Rais Museveni hachoshi kumsikiliza

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,291
12,582
Ametufundisha wengi kuwa usizalishe bidhaa nyingi kama watu wako hawatakuwa na uwezo wa kuvinunua na wala hujui ziada utamuuzia nani.

Unaweza kumsikiliza mwanzo mwisho kwakuwa kila sentence yake ina maana,
 
Ametufundisha wengi kuwa usizalishe bidhaa nyingi kama watu wako hawatakuwa na uwezo wa kuvinunua na wala hujui ziada utamuuzia nani.

Unaweza kumsikiliza mwanzo mwisho kwakuwa kila sentence yake ina maana,

..ana ushauri gani kwa Tz?

..kuwa tusijenge viwanda vingi?
 
Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
 
Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
Vijana bana, kwa hiyo 28yrs unajiona mdogo na unaona hicho unachohisi unakifahamu kilitakiwa kujulikana kwa walio above 28yrs!?
 
Vijana bana, kwa hiyo 28yrs unajiona mdogo na unaona hicho unachohisi unakifahamu kilitakiwa kujulikana kwa walio above 28yrs!?

Huwa nacheka sana hata Polepole naye huwa anajiita ni mdogo sana, ila ukiangalia sura yake unasikia hata kinyaa akijifanya mdogo. Nikishaona tu mtu anajifanya yeye bado ni mdogo huwa nachoka kabisa.
 
Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
Aisee Bashite ataikopi hii muvu na baba yake.
 
Ametufundisha wengi kuwa usizalishe bidhaa nyingi kama watu wako hawatakuwa na uwezo wa kuvinunua na wala hujui ziada utamuuzia nani.

Unaweza kumsikiliza mwanzo mwisho kwakuwa kila sentence yake ina maana,
[/QUOT]

Kafundisha sana ushirika moshi.
Professional ni mwalimu wa uchumi.
 
Ametufundisha wengi kuwa usizalishe bidhaa nyingi kama watu wako hawatakuwa na uwezo wa kuvinunua na wala hujui ziada utamuuzia nani.

Unaweza kumsikiliza mwanzo mwisho kwakuwa kila sentence yake ina maana,
Endelea kumsikiliza
 
Kwahyo hapo unajiona una bonge la IQ..hadi wote humu unatuona mafala..ni kipi ulichoongea cha maana hapo
Kama sio kuungaunga habar ulizozipata humu humu tu
Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
 
Ametufundisha wengi kuwa usizalishe bidhaa nyingi kama watu wako hawatakuwa na uwezo wa kuvinunua na wala hujui ziada utamuuzia nani.

Unaweza kumsikiliza mwanzo mwisho kwakuwa kila sentence yake ina maana,

He's a Historian, Philosopher King, Economist, Educator, Articulator, really Pan African and an Intellectual ( Rational Thinker ). He's one of my favorite modern African Leader together with the people like President Paul Kagame of Rwanda, Late Mwalimu Nyerere ( Tanzania ), Late Patrice Lumumba ( DRC formerly Zaire ), Late Samora Machel ( Mozambique ), Late Nelson Mandela ( South Africa ), Late Kwame Nkurumah ( Ghana ), Late Robert Mugabe ( Zimbabwe ) and Kenneth Kaunda ( Zambia ) To my opinion His Excellence President Yoweri Kaguta Museveni deserves the Title of Father of all African Nations. I mostly admire him and I wish him all the best in his Presidency.
 
Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..

At 26 in 1969 Colonel Muammar Ghadafi anapindua Serikal ya Libya na kuwa Rais ,

At 28 Dr Hassy Kitine tayari ni waziri, Hayati Mzee Mungai chini ya Umri wako tayari Waziri, Luteni Kanali mstaafu Afande Jakaya Kikwete at 28 tayar ni Mwandishi wa Minutes za vikao vya Kijeshi kati ya Amiri Jeshi na ma Generali lakin wote hawakuwa wakijisifu

wewe 28 unajiona zaid ya Christopher Columbus kwa ki comment chako cha aya moja na kuanza kutudhalilisha Wakubwa zako
 
Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
Ikitokea hivyo unavyowaza basi utakuwa una akili kama unavyojitapa. Na hilo lisipotokea basi na wewe unakuwa huna akili kabisa kuliko hio mijitu mizima uliyoidharau.
Si ndivyoo..!!?
 
At 26 in 1969 Colonel Muammar Ghadafi anapindua Serikal ya Libya na kuwa Rais ,
At 28 Dr Hassy Kitine tayari ni waziri, Hayati Mzee Mungai chini ya Umri wako tayari Waziri, Afande Jakaya at 28 tayar ni Mwandishi wa Minutes za vikao vya Kijeshi kati ya Amiri Jeshi na ma Generali lakin wote hawakuwa wakijisifu
wewe 28 unajiona zaid ya Christopher Columbus kwa ki comment chako cha aya moja na kuanza kutudhalilisha Wakubwa zako
Ongezea hapo at 26 Salim Ahmed Salim was the youngest ambassador! Kwa umri wangu, kazi nazofanya kwaajili ya huduma ya nchi hii na ww mzee mpumbavu havilingani!
 
Back
Top Bottom