figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameamrisha oparesheni inayoongozwa na jeshi ya kulinda biashara za Wachina.
Hii inafuatia mkutano aliofanya na zaidi ya wawekezaji 120 wa Kichina ambao wanasema kuwa baadhi ya viwanda vyao viliporwa na pesa nyingi kuibwa.
Hatua zilizopendekezwa na Rais Yoweri Museveni ni pamoja na kuongezwa doria maeneo vilipo viwanda na kuweka kamera za CCTV.
Nchi hiyo kwa jumla imeshuhudia kuongezeka visa vya uhalifu na wiki za hivi karibuni, jeshi limekuwa likipiga doria ndani na nje ya mji mkuu huku serikali ikibuni vikosi vya ulinzi.
Hii inafuatia mkutano aliofanya na zaidi ya wawekezaji 120 wa Kichina ambao wanasema kuwa baadhi ya viwanda vyao viliporwa na pesa nyingi kuibwa.
Hatua zilizopendekezwa na Rais Yoweri Museveni ni pamoja na kuongezwa doria maeneo vilipo viwanda na kuweka kamera za CCTV.
Nchi hiyo kwa jumla imeshuhudia kuongezeka visa vya uhalifu na wiki za hivi karibuni, jeshi limekuwa likipiga doria ndani na nje ya mji mkuu huku serikali ikibuni vikosi vya ulinzi.