Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,759
Nataka kulisafisha hili jiji ndani ya siku 90 tu litakuwa kama paris, !nataka niwaonyeshe watu kwamba hii dar usafi ni lazima sio hiyari na katika hili nikipata nitaanza na mbagala kisha manzese,na tandale ,hapa tandale na mbagala nitaomba kibali chako nitumie sheria ya viboko,kwa wanaotafuna maembe ,miwa,kutema tema mate hovyo na wenye maduka wanaotupa taka kwenye mifereji ya maji inayopita mbele ya maduka yao. hawa kwa ruhusa yako nitawacharaza fimbo hadharani.
Kuna watu wazima wanakojoa kwenye makopo na kujisaidia kwenye mitaro nitafunga digital camera ambazo zitawaonyesha live kupitia tbc ,itv,clouds tv na azam ili wasithubutu kurudia tena! ,mimi na timu yangu tutatembea na viboko kwa wakazi wa vingunguti ambao muda wote mitaro imejaa vinyesi na mikojo na inapita mbele ya nyumba zao nitawacharaza fimbo sana.
Ole wao tandika na gongolamboto kwenye mtaro unaopita mbele ya msikiti,nasema ole wenu labda muombe mungu ninyimwe hii kazi. na nawaahidi kwamba hakuna hata ganda la pipi litakaloonekana mitaani.
Kuna watu wazima wanakojoa kwenye makopo na kujisaidia kwenye mitaro nitafunga digital camera ambazo zitawaonyesha live kupitia tbc ,itv,clouds tv na azam ili wasithubutu kurudia tena! ,mimi na timu yangu tutatembea na viboko kwa wakazi wa vingunguti ambao muda wote mitaro imejaa vinyesi na mikojo na inapita mbele ya nyumba zao nitawacharaza fimbo sana.
Ole wao tandika na gongolamboto kwenye mtaro unaopita mbele ya msikiti,nasema ole wenu labda muombe mungu ninyimwe hii kazi. na nawaahidi kwamba hakuna hata ganda la pipi litakaloonekana mitaani.