Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,201
- 4,673
Makamo wa kwanza wa Rais,nafasi yake uwaipogo tu ni basi tu anarukaruka.Maalim yeye vp
Aisee..kwa hiyo bongo mtu kuteuliwa ni ulaji kapata,sio kutumikia wananchi?Hongera zake kwa kupata ulaji.
Alikuwa ni mkuu wa mkoa kusini pemba, ni mpemba lakin ndo ivyo tena amechangia sn ndugu zetu kupigwa na kusekwa ndani kule pemba, uluwa si unajuaHuyo mteule ni mzaliwa wa Pemba? Kwa sababu Magufuli alipokuwa kwenye kampeni kule Zanzibar aliagiza kuwa makamu wa rais atokee Pemba,hicho cheo kwa huku bara ni sawa na waziri mkuu ,swali ni je? Anazoefu wa kuwa mjumbe wa baraza la wawakilishi kabla ya kuwa mkuu wa mkoa?
Wewe uliweka mkataba na wapiga kura wakakuahidi watawapigia hao watu wenu..nataka kujua una ushahidi upi kwa hili je unazo kopi za karatasi za kura au unajuaje jomba...nataka kujua kura ya Siri wewe unai define vipi kwamba ni yako na sio ya mwingine..Ni hilo tuHawana issue hao, kuongoza watu ambao hawajakuchagua hata Mungu hapendi
Sahihi mkuu.Husseim Ally Hassan Mwinyi atafuata Nyayo za Baba Yake ambae alikabidhiwa Nchi ikiwa hoi nin taaban kutokana na Siasa za wakati huo wa kupinduliwa Aboud Jumbe na akafanikiwa kutuliza Mtanzuko wa wakati huo
Akiungwa Mkono ataibadilisha sana Znz sema ndio hivyo tena sie watu weusi ubaguzi upo kwny Damu
Kama atakubali yeye ni makamu wa kwanza wa raisi
badilisha avatar tafadhali 🙂🙂🙂Hawana issue hao, kuongoza watu ambao hawajakuchagua hata Mungu hapendi
Akatafute mkeka asuke..Maalim yeye vipi
Sahihi mkuu.
Hussein mwinyi binafsi naona ni kiongozi mzuri atakuja kuibadilisha zanzibar haswa.
Kama salio wanalo,kama ustaarabu anao tatizo wazanzibar wengi wanambagua kwa sababu zao za kimji.
Ila wamuunge mkono tu.
Uwaipogo. Yaani na hiki kiswahili chenu cha kichefu chefu.Makamo wa kwanza wa Rais,nafasi yake uwaipogo tu ni basi tu anarukaruka.