Rais p. Nkurunzinza aapa kutovumilia ubadhirifu.

msnajo

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
3,066
1,136
Rais P.NKURUNZINZA wa Burundi amenukuliwa na vyombo vya habari kuwa kamwe hatawavumilia watumishi wa umma watakaojihusisha na rushwa. (Source: CTV-KENYA). MY TAKE: Hapa kwetu Tz nani atadhubutu kuwakoromea watumishi wa umma walau wapunguze kula rushwa, manake kuwawajibisha hawezi!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom