beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Yoweri Museveni ametoa wito kwa Wananchi waliokidhi kupata Chanjo dhidi ya Virusi vya Corona kutembelea Vituo vya Afya ili waweze kuipata
Ameeleza hayo baada ya yeye na Mke wake, Janet Museveni kupatiwa chanjo leo huko Nakasero. Pamoja na wito huo, amewataka Waganda kuendelea kuzingatia tahadhari mbalimbali kujikinga na Ugonjwa huo ikiwemo kuvaa barakoa na kunawa mikono
Uganda imerekodi jumla ya visa 40,751 na vifo 335 huku waliopona hadi sasa wakifikia 40,379
Kupitia Twitter ameandika:
"First Lady @JanetMuseveni and I got our Covid-19 vaccine today in Nakasero. I encourage all Ugandans who qualify for this vaccination to go to health facilities and get it. But remember to keep observing the SoPs; wear masks, wash/sanitise hands and observe social distance, etc"
Ameeleza hayo baada ya yeye na Mke wake, Janet Museveni kupatiwa chanjo leo huko Nakasero. Pamoja na wito huo, amewataka Waganda kuendelea kuzingatia tahadhari mbalimbali kujikinga na Ugonjwa huo ikiwemo kuvaa barakoa na kunawa mikono
Uganda imerekodi jumla ya visa 40,751 na vifo 335 huku waliopona hadi sasa wakifikia 40,379
Kupitia Twitter ameandika:
"First Lady @JanetMuseveni and I got our Covid-19 vaccine today in Nakasero. I encourage all Ugandans who qualify for this vaccination to go to health facilities and get it. But remember to keep observing the SoPs; wear masks, wash/sanitise hands and observe social distance, etc"