Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 731
- 475
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista wa Sabato, Jimbo Kuu la Kaskazini mwa Tanzania Dkt. Mch. Godwin Lekundayo na Ujumbe wake waliofika Ikulu kwa Mazungumzo.
Aidha, Askofu Dkt. Lekundayo ameipongeza Serikali ya Awamu ya Nane inayoongozwa na Rais Dk. Mwinyi kwa jitihada inazofanya kuwaletea Maendeleo Wazanzibari na Kuendelea Kudumisha Amani na Utulivu kwa Taifa. Leo tarehe 20 Februari, 2023.View attachment 2524283View attachment 2524285View attachment 2524284
Aidha, Askofu Dkt. Lekundayo ameipongeza Serikali ya Awamu ya Nane inayoongozwa na Rais Dk. Mwinyi kwa jitihada inazofanya kuwaletea Maendeleo Wazanzibari na Kuendelea Kudumisha Amani na Utulivu kwa Taifa. Leo tarehe 20 Februari, 2023.View attachment 2524283View attachment 2524285View attachment 2524284