Rais Mwinyi yeye kazi tu, hakuna mibarakoa

Corticopontine

JF-Expert Member
Sep 20, 2019
664
1,272
Baada ya kufanya ziara katika maeneo ya Kichwele na Salem Mkoa wa Kaskazini Unguja, nimeamua kubadili matumizi ya mashamba ya mpira kuyafanya kuwa maeneo ya viwanda kufuatia mashamba hayo kutotumika ipasavyo na kuleta tija kwa Taifa.


FB_IMG_1621439590408.jpg
 
Mnasahau kuwa huyo ni Daktari!! Inawezekana kisha pata chanjo; juzi tu kasema mahujaji watafanyiwa mpango wa chanjo ili waweze kwenda kuhiji!!!
Hawa Mataga ni wakaidi sana! Hawajifunzi tu mpaka leo.
 
Back
Top Bottom