jsenyinah
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 249
- 338
WanaJF,amani iwe pamoja nanyi.
Kama mjuavyo, mwanasayansi ni mtu anayecheza na theories, namba na practicals (vitendo) zaidi. Asiye mwanasayansi hana theories, hawezi kuprove equation na mambo yake mengi huwa hayatekelezeki.
Rais JPM n mtaalam wa kemia na namba kwa ujumla, hana bla bla, yupo straight forward. Anatekeleza vitu kwa vitendo kahisa. Hana promises zisizo tekelezeka,hakamatiki.
Wapinzani wameshindwa kumsema huyu 'mteule wa Mungu'.Wanaendelea kula matunda anayoyatekeleza,hawana nongwa. Rais ni kama namba witiri (namba isiyogawanyika kwa 2 ila kwa yenyewe tu), pa kumsema hapaonekani kamwe.
Tumsupport,hatatuangusha. Wallah nawaambia.
Kama mjuavyo, mwanasayansi ni mtu anayecheza na theories, namba na practicals (vitendo) zaidi. Asiye mwanasayansi hana theories, hawezi kuprove equation na mambo yake mengi huwa hayatekelezeki.
Rais JPM n mtaalam wa kemia na namba kwa ujumla, hana bla bla, yupo straight forward. Anatekeleza vitu kwa vitendo kahisa. Hana promises zisizo tekelezeka,hakamatiki.
Wapinzani wameshindwa kumsema huyu 'mteule wa Mungu'.Wanaendelea kula matunda anayoyatekeleza,hawana nongwa. Rais ni kama namba witiri (namba isiyogawanyika kwa 2 ila kwa yenyewe tu), pa kumsema hapaonekani kamwe.
Tumsupport,hatatuangusha. Wallah nawaambia.