Rais Mwinyi, hii kasi ya kuwapa ardhi raia wa kigeni kulikoni? Kelele zimekuwa nyingi, Sasa unataka kunyang'anya familia ya Karume nyumba!

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,958
20,528
Rais Mwinyi amekuwa akipigiwa kelele sana kwamba ananyang'anya wananchi ardhi anawapa wageni kwa kisingizio Cha kukodisha. Baadhi wanasema, anachukua ardhi hiyo yeye mwenyewe kwa mlango wa wawekezaji.

Anahamisha mashule, maeneo ya shule anawapa wawekezaji, anakodisha visiwa kwa bei ya kutupa, mtoto wa Karume anasema anakodisha kisiwa kwa miaka 35 kwa dola milioni mbili na nusu.

Pale Airport, amefukuza wazawa, wamekosa ajira, ameleta watu wa nje.

Pale mji mkongwe kelele zimezidi.

Sasa kuonyesha ameota mapembe, amejiapiza kuchukua nyumba ya Rais wa kwanza wa Zanzibar Mzee Karume.

Tuombe Mungu huyu jamaa asije bara, atauza Kila kitu, na kama akitawala Zanzibar miaka kumi, natarajia kwamba ataondoka kauza Kila kitu isipokuwa oksijeni tu.

CCM taifa wamkemee, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wamkemee
Screenshot_20230407-145400.jpg
 
Rais Mwinyi amekuwa akipigiwa kelele sana kwamba ananyang'anya wananchi ardhi anawapa wageni kwa kisingizio Cha kukodisha. Baadhi wanasema, anachukua ardhi hiyo yeye mwenyewe kwa mlango wa wawekezaji.

Anahamisha mashule, maeneo ya shule anawapa wawekezaji, anakodisha visiwa kwa bei ya kutupa, mtoto wa Karume anasema anakodisha kisiwa kwa miaka 35 kwa dola milioni mbili na nusu.

Pale Airport, amefukuza wazawa, wamekosa ajira, ameleta watu wa nje.

Pale mji mkongwe kelele zimezidi.

Sasa kuonyesha ameota mapembe, amejiapiza kuchukua nyumba ya Rais wa kwanza wa Zanzibar Mzee Karume.

Tuombe Mungu huyu jamaa asije bara, atauza Kila kitu, na kama akitawala Zanzibar, natarajia kwamba ataondoka kauza Kila kitu isipokuwa oksijeni tu.

CCM taifa wamkemee, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wamkemeeView attachment 2579693
atauza Kila kitu, na kama akitawala Zanzibar, natarajia kwamba ataondoka kauza Kila kitu isipokuwa oksijeni tu.
 
Ukitaka kuwa udhi Wazanzibari anza kuwa lipisha Kodi, umeme, maji na forodha.
Ama kwa airport wanalilia ile enzi ya usultani wa Raza ambapo kazi hupeana bila ujuzi na mizigo toka kwa wajomba Oman inapita bure.
Mwinyi kawashika pabaya watamzulia kila aina ya shutuma.
 
Ni uzush tu
Akichkua majunba ya mji mkongwe mnayaacha yafe ili mujenge mapya.hio hatutaki.tunataka majumba ya kale ya mji mkongwe yarudi katika hali yake ya awali.hadhi ya mji mkongwe iwepo kwan ndio chanzo kikuu cha mapato ya utalii
Watanzania watu wa ajabu.mnataka kuwa mjae daraja kuchuuza bidhaa. Angalia saudia.wana vision 2030 juu ya kwamba wao wanaongoza kuzalisha mafuta dunian ila wamejua kuwa bidhaa hio by 2030 huenda ikapungua uhitaji.so wanawekeza kwenye utalii kama dubai
 
Mbona visiwani kwaenda uzuri kuliko bara yakheee!, ni fitna tu na kukerwa kwa mabaradhuli ati, au waonaje?ati ndo sha sema ivo liwalo na liwe, hussein mwinyi kaishika uzuri unguja na pemba yakheee!
 
Ukitaka kuwa udhi Wazanzibari anza kuwa lipisha Kodi, umeme, maji na forodha.
Ama kwa airport wanalilia ile enzi ya usultani wa Raza ambapo kazi hupeana bila ujuzi na mizigo toka kwa wajomba Oman inapita bure.
Mwinyi kawashika pabaya watamzulia kila aina ya shutuma.
Kwa hiyo kabla ya Mwinyi nchi ilitumia fedha gani kujiendesha?
 
Ahahahaaaa, Rais Hussein Mwinyi anapakazwa tu, mimi sioni nia njema yoyote kwake, kwanza huyu jamaa ameamua kujitoa kwa ajili ya kubadirisha Zanzibari na hata mfumo wa maisha ya mazoea anajaribu kuufutilia mbali.

Issue ya mashamba, visiwa, shule ni anapakazwa tu huyu jamaa naamini hakuna kitu kama hicho, wakati anakuja na slogan ya uchumi wa bluu wengi walimkoga hadi aliposema wanaitumia hiyo slogan vibaya tena kwa kuwalaghai wananchi.

Rais Mwinyi ana maono ya kubadiri Zanzibari isiwe ile ya kimwinyi bali kila mtu ajitume kwa eneo lake, tukumbuke wengi walizoea maisha ya kubweteka.

Alafu kwa nini wamemtumia balozi Karume kuongea hayo?.
 
Ahahahaaaa, Rais Hussein Mwinyi anapakazwa tu, mimi sioni nia njema yoyote kwake, kwanza huyu jamaa ameamua kujitoankwa ajili ya kubadirisha Zanzibari na hata mfumo wa maisha ya mazoea anajaribu kuufutilia mbali.

Issue ya mashamba, visiwa, shule ni anapakazwa tu huyu jamaa naamini hakuna kitu kama hicho, wakati anakuja na

Ww ulitakiwa uanzishe uzi wa kumsifia kwenye uwekezaji wa ardhi. Siku hizi imekuwa fashion hapa jukwaani, ukianzishwa uzi wa kumsema kiongozi fulani, chawa wa huyo kiongozi ananunua ugomvi kwa kuanzisha uzi wa kumpamba.
 
Back
Top Bottom