Rais wa Kenya Mwai Kibaki ameiamuru Wizara ya Fedha na Nishati nchini humo kupitia upya viwango vya kodi zinazotozwa katika gharama za umeme nchini humo. Lengo ni kuhakikisha kuwa kodi ambazo zinachangia kuwaumiza watumiaji wa umeme zinapunguzwa kama si kuondolewa kabisa... JK na EWURA mpo??