Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
Kama ingekuwa ni amri yangu, basi Majaliwa baada ya uchaguzi wa 2025 awe Raisi, hakika ataifanyia Tanzania maajabu. I love the guy for realUmewaza Kama Mimi aisee.
Na kingine majaliwa Hana mambo ya kuigiza Kama watu wengine.
Kassim majaliwa ndio kiongozi wa pekee anbaye anafanya kitu anachokijua wengine wote waliobaki wanaigiza tu ili waonekane na Raisi.