pasi padinde
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 282
- 299
Shikamoo kiongozi,
Wakristo zanzibar wanapata shida sana naomba hili ulimulike kwasababu ya mambo ya dini.
Mfano ukitaka kujenga shule na wewe ni mkristo yaani utazungushwa mpaka miaka miwili mpaka mitano kwa kigezo kwamba wakristo wamekuja kuanzisha shule ili wawabadilishe watoto wa kiislamu wawe wa kristo na inafika mpaka wizarani kuna kuwa na urasimu usio na miguu wala kichwa.
Kuhusu ardhi hakuna mtu atakupa ushirikiano ukianzia ngazi ya chini mpaka juu na hasa kama unataka pengine ujenge kanisa.
Kuna watu wanalalamika sana naomba ulitazame hili.
Wakristo zanzibar wanapata shida sana naomba hili ulimulike kwasababu ya mambo ya dini.
Mfano ukitaka kujenga shule na wewe ni mkristo yaani utazungushwa mpaka miaka miwili mpaka mitano kwa kigezo kwamba wakristo wamekuja kuanzisha shule ili wawabadilishe watoto wa kiislamu wawe wa kristo na inafika mpaka wizarani kuna kuwa na urasimu usio na miguu wala kichwa.
Kuhusu ardhi hakuna mtu atakupa ushirikiano ukianzia ngazi ya chini mpaka juu na hasa kama unataka pengine ujenge kanisa.
Kuna watu wanalalamika sana naomba ulitazame hili.