana na tusingefurahi uharibikiwe. Jenga nchii, jenga uchumi utaepuka kukopa kopa hovyo na kutengeneza tozo za ajabu ajabu zisizoeleweka kisheria wala kimantiki.
Raise taxes, madini simamia, maliasilii, nidhamu kazini na maofisini, pambana na ufisadi. Jenga nchi.
Itakusaidia. Wazungu hawawezi kukujengea nchi. Watakupiga bao wakati wewe unazubaa angani na hiyo midege kila wiki... angani... vuuuu.... vuuuu .... vuuuu... vuuuu...nenda rudi... vuuuu .... vuuuuu... kila wiki... vuuuu .... vuuuu... vuuu....
Wao wanasomba madini, wewe unabembea kwenye ndege. Mafisadi yanaitafuna nchi wewe uko angani unaenda kunywa juisi Ulaya.
Ngoma ikivuma sana iko mbioni kupasuka.
Wasalaam.
Sisi chadema si tulikubaliana kuwa tunataka rais ambaye hatakuwa anasafiri safiri na kuchekacheka au tumebadili gia angani bila kuambiana?Magufuli alikua hasafiri kwa sababu alikua mgonjwa.
Acha ujinga mama hasafiri bila faidaNawasalimu kwa Jina la Mungu muumba wa mbingu na ardhi.
Jamani, kusafiri ni jambo jema katika kujenga diplomasia na mahusiano ya nchi na nchi. Haipingwi wala haina neno.
Lakini hii kutwa mama wa nchi kukimbizana angani kila wiki inakuaje?
Leo yuko Scotland, kesho Cairo, kesho kutwa Ubelgiji!! HAPANA.
Kitu chenyewe anachokifuata huko ni kujadili kuhusu sijui wingi wa joto angani!!
Jamani, mama yetu tunakupenda sana. Wazungu wako mbali mno, wana muda wa kujadili petty issues. Wewe huo muda hauna.
Wazungu walishajenga nchi zao, sasa hivi wamebaki kujadili kuhusu masuala mepesi mepesi, mara sijui joto angani, mara sijui hali ya upepo jangwa la saharaa!!
MAMA, achana na hao. Jikite kujenga TANZANIA. Maji, Umeme, Ajira, Bei ya bidhaa, Kilimo, Miradi, Miundombinu, usafirii...
Acha mambo ya kubembea Ulaya, hayakusaidii wala hayaisaidii nchii.
Tunakupenda sana na tusingefurahi uharibikiwe. Jenga nchii, jenga uchumi utaepuka kukopa kopa hovyo na kutengeneza tozo za ajabu ajabu zisizoeleweka kisheria wala kimantiki.
Raise taxes, madini simamia, maliasilii, nidhamu kazini na maofisini, pambana na ufisadi. Jenga nchi.
Itakusaidia. Wazungu hawawezi kukujengea nchi. Watakupiga bao wakati wewe unazubaa angani na hiyo midege kila wiki... angani... vuuuu.... vuuuu .... vuuuu... vuuuu...nenda rudi... vuuuu .... vuuuuu... kila wiki... vuuuu .... vuuuu... vuuu....
Wao wanasomba madini, wewe unabembea kwenye ndege. Mafisadi yanaitafuna nchi wewe uko angani unaenda kunywa juisi Ulaya.
Ngoma ikivuma sana iko mbioni kupasuka.
Wasalaam.
Makini sana ,acha azibe masikioNawasalimu kwa Jina la Mungu muumba wa mbingu na ardhi.
Jamani, kusafiri ni jambo jema katika kujenga diplomasia na mahusiano ya nchi na nchi. Haipingwi wala haina neno.
Lakini hii kutwa mama wa nchi kukimbizana angani kila wiki inakuaje?
Leo yuko Scotland, kesho Cairo, kesho kutwa Ubelgiji!! HAPANA.
Kitu chenyewe anachokifuata huko ni kujadili kuhusu sijui wingi wa joto angani!!
Jamani, mama yetu tunakupenda sana. Wazungu wako mbali mno, wana muda wa kujadili petty issues. Wewe huo muda hauna.
Wazungu walishajenga nchi zao, sasa hivi wamebaki kujadili kuhusu masuala mepesi mepesi, mara sijui joto angani, mara sijui hali ya upepo jangwa la saharaa!!
MAMA, achana na hao. Jikite kujenga TANZANIA. Maji, Umeme, Ajira, Bei ya bidhaa, Kilimo, Miradi, Miundombinu, usafirii...
Acha mambo ya kubembea Ulaya, hayakusaidii wala hayaisaidii nchii.
Tunakupenda sana na tusingefurahi uharibikiwe. Jenga nchii, jenga uchumi utaepuka kukopa kopa hovyo na kutengeneza tozo za ajabu ajabu zisizoeleweka kisheria wala kimantiki.
Raise taxes, madini simamia, maliasilii, nidhamu kazini na maofisini, pambana na ufisadi. Jenga nchi.
Itakusaidia. Wazungu hawawezi kukujengea nchi. Watakupiga bao wakati wewe unazubaa angani na hiyo midege kila wiki... angani... vuuuu.... vuuuu .... vuuuu... vuuuu...nenda rudi... vuuuu .... vuuuuu... kila wiki... vuuuu .... vuuuu... vuuu....
Wao wanasomba madini, wewe unabembea kwenye ndege. Mafisadi yanaitafuna nchi wewe uko angani unaenda kunywa juisi Ulaya.
Ngoma ikivuma sana iko mbioni kupasuka.
Wasalaam.
Kila mtu ana mtizamo wake. Asiposafiri mara ooh tunajifungia ndani dunia haitufahamu! Tunaanza kurusha clips Raisi wa Kenya akiwa nje ya nchi! Mara ooh lugha ndo Kikwazo rais wetu hataki kusafiri nje ya nchi anawakilishwa tu. Sasa kaja mwenyewe akaona ajena diplomasia kama Rais wa nchi. Mmekuja tena na hizi ngonjera. Hebu kuweni walau na msimamo wa kauli zenu yaani hadi mnakera maana hamueleweki nyie ni baridi au moto? Mh Tais ashatolea suala hili maelezo.Nawasalimu kwa Jina la Mungu muumba wa mbingu na ardhi.
Jamani, kusafiri ni jambo jema katika kujenga diplomasia na mahusiano ya nchi na nchi. Haipingwi wala haina neno.
Lakini hii kutwa mama wa nchi kukimbizana angani kila wiki inakuaje?
Leo yuko Scotland, kesho Cairo, kesho kutwa Ubelgiji!! HAPANA.
Kitu chenyewe anachokifuata huko ni kujadili kuhusu sijui wingi wa joto angani!!
Jamani, mama yetu tunakupenda sana. Wazungu wako mbali mno, wana muda wa kujadili petty issues. Wewe huo muda hauna.
Wazungu walishajenga nchi zao, sasa hivi wamebaki kujadili kuhusu masuala mepesi mepesi, mara sijui joto angani, mara sijui hali ya upepo jangwa la saharaa!!
MAMA, achana na hao. Jikite kujenga TANZANIA. Maji, Umeme, Ajira, Bei ya bidhaa, Kilimo, Miradi, Miundombinu, usafirii...
Acha mambo ya kubembea Ulaya, hayakusaidii wala hayaisaidii nchii.
Tunakupenda sana na tusingefurahi uharibikiwe. Jenga nchii, jenga uchumi utaepuka kukopa kopa hovyo na kutengeneza tozo za ajabu ajabu zisizoeleweka kisheria wala kimantiki.
Raise taxes, madini simamia, maliasilii, nidhamu kazini na maofisini, pambana na ufisadi. Jenga nchi.
Itakusaidia. Wazungu hawawezi kukujengea nchi. Watakupiga bao wakati wewe unazubaa angani na hiyo midege kila wiki... angani... vuuuu.... vuuuu .... vuuuu... vuuuu...nenda rudi... vuuuu .... vuuuuu... kila wiki... vuuuu .... vuuuu... vuuu....
Wao wanasomba madini, wewe unabembea kwenye ndege. Mafisadi yanaitafuna nchi wewe uko angani unaenda kunywa juisi Ulaya.
Ngoma ikivuma sana iko mbioni kupasuka.
Wasalaam.
Lakini zuchu si alisema tanzania imejengeka kokote na mwendazake sasa leo tunajenga nini tena.
Sisiyemu ni adui wa maendeleo
Umeongea point tupu lakin umeharibu pale uliposema "Mama yetu tunakupenda" labda kama mnampenda nyie sis wengine hatumo humo kwenye yetu....Nawasalimu kwa Jina la Mungu muumba wa mbingu na ardhi.
Jamani, kusafiri ni jambo jema katika kujenga diplomasia na mahusiano ya nchi na nchi. Haipingwi wala haina neno.
Lakini hii kutwa mama wa nchi kukimbizana angani kila wiki inakuaje?
Leo yuko Scotland, kesho Cairo, kesho kutwa Ubelgiji!! HAPANA.
Kitu chenyewe anachokifuata huko ni kujadili kuhusu sijui wingi wa joto angani!!
Jamani, mama yetu tunakupenda sana. Wazungu wako mbali mno, wana muda wa kujadili petty issues. Wewe huo muda hauna.
Wazungu walishajenga nchi zao, sasa hivi wamebaki kujadili kuhusu masuala mepesi mepesi, mara sijui joto angani, mara sijui hali ya upepo jangwa la saharaa!!
MAMA, achana na hao. Jikite kujenga TANZANIA. Maji, Umeme, Ajira, Bei ya bidhaa, Kilimo, Miradi, Miundombinu, usafirii...
Acha mambo ya kubembea Ulaya, hayakusaidii wala hayaisaidii nchii.
Tunakupenda sana na tusingefurahi uharibikiwe. Jenga nchii, jenga uchumi utaepuka kukopa kopa hovyo na kutengeneza tozo za ajabu ajabu zisizoeleweka kisheria wala kimantiki.
Raise taxes, madini simamia, maliasilii, nidhamu kazini na maofisini, pambana na ufisadi. Jenga nchi.
Itakusaidia. Wazungu hawawezi kukujengea nchi. Watakupiga bao wakati wewe unazubaa angani na hiyo midege kila wiki... angani... vuuuu.... vuuuu .... vuuuu... vuuuu...nenda rudi... vuuuu .... vuuuuu... kila wiki... vuuuu .... vuuuu... vuuu....
Wao wanasomba madini, wewe unabembea kwenye ndege. Mafisadi yanaitafuna nchi wewe uko angani unaenda kunywa juisi Ulaya.
Ngoma ikivuma sana iko mbioni kupasuka.
Wasalaam.
kwahio mkuu maendeleo yote ya nchi yanatakiwa kuletwa na ccm peke yake? hii inamaanisha hujui nn maaana ya maendeleo ya nchi
Mimi najua Watanzania wananipenda ,na wanipenda Kwa mazuri na siyo Kwa mabaya na Nataka niwambie Ipo siku mtanikumbka,,(maneno ya Mzee mmoja alikuwa anapenda Sana familia yake majungu yakafanyika kilichotokea kikatokea ......Nawasalimu kwa Jina la Mungu muumba wa mbingu na ardhi.
Jamani, kusafiri ni jambo jema katika kujenga diplomasia na mahusiano ya nchi na nchi. Haipingwi wala haina neno.
Lakini hii kutwa mama wa nchi kukimbizana angani kila wiki inakuaje?
Leo yuko Scotland, kesho Cairo, kesho kutwa Ubelgiji!! HAPANA.
Kitu chenyewe anachokifuata huko ni kujadili kuhusu sijui wingi wa joto angani!!
Jamani, mama yetu tunakupenda sana. Wazungu wako mbali mno, wana muda wa kujadili petty issues. Wewe huo muda hauna.
Wazungu walishajenga nchi zao, sasa hivi wamebaki kujadili kuhusu masuala mepesi mepesi, mara sijui joto angani, mara sijui hali ya upepo jangwa la saharaa!!
MAMA, achana na hao. Jikite kujenga TANZANIA. Maji, Umeme, Ajira, Bei ya bidhaa, Kilimo, Miradi, Miundombinu, usafirii...
Acha mambo ya kubembea Ulaya, hayakusaidii wala hayaisaidii nchii.
Tunakupenda sana na tusingefurahi uharibikiwe. Jenga nchii, jenga uchumi utaepuka kukopa kopa hovyo na kutengeneza tozo za ajabu ajabu zisizoeleweka kisheria wala kimantiki.
Raise taxes, madini simamia, maliasilii, nidhamu kazini na maofisini, pambana na ufisadi. Jenga nchi.
Itakusaidia. Wazungu hawawezi kukujengea nchi. Watakupiga bao wakati wewe unazubaa angani na hiyo midege kila wiki... angani... vuuuu.... vuuuu .... vuuuu... vuuuu...nenda rudi... vuuuu .... vuuuuu... kila wiki... vuuuu .... vuuuu... vuuu....
Wao wanasomba madini, wewe unabembea kwenye ndege. Mafisadi yanaitafuna nchi wewe uko angani unaenda kunywa juisi Ulaya.
Ngoma ikivuma sana iko mbioni kupasuka.
Wasalaam.
Very true!Nawasalimu kwa Jina la Mungu muumba wa mbingu na ardhi.
Jamani, kusafiri ni jambo jema katika kujenga diplomasia na mahusiano ya nchi na nchi. Haipingwi wala haina neno.
Lakini hii kutwa mama wa nchi kukimbizana angani kila wiki inakuaje?
Leo yuko Scotland, kesho Cairo, kesho kutwa Ubelgiji!! HAPANA.
Kitu chenyewe anachokifuata huko ni kujadili kuhusu sijui wingi wa joto angani!!
Jamani, mama yetu tunakupenda sana. Wazungu wako mbali mno, wana muda wa kujadili petty issues. Wewe huo muda hauna.
Wazungu walishajenga nchi zao, sasa hivi wamebaki kujadili kuhusu masuala mepesi mepesi, mara sijui joto angani, mara sijui hali ya upepo jangwa la saharaa!!
MAMA, achana na hao. Jikite kujenga TANZANIA. Maji, Umeme, Ajira, Bei ya bidhaa, Kilimo, Miradi, Miundombinu, usafirii...
Acha mambo ya kubembea Ulaya, hayakusaidii wala hayaisaidii nchii.
Tunakupenda sana na tusingefurahi uharibikiwe. Jenga nchii, jenga uchumi utaepuka kukopa kopa hovyo na kutengeneza tozo za ajabu ajabu zisizoeleweka kisheria wala kimantiki.
Raise taxes, madini simamia, maliasilii, nidhamu kazini na maofisini, pambana na ufisadi. Jenga nchi.
Itakusaidia. Wazungu hawawezi kukujengea nchi. Watakupiga bao wakati wewe unazubaa angani na hiyo midege kila wiki... angani... vuuuu.... vuuuu .... vuuuu... vuuuu...nenda rudi... vuuuu .... vuuuuu... kila wiki... vuuuu .... vuuuu... vuuu....
Wao wanasomba madini, wewe unabembea kwenye ndege. Mafisadi yanaitafuna nchi wewe uko angani unaenda kunywa juisi Ulaya.
Ngoma ikivuma sana iko mbioni kupasuka.
Wasalaam.
FoolishMimi najua Watanzania wananipenda ,na wanipenda Kwa mazuri na siyo Kwa mabaya na Nataka niwambie Ipo siku mtanikumbka,,(maneno ya Mzee mmoja alikuwa anapenda Sana familia yake majungu yakafanyika kilichotokea kikatokea ......
Unadhani kila mtu amekulia TzSasa we unajua lugha gani ikiwa hata kiswahili hujui!
"haliogopa" ndo nini sasa?