Rais,na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi yetu, kwa tafrani hizi za utekaji hatupo salaam

sammosses

JF-Expert Member
Jan 24, 2011
1,682
1,110
Mh Rais,na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi yetu, kwa tafrani hizi za utekaji hatupo salaam.

Wewe ndiye command in chief na pia ni comfort in chief, ukimya wako unaliweka Taifa njia Panda, huenda ndo maana wasio julikana wanahisi kuungwa mkono na serikali, hali inayo wafanya waitukanishe serikali yako kuwa haina mtandao mzuri wa ulinzi.

Iko wapi nguvu kubwa chini ya kamanda Sirro kama ilivyo tumika kule #MKIRU!!!

Umewajengea watendaji wako tendency ya kuwajibika mara wasikiapo sauti yako.

Sema neno sasa kukataa hali ya utekaji, onyesha una chukizwa na hofu iliyo tanda nchini ya #UTEKAJI, naamini ukisema hivyo kwa dhati ya moyo wako, mwisho wa utekaji utakuwa umefikia tamati.

Lakini pia wewe ni comforts in chief, mfariji mkuu wa wananchi mwenye kusimamia ustawi wa Taifa na wananchi wako .

Mara kwa mara umekuwa ukijitokeza kuwafariji wahanga wa matukio mbali mbali ,familiar zilizo athiriwa na majanga ya utekaji ni Watanzania pia, ni wapiga kura wako waonyeshe upo nao kwa kukemea matukio yanayo ichafua serikali yako.

Makundi haya yana haribu sifa na taswira ya serikali yako,ukizingatia wapo wanaojiita wanaharakati wa kukulinda, walioapa kuwaangamiza wakosoaji wako kwa kutumia jina lako.

Hii haikuweki kwenye sifa nzuri, zaidi ya kukuchafua.

Utawezaje kumlinda Rais anaye saidiwa na wananchi wake kuelekezwa mapungufu ya uongozi wake kwa kuumiza wananchi wasio na hatia.

#Viongozi wa dini, ninyi ni daraja la juu la kusimamia maadili, hatuwezi kuhubiri amani ilihali haki na wajibu wa kusimamia amani una kasoro.

Kwanini mna waogopa binadamu bila kukemea maovu 😢😢

Unganeni, toeni tamko kali ndani ya #CHRISTMAS hii kuonyesha chukizo la bwana kwa watu wake kabla hasira ya Mungu haijajidhihirisha ndani yetu.

Tuache kushinikiza makusanyo ya sadaka tu na kuliombea Taifa amani bila kutengeneza mazingira ya amani.

Amani ni tunda la haki, tumeshaichezea vya kutosha sasa tumekaribisha uhalifu wa kutekana.

Amani ni jukumu la kila mmoja, kwa kuwa mna wafuasi wengi hata watawala nao ni miongoni mwa wafuasi wenu semeni nao kwa hekima.

Hili ni jukumu lenu wote, si la Askofu Mwamakula au Askofu Bagonza ama sheik Ponda pekee yao. Viongozi wote wa dini mnapaswa kukemea hili.

Ikiwa mtatuacha tupotee, tukaamua kuyagomea makusanyiko yetu kwenye nyumba za ibada, mtamhubiria nani.

Tumerudi kwenye zama za mfalme Herode na Firauni, simameni kwa kutanguliza hofu ya Mungu, ili neno la bwana litamkwalo kwa mataifa lituponye na kuwaponya wenye mioyo migumu.

Tusijidanganye kuwanyamazisha wananchi kwa mujibu wa ibara ya 8 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano ndiyo wenye kutoa mamlaka na madaraka kwa serikali kutakuza uchumi.

Maridhiano, demokrasia na maendeleo havitengamani. Tusijidanganye kwa hali tete ya UTEKAJI tutakuza uchumi, hofu hufisha Taifa.
 
Mh Rais,na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi yetu, kwa tafrani hizi za utekaji hatupo salaam.

Wewe ndiye command in chief na pia ni comfort in chief, ukimya wako unaliweka Taifa njia Panda, huenda ndo maana wasio julikana wanahisi kuungwa mkono na serikali, hali inayo wafanya waitukanishe serikali yako kuwa haina mtandao mzuri wa ulinzi.

Iko wapi nguvu kubwa chini ya kamanda Sirro kama ilivyo tumika kule #MKIRU!!!

Umewajengea watendaji wako tendency ya kuwajibika mara wasikiapo sauti yako.

Sema neno sasa kukataa hali ya utekaji, onyesha una chukizwa na hofu iliyo tanda nchini ya #UTEKAJI, naamini ukisema hivyo kwa dhati ya moyo wako, mwisho wa utekaji utakuwa umefikia tamati.

Lakini pia wewe ni comforts in chief, mfariji mkuu wa wananchi mwenye kusimamia ustawi wa Taifa na wananchi wako .

Mara kwa mara umekuwa ukijitokeza kuwafariji wahanga wa matukio mbali mbali ,familiar zilizo athiriwa na majanga ya utekaji ni Watanzania pia, ni wapiga kura wako waonyeshe upo nao kwa kukemea matukio yanayo ichafua serikali yako.

Makundi haya yana haribu sifa na taswira ya serikali yako,ukizingatia wapo wanaojiita wanaharakati wa kukulinda, walioapa kuwaangamiza wakosoaji wako kwa kutumia jina lako.

Hii haikuweki kwenye sifa nzuri, zaidi ya kukuchafua.

Utawezaje kumlinda Rais anaye saidiwa na wananchi wake kuelekezwa mapungufu ya uongozi wake kwa kuumiza wananchi wasio na hatia.

#Viongozi wa dini, ninyi ni daraja la juu la kusimamia maadili, hatuwezi kuhubiri amani ilihali haki na wajibu wa kusimamia amani una kasoro.

Kwanini mna waogopa binadamu bila kukemea maovu 😢😢

Unganeni, toeni tamko kali ndani ya #CHRISTMAS hii kuonyesha chukizo la bwana kwa watu wake kabla hasira ya Mungu haijajidhihirisha ndani yetu.

Tuache kushinikiza makusanyo ya sadaka tu na kuliombea Taifa amani bila kutengeneza mazingira ya amani.

Amani ni tunda la haki, tumeshaichezea vya kutosha sasa tumekaribisha uhalifu wa kutekana.

Amani ni jukumu la kila mmoja, kwa kuwa mna wafuasi wengi hata watawala nao ni miongoni mwa wafuasi wenu semeni nao kwa hekima.

Hili ni jukumu lenu wote, si la Askofu Mwamakula au Askofu Bagonza ama sheik Ponda pekee yao. Viongozi wote wa dini mnapaswa kukemea hili.

Ikiwa mtatuacha tupotee, tukaamua kuyagomea makusanyiko yetu kwenye nyumba za ibada, mtamhubiria nani.

Tumerudi kwenye zama za mfalme Herode na Firauni, simameni kwa kutanguliza hofu ya Mungu, ili neno la bwana litamkwalo kwa mataifa lituponye na kuwaponya wenye mioyo migumu.

Tusijidanganye kuwanyamazisha wananchi kwa mujibu wa ibara ya 8 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano ndiyo wenye kutoa mamlaka na madaraka kwa serikali kutakuza uchumi.

Maridhiano, demokrasia na maendeleo havitengamani. Tusijidanganye kwa hali tete ya UTEKAJI tutakuza uchumi, hofu hufisha Taifa.
kwa sasa nawaamini zaidi wanasiasa kuliko viongozi wa dini tulionao.
 
Mh Rais,na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi yetu, kwa tafrani hizi za utekaji hatupo salaam.

Wewe ndiye command in chief na pia ni comfort in chief, ukimya wako unaliweka Taifa njia Panda, huenda ndo maana wasio julikana wanahisi kuungwa mkono na serikali, hali inayo wafanya waitukanishe serikali yako kuwa haina mtandao mzuri wa ulinzi.

Iko wapi nguvu kubwa chini ya kamanda Sirro kama ilivyo tumika kule #MKIRU!!!

Umewajengea watendaji wako tendency ya kuwajibika mara wasikiapo sauti yako.

Sema neno sasa kukataa hali ya utekaji, onyesha una chukizwa na hofu iliyo tanda nchini ya #UTEKAJI, naamini ukisema hivyo kwa dhati ya moyo wako, mwisho wa utekaji utakuwa umefikia tamati.

Lakini pia wewe ni comforts in chief, mfariji mkuu wa wananchi mwenye kusimamia ustawi wa Taifa na wananchi wako .

Mara kwa mara umekuwa ukijitokeza kuwafariji wahanga wa matukio mbali mbali ,familiar zilizo athiriwa na majanga ya utekaji ni Watanzania pia, ni wapiga kura wako waonyeshe upo nao kwa kukemea matukio yanayo ichafua serikali yako.

Makundi haya yana haribu sifa na taswira ya serikali yako,ukizingatia wapo wanaojiita wanaharakati wa kukulinda, walioapa kuwaangamiza wakosoaji wako kwa kutumia jina lako.

Hii haikuweki kwenye sifa nzuri, zaidi ya kukuchafua.

Utawezaje kumlinda Rais anaye saidiwa na wananchi wake kuelekezwa mapungufu ya uongozi wake kwa kuumiza wananchi wasio na hatia.

#Viongozi wa dini, ninyi ni daraja la juu la kusimamia maadili, hatuwezi kuhubiri amani ilihali haki na wajibu wa kusimamia amani una kasoro.

Kwanini mna waogopa binadamu bila kukemea maovu 😢😢

Unganeni, toeni tamko kali ndani ya #CHRISTMAS hii kuonyesha chukizo la bwana kwa watu wake kabla hasira ya Mungu haijajidhihirisha ndani yetu.

Tuache kushinikiza makusanyo ya sadaka tu na kuliombea Taifa amani bila kutengeneza mazingira ya amani.

Amani ni tunda la haki, tumeshaichezea vya kutosha sasa tumekaribisha uhalifu wa kutekana.

Amani ni jukumu la kila mmoja, kwa kuwa mna wafuasi wengi hata watawala nao ni miongoni mwa wafuasi wenu semeni nao kwa hekima.

Hili ni jukumu lenu wote, si la Askofu Mwamakula au Askofu Bagonza ama sheik Ponda pekee yao. Viongozi wote wa dini mnapaswa kukemea hili.

Ikiwa mtatuacha tupotee, tukaamua kuyagomea makusanyiko yetu kwenye nyumba za ibada, mtamhubiria nani.

Tumerudi kwenye zama za mfalme Herode na Firauni, simameni kwa kutanguliza hofu ya Mungu, ili neno la bwana litamkwalo kwa mataifa lituponye na kuwaponya wenye mioyo migumu.

Tusijidanganye kuwanyamazisha wananchi kwa mujibu wa ibara ya 8 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano ndiyo wenye kutoa mamlaka na madaraka kwa serikali kutakuza uchumi.

Maridhiano, demokrasia na maendeleo havitengamani. Tusijidanganye kwa hali tete ya UTEKAJI tutakuza uchumi, hofu hufisha Taifa.
Sikio la kufa halisikii dawa naiona fedheha kubwa sana mbele ya safari siyo kiumbe kimoja atapata fedheha ni wote kwa kutotimiza wajibu wao wa kupasa sauti zao hata Sodomu na Gomorrah wasikie.
 
Sikio la kufa halisikii dawa naiona fedheha kubwa sana mbele ya safari siyo kiumbe kimoja atapata fedheha ni wote kwa kutotimiza wajibu wao wa kupasa sauti zao hata Sodomu na Gomorrah wasikie.
Exactly brother, tumekuwa kunguru waoga tuna kimbiza mbawa zetu, nchi sasa ina teketea
 
Viongozi wetu wengi wa dini, sijui kama kuna neno lifaalo kuwaelezea. Kwa sasa, kwao lililo muhimu ni makusanyo ya sadaka na michango.

Baadhi ya viongozi wa dini, wamekuwa wahamasishaji wa makusanyo badala ya kuwa wahubiri wa neno la Mungu, wakemeaji wa matendo ya shetani, watetezi wa haki, na walinzi wa kweli ya Mungu.

Viongozi wengi wa dini wamekuwa watu wa nadharia kuliko vitendo. Wamekuwa watu wa kujishikamanisha na watawala badala ya kujishikamanisha na wanaodhulumiwa.

Viongozi wa dini walio wengi badala ya kusimama kwenye kweli ya Mungu, wengine wamegeuka kuwa wapiga debe wa watawala. Hawataki kusimama katika ukweli kwa sababu ukweli utawafanya wateseke, washindwe kuula utamu wa Dunia. Hawataki kuyaishi maisha ya akina Petro (kutiwa gerezani, kucharazwa fimbo, hatimaye kunyongwa). Wala hawana haja wala ujasiri wa kuyanena maneno yale ya Paulo, "Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda; baada ya hayo nimewekewa taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile; wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda kufunuliwa kwake"

Tumekosa viongozi wale wa dini ambao kila mtu wa haki aliwanyenyekea kwa sababu aliuona uthabiti wa mioyo yao katika mambo ya imani, ukweli na haki.
 
Watumishi wa Umma wanakuhujumu mchana kweupe sababu wamechoka kudhalilishwa, juhudi zako hazienda kokote. Zaidi ya haya madaraja, hakuna kitakchofanikiwa.


Maoni ya moja ya wanaccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msipoteze muda wako unaetaka aingilie Kati ndio muhudika what do you expect
Mh Rais,na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi yetu, kwa tafrani hizi za utekaji hatupo salaam.

Wewe ndiye command in chief na pia ni comfort in chief, ukimya wako unaliweka Taifa njia Panda, huenda ndo maana wasio julikana wanahisi kuungwa mkono na serikali, hali inayo wafanya waitukanishe serikali yako kuwa haina mtandao mzuri wa ulinzi.

Iko wapi nguvu kubwa chini ya kamanda Sirro kama ilivyo tumika kule #MKIRU!!!

Umewajengea watendaji wako tendency ya kuwajibika mara wasikiapo sauti yako.

Sema neno sasa kukataa hali ya utekaji, onyesha una chukizwa na hofu iliyo tanda nchini ya #UTEKAJI, naamini ukisema hivyo kwa dhati ya moyo wako, mwisho wa utekaji utakuwa umefikia tamati.

Lakini pia wewe ni comforts in chief, mfariji mkuu wa wananchi mwenye kusimamia ustawi wa Taifa na wananchi wako .

Mara kwa mara umekuwa ukijitokeza kuwafariji wahanga wa matukio mbali mbali ,familiar zilizo athiriwa na majanga ya utekaji ni Watanzania pia, ni wapiga kura wako waonyeshe upo nao kwa kukemea matukio yanayo ichafua serikali yako.

Makundi haya yana haribu sifa na taswira ya serikali yako,ukizingatia wapo wanaojiita wanaharakati wa kukulinda, walioapa kuwaangamiza wakosoaji wako kwa kutumia jina lako.

Hii haikuweki kwenye sifa nzuri, zaidi ya kukuchafua.

Utawezaje kumlinda Rais anaye saidiwa na wananchi wake kuelekezwa mapungufu ya uongozi wake kwa kuumiza wananchi wasio na hatia.

#Viongozi wa dini, ninyi ni daraja la juu la kusimamia maadili, hatuwezi kuhubiri amani ilihali haki na wajibu wa kusimamia amani una kasoro.

Kwanini mna waogopa binadamu bila kukemea maovu

Unganeni, toeni tamko kali ndani ya #CHRISTMAS hii kuonyesha chukizo la bwana kwa watu wake kabla hasira ya Mungu haijajidhihirisha ndani yetu.

Tuache kushinikiza makusanyo ya sadaka tu na kuliombea Taifa amani bila kutengeneza mazingira ya amani.

Amani ni tunda la haki, tumeshaichezea vya kutosha sasa tumekaribisha uhalifu wa kutekana.

Amani ni jukumu la kila mmoja, kwa kuwa mna wafuasi wengi hata watawala nao ni miongoni mwa wafuasi wenu semeni nao kwa hekima.

Hili ni jukumu lenu wote, si la Askofu Mwamakula au Askofu Bagonza ama sheik Ponda pekee yao. Viongozi wote wa dini mnapaswa kukemea hili.

Ikiwa mtatuacha tupotee, tukaamua kuyagomea makusanyiko yetu kwenye nyumba za ibada, mtamhubiria nani.

Tumerudi kwenye zama za mfalme Herode na Firauni, simameni kwa kutanguliza hofu ya Mungu, ili neno la bwana litamkwalo kwa mataifa lituponye na kuwaponya wenye mioyo migumu.

Tusijidanganye kuwanyamazisha wananchi kwa mujibu wa ibara ya 8 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano ndiyo wenye kutoa mamlaka na madaraka kwa serikali kutakuza uchumi.

Maridhiano, demokrasia na maendeleo havitengamani. Tusijidanganye kwa hali tete ya UTEKAJI tutakuza uchumi, hofu hufisha Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom