Rais, napendekeza Police Post wakeshe kama manesi wa hospitali ya taifa

MWALLA

JF-Expert Member
Dec 12, 2006
16,994
10,497
PanyaRodi wametembelea mitaa yetu wameshatia hasara. Tumekimbilia Police post wamefunga saa 12 jioni kama duka la mhindi.

Kuna faida gani ya hivi vituo kuwepo? Kuna faida gani ya uwepo wako? Wananchi tujuzane, hivi ni sawa kituo cha ulinzi wa wananchi kufungwa saa 12?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom