Rais Mwai Kibaki na Gharama za Umeme Kenya

Kipanga

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
676
34
Rais wa Kenya Mwai Kibaki ameiamuru Wizara ya Fedha na Nishati nchini humo kupitia upya viwango vya kodi zinazotozwa katika gharama za umeme nchini humo. Lengo ni kuhakikisha kuwa kodi ambazo zinachangia kuwaumiza watumiaji wa umeme zinapunguzwa kama si kuondolewa kabisa... JK na EWURA mpo??
 
Back
Top Bottom