Rais Mwinyi, miaka 58 ya Mapinduzi Zanzibari hakuna mzawa au hata serikali haina uwezo wa kuendesha uwanja wa ndege?

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,363
Kuna vitu viwili vimenishutua leo kutoka kwenye kichwa Cha Rais Mwinyi.

Cha kwanza ni kusherekea 58yrs of independence Bado Zanzibari Haina mzanzibari mzawa au hata serikali Haina uwezo wa kusimamia viwanja vya ndege mpaka inakodsha shirika la ndege kwa taifa fulani.

Hivi ikitokea vita hiyo anga mtavunja mkataba wa kupitishia mandege yenu ya kivita? Ili ni jambo la aibu.

Pili serikali inagemea kuagiza furniture kutoka nje furniture bira shaka ni za maofisini, Ili kwakweli limekuvua nguo Mh Rais.

Yaki mamIti na mm miisitu tuliyonayo Tanzania bado mnaagiza furniture nje ya nchi?

Uzi huu naomba mode usiuunganishe na mwingine maana huu nilitaka nimtage Rais ila nikaambiwa amelala sasahiv kesho watamfikishia mezani.
 
Zanzibar ingeungana na Oman, leo ingekuwa kama Muscat kwa maendeleo. Wazanzibari pia wangenufaika na utajiri wa mafuta ya Oman. Lakini kuungana na Tanganyika na ujamaa wao, ulileta umasikini tu Zanzibar.
 
Kuna vitu viwili vimenishutua leo kutoka kwenye kichwa Cha Rais Mwinyi.

Cha kwanza ni kusherekea 58yrs of independence Bado Zanzibari Haina mzanzibari mzawa au hata serikali Haina uwezo wa kusimamia viwanja vya ndege mpaka inakodsha shirika la ndege kwa Taifa Fulani...

Akili za kitumwa, kutoka kwa kizazi za kitumwa
 
Kuna vitu viwili vimenishutua leo kutoka kwenye kichwa Cha Rais Mwinyi.

Cha kwanza ni kusherekea 58yrs of independence Bado Zanzibari Haina mzanzibari mzawa au hata serikali Haina uwezo wa kusimamia viwanja vya ndege mpaka inakodsha shirika la ndege kwa Taifa Fulani...
Hiyo ndiyo inaitwa kazi na Bata mzee !! Mkola na mninga saa nyingine unatoa harufu isiyopendeza! Natania tu!
 
Kwani nitaasisi gani tz tumeweza kuiongoza kwamfano kuanzia bandari,reli,ndege nk.

Achilia mbali midege zenji hukubara Mwendokasi tuu tumeuweza???

Jiulize ukishindwa kuongoza kauwanja kandege
au kamwendokasi utawezaje kuongoza serikali??

Alafu tunaaminishwa tutakuwa donakantiri hahahhaaaa!!
 
Kuna vitu viwili vimenishutua leo kutoka kwenye kichwa Cha Rais Mwinyi.

Cha kwanza ni kusherekea 58yrs of independence Bado Zanzibari Haina mzanzibari mzawa au hata serikali Haina uwezo wa kusimamia viwanja vya ndege mpaka inakodsha shirika la ndege kwa Taifa Fulani...
Jamaa wapo ajili ya kupiga pesa
 
Kuna vitu viwili vimenishutua leo kutoka kwenye kichwa Cha Rais Mwinyi.

Cha kwanza ni kusherekea 58yrs of independence Bado Zanzibari Haina mzanzibari mzawa au hata serikali Haina uwezo wa kusimamia viwanja vya ndege mpaka inakodsha shirika la ndege kwa Taifa Fulan...
Kuwapa watu wenye uzoefu kazi fulani kwa muda na kwa makubaliano maalumu ili mjifunze si jambo baya. Cha muhimu ni kuhakikisha maslahi ya nchi yanazingatiwa, na mkataba wa aina hiyo unambana mkandarasi kuwapa mafunzo wazawa ili baada ya muda wajisimamie wenyewe.
 
Kuwapa watu wenye uzoefu kazi fulani kwa muda na kwa makubaliano maalumu ili mjifunze si jambo baya. Cha muhimu ni kuhakikisha maslahi ya nchi yanazingatiwa, na mkataba wa aina hiyo unambana mkandarasi kuwapa mafunzo wazawa ili baada ya muda wajisimamie wenyewe.
Wanajifunza kwa interval ya muda gani? MIAKA 58?
 
Ngoja mkoloni mweusi atimuliwe ,apo ndo mtasema mnasahau kama TV ya rangi hapa Africa ilianza Zanzibar hizo treni mnajenga sasa Zanzibar walishazipanda zamani,mshukuru siku hizi mnapanda boti za spidi.

Subirini karibu mtaijua Zanzibar ni nchi ya aina gani, maana wasanii wenu waende waendako kama hawajafika Zanzibar basi bado hawajasafiri.
 
Kuna vitu viwili vimenishutua leo kutoka kwenye kichwa Cha Rais Mwinyi.

Cha kwanza ni kusherekea 58yrs of independence Bado Zanzibari Haina mzanzibari mzawa au hata serikali Haina uwezo wa kusimamia viwanja vya ndege mpaka inakodsha shirika la ndege kwa Taifa Fulani.

Hivi ikitokea vita hiyo anga mtavunja mkataba wa kupitishia mandege yenu ya kivita? Ili ni jambo la aibu.

Pili serikali inagemea kuagiza furniture kutoka nje furniture bira shaka ni za maofisini, Ili kwakweli limekuvua nguo Mh Rais.

Yaki mamIti na mm miisitu tuliyonayo Tanzania bado mnaagiza furniture nje ya nchi?

Uzi huu naomba mode usiuunganishe na mwingine maana huu nilitaka nimtage Rais ila nikaambiwa amelala sasahiv kesho watamfikishia mezani.
Rais Dk. Mwinyi anafanya mageuzi makubwa sana Zanzibar. Tumpe moyo. Hiyo kampuni ya kutoa huduma inashirikiana na wazawa lengo nao wapate exposure. Uwanja wa ndege ndiyo sura ya nchi kwa wageni wanaotua. #First impression long lasting...
 
Back
Top Bottom