Rais Nicolas Maduro wa Venezuela asema Afrika ilishinda kombe la Dunia

radika

JF-Expert Member
Jul 15, 2014
20,427
32,196
_102563502_e6b1670d-75a0-4baf-8f64-f493ad2840a5.jpg

Afrika iliishindia Ufaransa kombe la Dunia , na Ulaya inafaa kusitisha ubaguzi dhidi ya wahamiaji kulingana na rais wa Venezuela Nicolas Maduro.

Akizungumza katika mji mkuu wa Caracas, chombo cha habari cha kitaifa kilimnukuu akisema.

_102563506_4516bf16-4bf2-4aee-99e9-1752da491fa2.jpg
Paul Pogba asherehekea na wenzake baada ya kufunga bao katika kombe la dunia
''Timu ya Ufaransa ilishinda ijapokuwa ilikuwa kama ya Afrika . Ukweli ni kwamba Afrika ilishinda-wahamiaji wa Afrika waliowasili nchini Ufaransa, natumai Ulaya itapokea ujumbe huo''.

''Ulaya haifai kuwabagua Waafrika, hakuna ubaguzi dhidi ya wahamiaji. Ufaransa iliishinda Croatia 4-2''.

Mwaka 2016, mwaka mmoja baada ya shambulio baya la kigaidi, mchezaji wa zamani wa Ufaransa Louis Saha alisema kuwa Ufaransa ingali nyuma ya mataifa mengine katika kukabiliana na ugaidi.

Ni mara ya pili Ufaransa imejishindia taji la kombe la dunia. Kabla ya kujishindia taji la 1998 kiongozi wa mrengo wa kulia Jean-Marie Le Pen alikuwa amewakosoa baadhi ya wachezaji wake akiwemo Zinedine Zidane ambaye ana mizizi ya Algeria.

Alikuwa amesema kuwa wengi wao walikuwa wageni ambao walikuwa hawaimbi wimbo wa taifa kabla ya mechi.

Kwa upande wangu:

Hivi kwa mfano france isingechukua ubingwa hizi kelele zingekuwepo?
Bado naona ngozi nyeupe hii kitu imewauma sana naona wao ndo wanafanya ubaguzi na kauli zake za kitoto.
 
Hawa jamaa (wazungu) ni wabaguzi mno. Hata ile croatia yenyewe pia ina watu kibao ambao si wa croatia. Na kama ufaransa ingekuwa na wazungu kutoka nchi zingine za ulaya wasingesema haya maneno. Si unaona hata yule teja walipowafunga wanigeria alionyesha dole la kati. Hawa jamaa ni wajinga sana, nilitaka croatia wafungwe hata goli 100 mbwa hawa
 
Sisi tunajibagua wenyewe tuna tabia za kitahira mno ikiwemo ulalamishi.Angalia U.S.A weusi tabia zao wanavyobehave na angalia weupe wanavyobehave leo hii jitu linaandika proposal ya kuanzisha kituo cha watoto yatima na watoto wa mitaani likiwa limekondeana lipe miaka miwili utakuta limejilimbikizia mali za ma donors ambazo zilitumwa kusaidia hao watoto yatima.LAZIMA IFIKE POINT TUJIULIZE WENYEWE KWA NINI TUBAGULIWE KULIKO KUSHUPALIA KULALAMIKA TU.NI RACE IMEJAA KILA AINA YA USHENZI KAMA HUAMINI NENDA ANZA KUFUATILIA.
 
Sisi tunajibagua wenyewe tuna tabia za kitahira mno ikiwemo ulalamishi.Angalia U.S.A weusi tabia zao wanavyobehave na angalia weupe wanavyobehave leo hii jitu linaandika proposal ya kuanzisha kituo cha watoto yatima na watoto wa mitaani likiwa limekondeana lipe miaka miwili utakuta limejilimbikizia mali za ma donors ambazo zilitumwa kusaidia hao watoto yatima.LAZIMA IFIKE POINT TUJIULIZE WENYEWE KWA NINI TUBAGULIWE KULIKO KUSHUPALIA KULALAMIKA TU.NI RACE IMEJAA KILA AINA YA USHENZI KAMA HUAMINI NENDA ANZA KUFUATILIA.
race ambayo imejaa kila aina ya ushenzi!!?..ushenzi upi ambao weupe hawana?..weusi wa marekani ni watu walionyimwa fursa kwa zaidi ya miaka 200,kutokana na ubaguzi ambao haujaisha bado
 
race ambayo imejaa kila aina ya ushenzi!!?..ushenzi upi ambao weupe hawana?..weusi wa marekani ni watu walionyimwa fursa kwa zaidi ya miaka 200,kutokana na ubaguzi ambao haujaisha bado
Kukeketana ,utapeli,kupenda ngono ,uvivu,masikani mwa kila magonjwa,
 
Mshenzi mbaguzi anamaanisha Rangi nyeusi = Afrika

Hawa ni aina ya watu walioasisi one drop rule
 
race ambayo imejaa kila aina ya ushenzi!!?..ushenzi upi ambao weupe hawana?..weusi wa marekani ni watu walionyimwa fursa kwa zaidi ya miaka 200,kutokana na ubaguzi ambao haujaisha bado

Uko sahihi..huyo jamaa mwingine nadhani hajui hata anachozungumza...nadhani hawajui wazungu huyu...ni aina ya watu wale 'wanaowaabudu' wazungu au watu weupe...Aende ulaya aone mwenyewe namna wazungu walivyo wabaguzi...Aende Marekani aone namna weusi wa huko wanavyobaguliwa kwenye taasisi nyeti...Kwa ujumla wazungu au weupe ni race iliyojaa watu waovu kuliko race nyingine zote duniani...hawana utu kabisa..Ona wajerumani walivyowatesa wengine wakati wa vita vya pili vya dunia...afanye analysis ya mauaji yaliyofanyika huko katika nchi za balkan yaani Yugoslavia ya zamani iliyozaa Serbia, Macedonia, Croatia, Bosnia and Herzogovina, Montenegro, Slovenia, na sasa Kosovo... Yaani mpaka sasa ubaguzi uko huko ulaya...wewe fikiria namna miaka ya hivi karibuni tu huko Afrika Kusini wazungu walivyokuwa wanawatesa na kuwabagua weusi...huko Marekani mpaka miaka ya 1960 weusi walikuwa hawana chao huko na mpaka leo hawana chao kwa kiwango kikubwa...Ni kwa sababu weusi hawana chao kwenye mambo mengi ya kiuchumi na kisiasa ndiyo maana weusi wa huko wamejikita kwenye muziki na sports
 
Kukeketana ,utapeli,kupenda ngono ,uvivu,masikani mwa kila magonjwa,
kukeketana kungekua na madhara hizo jamii zingeacha,kuna mtu tapeli kama mzungu!!..vita vya iraq,karl pieters,waliposhindwa kazi nguvu walikuja kutuchukua utumwa tukawafanyie..hatukua wavivu,wao ndo walikuwa wavivu,wao ndo wapenda ngono,soko la picha za ngono ni watu weupe,wamerasimisha ukahaba..hatukuumwa malaria,tb,ukimwi kabla mtu mweupe hajaja kwetu..wala hatukuwa na njaa
 
kukeketana kungekua na madhara hizo jamii zingeacha,kuna mtu tapeli kama mzungu!!..vita vya iraq,karl pieters,waliposhindwa kazi nguvu walikuja kutuchukua utumwa tukawafanyie..hatukua wavivu,wao ndo walikuwa wavivu,wao ndo wapenda ngono,soko la picha za ngono ni watu weupe,wamerasimisha ukahaba..hatukuumwa malaria,tb,ukimwi kabla mtu mweupe hajaja kwetu..wala hatukuwa na njaa
Afrika au mtu mweusi ni mabox hatujielewi ndo maana tumekuja kutawaliwa picha za ngono ni sanaa kwao wenzenu wanazitumia kama source of income huku ngono source of HIV weusi kutwa kupigana risasi huko U.S.A nakujiita niga ndo hao wameleta tabia za kihuni duniani angalia wakina 2Pac wameendekeza usela ma.vi mpaka wakafa wangali wadogo acha kujitetea Mijitu mieusi sio yakuyapa Garantee kwenye jambo lolote lile.Hii race imeumbwa kuwa mfuasi wa mtu mweupe ndo maana hatuna jipya kila kitu mzungu ni mgunduzi mweusi yupo duniani kufanya uharibifu vya alivyogundua mweupe.Mi mwenyewe mweusi lakini sina sababu ya kujitetea kuwa mi ni bora kuliko weupe.
 
Uko sahihi..huyo jamaa mwingine nadhani hajui hata anachozungumza...nadhani hawajui wazungu huyu...ni aina ya watu wale 'wanaowaabudu' wazungu au watu weupe...Aende ulaya aone mwenyewe namna wazungu walivyo wabaguzi...Aende Marekani aone namna weusi wa huko wanavyobaguliwa kwenye taasisi nyeti...Kwa ujumla wazungu au weupe ni race iliyojaa watu waovu kuliko race nyingine zote duniani...hawana utu kabisa..Ona wajerumani walivyowatesa wengine wakati wa vita vya pili vya dunia...afanye analysis ya mauaji yaliyofanyika huko katika nchi za balkan yaani Yugoslavia ya zamani iliyozaa Serbia, Macedonia, Croatia, Bosnia and Herzogovina, Montenegro, Slovenia, na sasa Kosovo... Yaani mpaka sasa ubaguzi uko huko ulaya...wewe fikiria namna miaka ya hivi karibuni tu huko Afrika Kusini wazungu walivyokuwa wanawatesa na kuwabagua weusi...huko Marekani mpaka miaka ya 1960 weusi walikuwa hawana chao huko na mpaka leo hawana chao kwa kiwango kikubwa...Ni kwa sababu weusi hawana chao kwenye mambo mengi ya kiuchumi na kisiasa ndiyo maana weusi wa huko wamejikita kwenye muziki na sports
Kwa upande flan kama namuelewa huyo jamaa wa kwanza… hivi huku Afrika bado wazungu wanatubagua? Hatuna fursa za kiuchumi za kwetu? Mbona tuko katika hali ya kusikitisha kabisa kama bara? Angalia sudan kusin.. Kwann walihangaika kupigania uhuru sasa? Angalia nchi kama haiti kule america ya karibian.. ina uhuru kamili karne kadhaa lakini hamna cha maana kipindu pindu kila kukicha ingawa wamezungwa na nchi tajiri tu… angalia hapa chini SA sasa kwao mgao wa maji na umeme imekuwa kitu cha kawaida… je ni kweli huko fursa wamekosa?
 
Huyu Raisi pamoja na yule wa ufilipino huwa nawakubali sana. Huwapa wazungu makavu live
 
Uko sahihi..huyo jamaa mwingine nadhani hajui hata anachozungumza...nadhani hawajui wazungu huyu...ni aina ya watu wale 'wanaowaabudu' wazungu au a weusi wa huko wamejikita kwenye muziki na sports
pamoja na yote hayo ila waafrica tumezid kulalamika sana wazungu wabaguzi, waarabu wabaguzi, wahindi wabaguzi kila mtu kwetu cc ni mbaguzi ila cc pia tuna matatizo maana tunaona wao ndio km wakomboz wa matatizo yetu hvyo kila wanapotuona wanaona cc ni mizigo, we unakuta mtanzania mkenya au mganda yupo ujeruman anatafuta hifadhi unajiuliza mbn huku hakuna njaa wala vita yann kwenda kusumbua watu wa watu huko mpk wanaona waafrika wote ni kero?
 
wajiulize kwanini Argentina hakuna watu weusi ndipo utajua unyama wa wazungu, wazungu ni kizazi cha mashetani ndio maana wapo tayari kuwauzia silaha muuane ili wao wapate mali
 
Kama imewauma basi wawaambie FIFA wabadilishe kanuni,mchezaji asiye na rangi ya hapo asiruhusiwe kucheza.Kwanza niwapongeze france kwa kuonyesha si wabaguzi ndiyo maana hawakuangalia rangi bali uraia kwenye kuita wachezaji national team.Halafu watu wengi ubaguzi hawauju..hao tunaowaita wabaguzi wangeamua kufanya ubaguzi hao akina pogba wasingekua hata wachezaji wangekuwa watoto wa mitaani tu...Kwenye hizo academy za michezo wasingeingia wangeishia kuwaona watoto wa kizungu wakicheza kwenye hizo academy.Mbaguzi ni bora timu yake iwe ya mwisho kuliko aite mtu mweusi kwenye kikosi.Mbaguzi ni bora kampuni ianguke kuliko aajiri mweusi mwenye ujuzi.
Mtu kama anakupa opportunity huwezi kumweka kwenye kundi la ubaguzi.
Haya mambo ya kusema sijui wasizuie wahamiaji kutoka africa ni upumbavu.Kila nchi inalinda inalinda mipaka yake,watu lazima waingie kwa kufuata utaratibu sio kujiingilia tu.Tanzania kila siku inakamata waethiopia wakiwa njiani kwenda south na kuwafunga jela, lakini hatujiweki kwenye kundi la ubaguzi.Ila nchi za ulaya zikilinda mipaka yake tunawaita wabaguzi..watu wanaingia kwa maelfu eti waachwe kisa timu zao zina weusi...huu ni uwendawazimu
 
Kwa upande flan kama namuelewa huyo jamaa wa kwanza… hivi huku Afrika bado wazungu wanatubagua? Hatuna fursa za kiuchumi za kwetu? Mbona tuko katika hali ya kusikitisha kabisa kama bara? Angalia sudan kusin.. Kwann walihangaika kupigania uhuru sasa? Angalia nchi kama haiti kule america ya karibian.. ina uhuru kamili karne kadhaa lakini hamna cha maana kipindu pindu kila kukicha ingawa wamezungwa na nchi tajiri tu… angalia hapa chini SA sasa kwao mgao wa maji na umeme imekuwa kitu cha kawaida… je ni kweli huko fursa wamekosa?

Ukichambua effects za imperialism, globalization, liberalism na neo colonialism ndipo utajua kwanini Afrika mpaka sasa ina matatizo...Unafikiri Sudan Kusini wanapenda kupigana?? Unadhani chanzo cha matatizo ya Kongo ni nini? Unajua kwanini wazungu hawazungumzii tatizo la vijana wa kiafrika in millions karibu katika nchi zote wapo mitaani wakiuza mitumba, toys na bidhaa nyingine za ulaya? unajua kwanini wazungu wankazania uwepo wa the so called demokrasia?? Ni nchi gani duniani ambako demokrasia ilileta maendeleo ya kiuchumi? Ni nchi gani duniani ambako demokrasia imeleta amani?? Unajua kwanini wazungu au the so called western powers wanapigania uwepo wa demokrasia ll over the world?? Unafikiri huko Marekani au Uingereza wanatekeleza demokrasia?? Democracy is an agent of imperialism, liberalism na neo colonialism...
 
kukeketana kungekua na madhara hizo jamii zingeacha,kuna mtu tapeli kama mzungu!!..vita vya iraq,karl pieters,waliposhindwa kazi nguvu walikuja kutuchukua utumwa tukawafanyie..hatukua wavivu,wao ndo walikuwa wavivu,wao ndo wapenda ngono,soko la picha za ngono ni watu weupe,wamerasimisha ukahaba..hatukuumwa malaria,tb,ukimwi kabla mtu mweupe hajaja kwetu..wala hatukuwa na njaa

Mkuu unakosea sana kutaja watu weupe. Kumbuka kuwa Mtume wetu alikuwa arabian/mweupe. Sema wazungu ama wachina ama wahindi mkuu.
 
pamoja na yote hayo ila waafrica tumezid kulalamika sana wazungu wabaguzi, waarabu wabaguzi, wahindi wabaguzi kila mtu kwetu cc ni mbaguzi ila cc pia tuna matatizo maana tunaona wao ndio km wakomboz wa matatizo yetu hvyo kila wanapotuona wanaona cc ni mizigo, we unakuta mtanzania mkenya au mganda yupo ujeruman anatafuta hifadhi unajiuliza mbn huku hakuna njaa wala vita yann kwenda kusumbua watu wa watu huko mpk wanaona waafrika wote ni kero?

Umeongea point kiongozi wangu..
 
Back
Top Bottom